mk-sulphur

10.6K posts

mk-sulphur banner
mk-sulphur

mk-sulphur

@MegabeSteven

pharmaceutical personel @youngAfricansSC https://t.co/oxk6gnM0uy

Tanzania 参加日 Mayıs 2023
3.1K フォロー中1.5K フォロワー
mk-sulphur がリツイート
MTU MAKINI
MTU MAKINI@this_iz_lewis·
T-shirt kalii MTUMBA | Delivery ✅ Nicheki 📞 0717634941 📍D'salaam Bunju B | Mikoani natuma Nisaidie REPOST yako ndugu 🙏🏾
MTU MAKINI tweet mediaMTU MAKINI tweet mediaMTU MAKINI tweet mediaMTU MAKINI tweet media
Eesti
0
12
13
386
mk-sulphur がリツイート
Presenter Noah
Presenter Noah@PresenterNoah·
Bado siku 71 World Cup ianze, utaratibu ni kua na timu mbili hebu tuzijue zako😄
Presenter Noah tweet media
161
22
357
11.5K
mk-sulphur がリツイート
SANUKAnaCHAPO
SANUKAnaCHAPO@chapo255·
Hata kama wazazi wote wawili hawana ualbino, bado wanaweza kupata mtoto mwenye ualbino iwapo kila mmoja anabeba jeni husika. Ualbino ni hali ya kurithi inayotokana na vinasaba na si ugonjwa na wala haihusiani na imani za kishirikina. #HakiJumuishi | #WatotoWenyeUalbino
SANUKAnaCHAPO tweet media
Filipino
2
14
35
2.1K
mk-sulphur がリツイート
A_man_Tz
A_man_Tz@Abuy_0·
@EsirEid Ottoman ni story ya utawala wa kiislam Ambao ilikua kati ya waislam na warumi na wa Persia hivyo kukuta Allahu Akbar humo ni kitu chenye kutarajiwa na ni kuna story humo ndani huwezi tamani uikose ni kama Jumong 🤣
Indonesia
2
2
12
1.5K
mk-sulphur がリツイート
CAF Online
CAF Online@CAF_Online·
52 years later. The return was worth the run. Already proud, DRC. 🇨🇩🩵 #FIFAWorldCup
CAF Online tweet media
English
140
2.4K
16.5K
113.4K
mk-sulphur がリツイート
𝐉𝐚𝐬𝐮𝐬𝐢
Idara ya Usalama wa Taifa Yatangaza Nafasi za Kazi | Ni Mara ya Kwanza Katika Historia ya TANZANIA ift.tt/Z0CJo9E
Indonesia
23
15
222
35.3K
mk-sulphur がリツイート
WHYMYCATISSAD
WHYMYCATISSAD@INFLUENCERjr·
Huyu jamaa anazungumzia polisi wa nchi gani??
WHYMYCATISSAD tweet media
Suomi
27
20
356
9.9K
mk-sulphur がリツイート
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸
AFCON 2027 Itumike kudai haki Tanzania kwa kufanya maandamano ya kihistoria. Siku ya ufunguzi wa Afcon Tanzania iwe ni siku ya maandamano makubwa zaidi ya yale ya Oktoba 28. Hawatoweza kujaza wanajeshi na Askari barabarani au kupiga wananchi risasi huku attention ya dunia iko Tanzania sababu ya AFCON. Mipango ianze sasa ya kupush maandamano makubwa kwenye AFCON ya 2027 Kwanza hiyo kampeni tu ya kufanya maandamo siku ya ufunguzi wa AFCON tayari tutapata attention ya dunia nzima……..
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸 tweet media
Indonesia
197
471
2.1K
70.9K
mk-sulphur がリツイート
kasesco☆
kasesco☆@kasesco_tz·
Mwanaume anaye lamba Bakuli, ni yule anayejua Anakula peke yake..
Filipino
7
26
89
1.7K
mk-sulphur がリツイート
Maviatu 👞👟🥾🛍️🛒
Utachagua mwenyewe ufanye kazi halali uendelee kusumbuliwa na mamlaka au uwe fisadi ule bata.
Indonesia
35
88
694
17K
mk-sulphur がリツイート
Jambo TV
Jambo TV@Jambotv_·
VIDEO: Makamu Mwenyekiti wa @ChademaTZ2 Bara John Wegesa Heche amemuelezea Marehemu Selemani Bungara(Bwege) kama mtu ambae aliyesimama imara kuwapigania wananchi kila alipopata nafasi huku akiwa hayumbishwi. Heche amezungumza hayo leo Machi 31, 2026 aliposhiriki mazishi ya Bwege Kilwa Kivinje mkoani Lindi na kueleza kuwa Bwege mwenyewe alimpenda sana Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu kutokana na misimamo yake. Pamoja na hayo Heche ameeleza kuwa kama Lissu asingekuwa gerezani basi siku ya leo angeshiriki mazishi ya Bwege kutokana na kuwa pia yeye alimkubali Marehemu Bwege. Tazama Hotuba nzima ya Heche Kwenye YouTube yetu ya Jambo TV.
Indonesia
1
93
596
8K
mk-sulphur がリツイート
AM💡
AM💡@TonnyUnfiltered·
Yaani mtu ni doctor kampeleka nguo yake kwa fundi imeshonwa vibaya doctor nae anasema nawe utakuja tu hospital hii sio haki kabisa.💔
Indonesia
20
33
91
1.5K
mk-sulphur がリツイート
Godbless E.J. Lema
Godbless E.J. Lema@godbless_lema·
Mungu anaipenda sana CHADEMA. Huyu chalii kachomoka? Honestly, si loss. Alikuwa full liability, yeye kuwa CHADEMA ilikuwa risk zaidi, kama meli za mafuta kupita Strait of Hormuz. Mara tatu nilishataka kumfukuza nikiwa Mkti wa Kanda ya Kaskazini, lakini waliomhitaji wakam-hold. Sasa hivi? POA. He is nothing, buddy.
Godbless E.J. Lema tweet media
Indonesia
65
143
1.3K
69.9K
mk-sulphur がリツイート
Farhan Kihamu Jr
Farhan Kihamu Jr@FKihamu·
Hili suala la uwanja wa Arusha yaani pesa imeongezeka 81%? CAG kasema kutoka 181B mpaka 300+B.
Indonesia
81
69
1K
44.1K
mk-sulphur がリツイート
Day Waka45
Day Waka45@Day_Waka45·
Anko zangu Kwa hii taarifa Ya CAG Kiukweli Mnada haupo mbali Tukae Kimkakati Sana.
Day Waka45 tweet media
Filipino
14
22
91
1.4K
mk-sulphur がリツイート
SATIVA
SATIVA@Sativa255·
"Nimeshasema hawa viongozi HAWANA ECONOMIC FOCUS, kama wanayo waionyeshe". Father KITIMA anaendelea kupiga Panapouma. SIKILIZA SHULE KUTOKA KWA PHD KITIMA. REPOST 200
Filipino
34
495
1.9K
34.1K
mk-sulphur がリツイート
Godbless E.J. Lema
Godbless E.J. Lema@godbless_lema·
Natoa pole kwa ndugu, rafiki na jamaa wa Bwege. Nilikuwa naye Bungeni, alikuwa mbunge anayechukizwa na mateso ya watu na mauaji. Niliongea naye hivi karibuni na kuahidi kumuona siku za karibu, lakini haitowezekana tena sasa. Pumzika kwa amani. “Kila nafsi itaonja mauti.” Qur’an (3:185) Kifo kina ukimya unaozidi maneno. Hutufundisha kuwa muda si mali yetu bali ni mkopo. Kinaondoa kiburi cha kesho na kutuacha na ukweli wa leo. Mwisho wa pumzi si mwisho wa maana, bali ni mwanzo wa kupimwa kwa yale tuliyoishi. Tunapomlilia aliyeondoka, tunakumbushwa kuwa safari yetu ina mwelekeo ule ule, na thamani ya maisha ipo katika athari tunazoacha nyuma, si muda tunaokaa duniani.
Godbless E.J. Lema tweet media
Indonesia
22
163
1.2K
16.6K
mk-sulphur がリツイート
𝐌𝐚𝐬𝐬 𝐤𝐢𝐝
Mtu kama huyu huwezi kuta wananchi wakishangilia kifo chake. Pumzika kwa Amani Bwege 🙏🏽💔
𝐌𝐚𝐬𝐬 𝐤𝐢𝐝 tweet media
Indonesia
69
279
2.8K
25.2K
mk-sulphur がリツイート
#NIPENI_MAUA_YANGU💐
#NIPENI_MAUA_YANGU💐@Roma_Mkatoliki·
G.O.A.T 🦅 Forever In Our Hearts Rest Easy Legend 💔
#NIPENI_MAUA_YANGU💐 tweet media
English
78
546
4K
34.3K
mk-sulphur がリツイート
Godbless E.J. Lema
Godbless E.J. Lema@godbless_lema·
Kuna tukio kama hili kweli ? Ujinga ni mzigo sana. Kuna haja gani ya kutokuwa wazi kwenye mambo kama haya ? Maisha yetu yamekuwa na thamani ndogo kuliko mende. Jambo la huzuni na hatari sana.
Godbless E.J. Lema tweet media
Indonesia
10
79
752
20.5K