Sightmirror
71.5K posts

Sightmirror retweeté
Sightmirror retweeté
Sightmirror retweeté
Sightmirror retweeté

Kwisha habari yenu 🔥😁
Mmejichafua kimataifa!
Na bado! Nobody in their right mind can believe a single word uttered by Nyalandu! Ludicrous! We have evidence of state backed premeditated massacre!
FYi 500 deaths is not insignificant but we know the number is higher! You will be all held accountable!
Sky News@SkyNews
@BarbaraGSerra: "You may call it rescuing the day, but I go back to my question, was the government responsible for the shooting and killing of around 500 protesters?" Ambassador Lazaro Nyalandu, senior advisor to Tanzanian president Samia Suluhu Hassa, responds to claims security forces killed hundreds of people following Tanzania's widely disputed election in 2025. 🌍 trib.al/zff6Z7W
English
Sightmirror retweeté
Sightmirror retweeté
Sightmirror retweeté
Sightmirror retweeté
Sightmirror retweeté
Sightmirror retweeté

John Mrema wa CHAUMMA anawajua mpaka walioongea na CHANDE na ndio wanaoifadhiwa na TUME
Moja ya watu wanahifadhiwa na Tume ni Tengecha kwa story anazopiga pembeni John
Kumbukeni John ana ACCESS nzuri tu na TISS kabla ya Soka kutekwa maafisa waliomfuta kumuonya Soka walikwenda CHADEMA, kwenye kikao ambacho maafisa hao walikaa HQ ya CHADEMA wakati huo alikuwepo JOHN , MWAMBA na hao maafisa wa TISS
Kwa maana hiyo John anaposema aliye frame CHADEMA ni Tengecha mimi naamini maana ni mtu anayeshirikiana sana na mfumo na hizi taarifa ametoa huko kwa mfumo
Maana siku hizi moja ya eneo ambalo taarifa za TISS zinapatikana sana CHAUMMA, na haya majamaa ni mazumbukuku yakitoka hapo yanakwenda Tumia hizo taarifa kufanya upumbavu
Hata tarehe kwamba 23 April inakuwa siku ya kusomwa hiyo taarifa tulipa hapo CHAUMMA, hata mipanga ya Samia kusema mwachie Lissu kisha kuwe na kampeni ya mama ana Huruma ni hapo hapo CHAUMMA, kuna taarifa pia kwamba Abdul anatakatisha pesa kupitia Boxing na team ya Darcity ya basket ball ni hapo CHAUMMA
Hii ya sasa ya Tume ya Chande imeliki kutokana na CHAUMMA kupewa mwaliko kwa Salumu mwalimu, hata issue ya Salum mwalimu kutorudisha gani ni ya hapo hapo
Sasa wamefika hatua wanapost mambo wanayozungumza na TISS kwenye mawhatssapp, wameshazungumza sana kwenye pombe na nyama.
Chande amekwenda ku frame chadema kwa ushirika na Tengecha !!! sasa hii inakuwaje Tume huru ikiwa na political motive za aina hii ?
Chande alisema POLISI akipiga mtu risasi anawajibika yeye kwa hayo maamuzi, sasa Swali kwako wewe mzee, Huyo Tengecha ambaye alikuwa anatoa mafundo hayo ya kigaidi kwa watu 500 mbona uko naye yeye awajibiki kwa kufundisha watu ugaidi? yeye ni askari ndiye anajua silaha kwa nini alifundisha watu ugaidi?
Mnatuona sisi maboya sana sio? mambo yaliyofanya na polisi anawajibika mtu aliyefanya, lakini mambo waliofanya machawa wenu mnataka futa taasisi, Tengecha anathibitisha vipi alitumwa kufanya haya mambo au nyingi ndio mlikuwa mnamtumia kufanya hayo mambo?
Huyu tengecha mwambie aende kutafuta kazi ya kufanya achani kutumia pesa za umma na hawa wajinga, mmetengeza kesi ya uhaini kutumia mapolisi kama Tengecha leo mko na nini ?
Mimi mwenyewe huyo Techenga aliwa nitumia message akitaka kuanzisha mazungumzo ya kijinga nikamtia pin, kumbe mlikuwa mnamtumia toka wakati huo, niliona kama ni mjinga mjinga
sasa kama mnafanya mipango ambayo mtu kama John anajua si nchi nzima itakuwa inajua huu upuuzi wenu

Filipino
Sightmirror retweeté

@Salamaenrich Usiwe na shaka na ishu ya ICC. 👊🏽
Indonesia
Sightmirror retweeté
Sightmirror retweeté
Sightmirror retweeté
Sightmirror retweeté
Sightmirror retweeté

Kama kuomba msaada ni aibu then kulala kwa kuchomwa sindano ni mateso zaidi kuliko aibu. 💔
Please nisaidie kwa chochote napitia mengi nisiyoyaweza.
M PESA 0764122090 REGAN 🙏🏽
M.D (🅨)@ReganTesla_
Zaburi 27:10 Zaburi 55:22. Hata katika njia ngumu Mungu hatatuacha.. Atatuvusha 🙏🏽
Indonesia
Sightmirror retweeté

Watu wanaambiwa kila siku ukiona mtu anafanya mambo ya ajabu ajabu kaa naye mbali
Chande ametengenezea report ya kutumwa namna ya kutengeneza sasa anaambiwa ukae utulie umeshasema waandamanaji walibeba bunduki na ushahidi unao
Hii report inakwenda maliza kabisa heshima ndogo iliyobaki ya CHANDE
Kabudi ni kivuruge, yeye amejiokoa akawasakilizia kina Chande wapenda sifa, sasa kabudi anatumwa kila kona kusema aliyeandika ni Chande

Indonesia
Sightmirror retweeté

‼️🚨 Wamenasa Kwenye Mtego!‼️
Ripoti ya Tume ya Chande imejibu baadhi ya maswali ambayo hayakuwa
na majibu:
👉🏽Kwenye swali la nani aliamuru vikosi viue raia wa Tanganyika, tume imeshindwa kutaja. Ukimya wa tume ni wazi kwamba aliyeamuru ni bosi wao ambaye naye alisisitiza kwamba ripoti ile ni ya kwake na wengine tusijitie kimbelembele kuifuatilia.. Ni dhahiri
kwamba hakuna mauwaji ya kiwango hicho yanaweza kufanyika bila ridhaa ya mamlaka kuu.
👉🏽Kulikuwa na hoja Mkuu wa Jeshi la Polisi alipokea maelezo kutoka kwa nani kutangaza hali ya hatari. Swali hili limepewa majibu kuwa raia waliouawa ni 518 waliokufa vifo visivyo vya kawaida yani vya kikatili kabisa na kwingine Jaji Chande alisema waliouliwani 818. Utata huu wa kitakwimu unabidi kutatuliwa na tume huru isiyo egemea upande wowote.
👉🏽Kwenye suala la kuzimwa kwa interneti kulikofanywa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) swali hili lilijibiwa na Samia Suluhu Hassan pale alipoomba radhi kwa Jumuiya ya Kimataifa kwamba ni kweli walizima mitandao tangu Jumatano, Oktoba 29, 2025 kwa
siku 6 mfululizo.
👉🏽Suala la nani aliagiza na kugawa silaha kwa wauaji hili pia limejibiwa kwa kusema kwamba raia ndio walikuwa na silaha za jadi ikiwemo mapanga, mishale na mikuki ambazo zisingeweza kufanya mauaji yale ya kimbari tuliyoyashuhudia.
Mzigo wamebebeshwa wahanga wa vurugu ya dola dhidi ya raia wasio na hatia.
👉🏽Kuhusiana na mamluki wote wa kigeni na vikosi vya uhalifu vinavyoratibiwa na Idara ya Usalama ambao wametenda uhalifu dhidi ya ubinadamu wamefunguliwa mashtaka gani, tume imekiri kwamba ni lazima kuunda Tume ya Uchunguzi wa Kijinai.
👉🏽Kuna swali kuhusu Tume ya Chande kuficha ushahidi uliokuwa unatolewa na wahanga wa mauaji, tume imeshindwa kujibu. Jibu liko wazi, hawakutaka ukweli ujulikane ili waweze kutoa taarifa wanazozitaka wao.
Raia wa Tanganyika hawatatishwa na kauli wala vitendo vya magaidi wa
CCM vya kutaka kutawala Tanganyika kwa mabavu. Ripoti ya Chande ni
ushahidi usiopingika kwamba mauaji ya halaiki yalitokea, watu wamepotezwa kwa nguvu na zaidi kulikuwa na ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu
#SamiaMustGo
#SamiaAtICC




Indonesia
Sightmirror retweeté
Sightmirror retweeté












