Mr Reforms💪

6.3K posts

Mr Reforms💪 banner
Mr Reforms💪

Mr Reforms💪

@BigMon254

Mr Reforms is a passionate and tireless *human rights activist*, committed to advocating for justice, equality, and the dignity of all individuals.✌️✌️✌️✌️

Pwani, Tanzania Katılım Ağustos 2012
782 Takip Edilen38.9K Takipçiler
Godbless E.J. Lema
Godbless E.J. Lema@godbless_lema·
Kwa mara ya kwanza kula Krismas nikiwa mahabusu, tukiwa mahakamani, binti yangu Brilliant alinipiga moyo kwa maswali ya uchungu !! Brilliant: “Dad, tutaweza kuja na Mum kula na wewe Krismas huko ? Mimi: “Hapana, hauwezi kuja!” Brilliant: “Je, mimi naweza kuja kulala na wewe huko?” Mimi: “Hapana, haukuruhusiwi!” Brilliant: “Nikifanya kosa gani, basi naweza kuja kukaa na wewe huko?” Mimi: “Usiogope, mwanangu, nitakuwa nawe hivi karibuni.” Brilliant , akalia sana, machozi yakimiminika !! Kuna uchungu wa visasi mkubwa unaojengwa na kuimarishwa kwa nguvu na Serikali ktk Jamii. Ni hatari sana. Mh Lissu hastahili hata kidogo mateso ya aina hii.
Godbless E.J. Lema tweet media
Indonesia
40
253
1.7K
46.4K
Martin Maranja Masese
Martin Maranja Masese@IAMartin_·
Kura za kishindo 98% mlizopata katika uchafuzi hazitoshi kuwaunga mkono wasanii wenu wakapata kipato? CCM imepigiwa kura milioni 32. Hii ni zaidi ya ½ ya watanzania wote milioni 61. Watu 29 milioni wanaobaki hawawezi kuwa na msaada kwa wasanii wenu. Wasanii wa CCM, fanyeni kazi.
Indonesia
31
186
1.3K
25.4K
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
Haiwezekani Wengine tufanye Kazi afu wengine WAIMBE. Wote tufanye kazi.
HT
65
148
831
18.9K
Kumbusho Dawson Kagine
Kumbusho Dawson Kagine@KumbushoDawson·
Kwa hiyo usiku huu ndiyo mtaongeza ulinzi zaidi?....Msiwe mnafunga comments ili wananchi wenye jeshi lao wawe wana comment
Filipino
16
17
172
7.6K
Godbless E.J. Lema
Godbless E.J. Lema@godbless_lema·
Hotuba ya Madam Samia imekuwa nzuri kwa sababu imebeba ishara za msaada wa Mwenyezi Mungu juu ya Nchi. Kama Mungu alivyofanya wakati akiwatoa Waisraeli Misri alipouacha moyo wa Farao uwe mgumu ili ajitukuze mbele ya watu wake, vivyo hivyo utukufu wa Mungu umeonekana Tanzania, tunahitaji mambo magumu ili kuthibitisha alama za nyakati na tujue tulikuwa na yeye ktk safari ya haki. Ninaiona kesho iliyo bora, yenye heshima na utukufu wa Mungu, maana dalili zote tayari zimekamilika. Basi tusifikiri mabaya juu ya mtu yeyote bali tuendelee kutafakari haki na wala tusichoke kutenda wema maana tutavuna pasipo kutarajia. Mtamshangaa sana Mwenyezi Mungu. Mimi, ingawa ni mdhaifu na sina uadilifu mbele zake, lakini ninautambua uwezo wake usio na kifani. Leo imekuwa siku ya ishara kubwa. Jipeni Moyo Mkuu. Tutavuka salama. Msizimie Moyo.
Indonesia
123
632
3.5K
99K
Martin Maranja Masese
Martin Maranja Masese@IAMartin_·
MC PILIPILI imethibitishwa kwamba aliuwawa kwa kupigwa, kuteswa na kuuwawa. Nani alimteka na kumuua? Haijawekwa wazi. Wasanii wapumbavu wamekwenda Dodoma kujiliza kiwaki, lakini hawasemi waliomuua wakamatwe. Wasanii wapumbavu wameshindwa hata kukemea utekaji. Kitu gani wanaweza?
Filipino
113
418
2.8K
58.1K
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
Ndugu zangu WAHAINI katika imani naomba tuimalize SIKU kwa kutuma salamu kuelekea #D9
Indonesia
44
117
873
16.3K
Mr Reforms💪 retweetledi
Twaha Mwaipaya
Twaha Mwaipaya@Twaha_Mwaipaya·
Jioni ya Leo Nchini Kenya ,Nairobi maeneo ya CBD watu wa Jumuiya ya East Africa (wana jumuiya) wamekusanyika na KUWASHA MISHUMAA kwaajili ya kuonyesha mshikamano na watanzania kwenye kipindi hiki kigumu cha MAUAJI YA KIKATILI YALIYOFANYWA NA SAMIA NA VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA.
Twaha Mwaipaya tweet mediaTwaha Mwaipaya tweet mediaTwaha Mwaipaya tweet mediaTwaha Mwaipaya tweet media
Indonesia
20
224
893
14.8K
Mr Reforms💪 retweetledi
Madenge
Madenge@rollymsouth·
Lissu alisema atakinukisha Yuko gerezani, Shekhe kasema atakata vichwa waandamanaji imekuwa habari kwenye media ana trend yupo kijiweni anavuta fegi na kahawa... Karibu Tanzania.
Indonesia
106
521
2.9K
62.6K
Mr Reforms💪
Mr Reforms💪@BigMon254·
@Jambotv_ Walitoka nje? Walifuata mkumbo? Walililipwa fedha? Kipi ni kipi?
Indonesia
0
0
0
39
Jambo TV
Jambo TV@Jambotv_·
VIDEO: Jumuiya na Taasisi za Kiislamu nchini zilizo chini ya Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) zimewataka vijana na wananchi kwa ujumla kutumia busara, utulivu na kufuata utaratibu wa kisheria wanapodai haki zao, huku zikisisitiza umuhimu wa kuepuka mikusanyiko isiyo rasmi hususan tarehe 9 Desemba 2025 kufuatia taarifa za uwepo wa maandamano. Akizungumza leo kwa niaba ya Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania katika Msikiti Mkuu wa BAKWATA wa Mohamed VI, wilayani Kinondoni mkoani Dar es Salaam mara baada ya itikaf ya kitaifa iliyoitishwa na Mufti, Amiri Mkuu wa Baraza Kuu la Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Mussa Kundecha, ametoa wito mahsusi kwa vijana kuzingatia usalama wao na wa taifa. “Tunawaasa vijana wetu kuitumia siku ya tarehe 9 Desemba kukaa nyumbani na wazazi wao kuliombea taifa letu na kufanya ibada kama sehemu ya kudumisha amani na utulivu wa taifa letu,” amesema Sheikh Kundecha na kuongeza, “Tunataka Waislamu na Watanzania wote kwa ujumla pale wanapolazimika kudai haki zao- iwe serikalini au popote pale nchini wadai haki hizo kwa kufuata taratibu na sheria tulizoziweka katika nchi yetu. Kufuata sheria na taratibu katika kudai haki kutahakikisha kwamba haki za Watanzania wengine nazo hazivunjwi.”
Indonesia
100
7
102
18.2K
Maulid Kitenge
Maulid Kitenge@mshambuliaji·
“Tumeambiwa kwana Vijana wale walioingia Barabarani, walilipwa fedha kwanza ndio wakaingia barabarani Je, Fedha zilitoka wapi, Tume mkaangalie hayo”____ Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza wakati akizindua Tume Huru ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa amani yaliyotokea wakati na baada ya uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba 29, 2025.✍️ #KitengeUpdates
Indonesia
191
20
299
62K
Mr Reforms💪 retweetledi
Boniface Mwabukusi
Boniface Mwabukusi@Mwabuk2Boniface·
MTU NI UTU NA SIYO KILA MTU ANA UTU. NIMEONA VIDEO KWENYE UKURASA WA DADA MANGE KIMAMBI. NInapotizama video hizi za ndugu zetu walio uwawa na kulundikwa mithili ya Mikungu ya Ndizi kutokana na maandamano ya tarehe 29 oktoba 2025 Inahitaji moyo wa kishetani kuzungumzia maridhiano kabla ya Ukweli ,Haki na Uwajibikaji. Sijawahi Amini kwamba katika Taifa letu tunaweza tukawa na Majitu katili kiasi hiki katika mfumo wa utumishi wa Umma.Mungu Awalaani kabisa kila mmoja hadi kizazi chake cha 4. HUU NI UHALIFU MKUBWA SANA NA HAUTAKIWI KUONEWA AIBU.ALIYE PANGA ,ALIYERATIBU NA ALIYETEKELEZA LAZIMA KWANZA WAWAJIBIKE KILA MMOJA KWA KADIRI YA MATENDO YAKE. UNYAMA HUU HAUVUMILIKI BAK MWABUKUSI.
Filipino
176
741
2.6K
97K
Twaha Mwaipaya
Twaha Mwaipaya@Twaha_Mwaipaya·
Ee Mungu twakuomba Samuya usiku huu maiti zote zimtokee, kila akilala asipate usingizi, na akipata usingizi aote anakunywa damu za watu, ee Mungu twakuomba usikie kilio chetu tarehe 9 utufute machozi yetu.
Indonesia
27
125
746
13.6K
Mr Reforms💪 retweetledi
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸@mangekimambi·
OMG!! 😭😭😭😭 hii ni Mortuary ya Mwananyamala. Alieachia video hii anahofia mnooo maisha yake ndo maana imemchukua muda sana kunipa video hii. Anasema kuwa polisi walikuwa wanachukua simu za manesi na madokta wanafuta video na picha na kuwatishia wasirekodi kitu, yeye alikuwa na simu 2 so akawapa simu ambayo alikuwa hajarekodi chochote wakaridhika.
Filipino
2.1K
3.7K
7.8K
2M