Transporter

957 posts

Transporter banner
Transporter

Transporter

@TvFours

Eastside Se unió Kasım 2021
743 Siguiendo759 Seguidores
OTARIKAITA
OTARIKAITA@LadislausMaruna·
Mchezaji bora wa msimu Epl 2025/2026 akiwa na tuzo yake. Nyumbu toeni macho yenu.
OTARIKAITA tweet media
Indonesia
1
0
1
12
leo
leo@leo_unsc·
Ndio inakuwaga hivyo baada ya kuchukua PFS awards unatoboa 20 years bila kombe lolote. Kama unabisha waulize Arsenal na T. Henry. Script ni ile ile wanetu 😂
Filipino
3
4
8
340
Bukayo Shafi🇹🇿
Bukayo Shafi🇹🇿@Bukayoshafi77·
Jionee mwenyewe ni timu gani ya wendawazimu😂😂😂🙌
Bukayo Shafi🇹🇿 tweet mediaBukayo Shafi🇹🇿 tweet media
Indonesia
2
8
50
736
Bukayo Shafi🇹🇿
Bukayo Shafi🇹🇿@Bukayoshafi77·
Nini hiki tuzo ya mchezaji mmoja kukusanyika kikosi kizima mpaka wapishi kupiga picha kwamba huu ndo ubingwa mnasherehekea.?
Bukayo Shafi🇹🇿 tweet media
1
0
6
150
Icard
Icard@mtera_lucas·
Tumewahi kukosa ubingwa kwa mda mrefu ila hatujafikia hatua waliyopo nyumbu ni Aibu😃😃
Icard tweet media
Indonesia
3
2
20
256
ETHAN🌋
ETHAN🌋@Ethancfc7_·
John Obi Mikel on Bruno Fernandes winning Player of the Year : “I’m not saying Bruno Fernandes has had a bad season, because 20 assists is unbelievable, but for me assists alone shouldn’t automatically give you the Player of the Year award. Football is more than just numbers on paper. When I look at a POTY winner, I look at consistency, leadership, influence in the biggest games and how much you actually carry your team throughout the whole season. Sometimes people get carried away with stats and forget the overall performances. Bruno has created chances and helped the team, yes, but there are other players who have been more complete and more dominant from start to finish. Twenty assists is impressive, but I personally don’t think that alone is enough to make you Player of the Year.”
ETHAN🌋 tweet mediaETHAN🌋 tweet media
English
232
137
481
31.7K
𝑩𝑩𝑴  𝕏
𝑩𝑩𝑴  𝕏@BarakaDavid20·
Buruno anapikwa humu mpk mashabiki wa Nyumbu wamenywea oyaaa huu mtandao 🤣😂
𝑩𝑩𝑴  𝕏 tweet media
Indonesia
8
5
18
372
Bukayo Shafi🇹🇿
Bukayo Shafi🇹🇿@Bukayoshafi77·
📢Ndugu zetu wa unyumbuni tusidanganyane hili sio kombe wala matunda ya timu pia hili kopo hawawezi kupiga nalo picha wachezaji wote kila mmoja kwa wakati wake nyumbu nyie.🚮🚮
Bukayo Shafi🇹🇿 tweet media
Indonesia
5
2
10
357
Transporter retuiteado
Portugal
Portugal@selecaoportugal·
🎶 He is our 𝗣𝗼𝗿𝘁𝘂𝗴𝘂𝗲𝘀𝗲 𝗠𝗮𝗴𝗻𝗶𝗳𝗶𝗰𝗼. 🎩🪄 #VaiDarPortugal | #PremierLeague
Portugal tweet media
English
246
5.4K
46.1K
268.9K
AFC Xtra
AFC Xtra@AFC__Xtra·
Real ones know Declan Rice will win the PFA Player of the season award which is the most important individual award. Bruno Fernandes can keep those tinpot awards.
AFC Xtra tweet mediaAFC Xtra tweet media
English
730
432
6.9K
345.1K
~BINGWA⚡
~BINGWA⚡@BingwaIK·
@TvFours Aliikalia bahati mbaya, nikaona haijagoma
Indonesia
1
0
0
754
~BINGWA⚡
~BINGWA⚡@BingwaIK·
Kwa nini wanawake wanapenda kwenda bar au night club bila kuvaa chupi?🤔
~BINGWA⚡ tweet media
Indonesia
53
23
177
13.6K
Icard
Icard@mtera_lucas·
Utofauti wa mentality za nyumbu na mashabiki wa timu zingine ni mkubwa mno wazee fikiria watu wanashangilia tuzo wakati ni trophyles 😂😂😂
Indonesia
7
4
20
295
Ayubu Madenge
Ayubu Madenge@ayubu_madenge·
Max Dowman mtoto wa miaka 16 ana kombe la EPL, lakini mchezaji bora wa msimu anapewa Bruno Fernandes mwenye miaka 31 ambaye hajui hata kombe la EPL linafananaje. Hii ni robbery ya hali ya juu katika historia ya tuzo hizi. Tuzo hii alistahili kupewa David Raya kipa wa Arsenal.
Ayubu Madenge tweet media
HT
152
25
477
14.9K
L3wi.s
L3wi.s@Mnauwoo·
nikipost bruno arsenal fans wanakuja na story za pl shows how those mfs are insecure😭😭😂....like si nyinyi mcelebrate kikombe yenyu muachane na sisi tucelebrate personal awards.😂
English
26
199
735
5.7K
Transporter
Transporter@TvFours·
Tuzo ya bron imezagaa kwa timeline yangu au X wote ni mashabiki wa man united
Filipino
0
0
0
21
Transporter retuiteado
Swahili Times
Swahili Times@swahilitimes·
Kiungo wa Manchester United, Bruno Fernandes ametajwa kuwa Mchezaji Bora wa Ligi Kuu England msimu huu wa 2025/26. Fernandes ametoa pasi 20 za mabao na kufunga mabao nane, akiisaidia Manchester United kumaliza nafasi ya tatu na kufuzu Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu ujao.
Swahili Times tweet media
Indonesia
2
4
136
2.2K