@rawknuckle Did everything he could with the little resources and know he has and still able to raise 3 children to become good human beings and successful professionals. Absolute G of a Man.
GEORGE ANAHITAJI MSAADA WAKO ILI AWEZE KUTEMBEA TENA.
Huyu anaitwa George Wayanga aliwahi kuwa Katibu wa BAVICHA Wilaya ya Chunya kipindi cha 2014-2019 na amekuwa Katibu wa CHADEMA Wilaya ya Chunya 2019-2024.
Siku za hivi karibuni alipata ajali iliyopekea kukatwa mguu wake kwasasa anatumia magongo ili aweze kutembea.
George anahitaji msaada wa hali na mali ili aweze kupata mguu bandia ambao gharama yake ni TSH 2,200,000/=
Hivyo tunaomba mchango wako kiasi chochote ulichojaliwa na Mungu ili George aweze kupata mguu bandia ambao utamuwezesha kutembea na kuendelea na shughuli zake za kila siku.
Mchango wako unaweza tumwa kwenye hii namba
M-PESA 0760638604
Jina: George Wayanga.
Natanguliza shukrani za dhati.🙏🏻
@fintanjr_ Kwamba CNN iseme serikali ilichokozwa ikaamua kuua?
Cha kutuunganisha kama taifa ni uwajibikaji wa wauaji, ukweli, katiba mpya sio report za CNN
Na unasemaje hufungamani na upande wowote wakati Kuna kundi linaonewa na Kuna watu wamekufa bila hatia?
Sina chama, sifungamani na lolote ila kwenye report ya CNN kuna bias.. lolote linalofanyika bhasi litusaidie kama taifa na sio kutuvuruga zaidi.✍..
Na huu ni mtazamo wangu, wenye akili karbuni kwa hoja, hopeless karibuni kwa matusi🤝
@fredkavishe Hicho kitu Tanzania kinaingilia sikio la kulia linatokea sikio la kushoto,kama kweli haya yatakuwepo mimi ni muislamu lakini kati ya mufti na gwajima namsaidia gwajima bila kusita,kwani sio mnafiq ati mufti anakula rushwa atetee ujinga halafu anishawishi nini mimi.
@GilbertVialis@GeofrayLuanda@MunishiRenald Kwani wewe umefanya tafiti na kubaini ni wananchi kiasi gani wa rika lipi ambao wanahitaji mabadiliko ya Katiba!?? Takwimu unazo??
@gabyconscious Waziri ni mtu wa sera tu kaka kuna watendaji ambao ni brain kwa maana ya wataaluma wala makatibu wakuu ma watendaji asa huyo kama anaweza kufanya managerial functions
@Thommunkondya anakwambia hana shida na watoto wa viongozi kupewa nafasi sasa hapa mtu anapewa nafasi kwa wizara kama hii kwa vigezo hivi mnaona ni sawa tu.
@GeofrayLuanda@MunishiRenald Wanaoitaka katiba mpya ni Wanasiasa wa upinzani, wakidhani kuwa itaweza kuwa na mianya ya kuwarahisihia wao kuingia Madarakani, Wananchi wa kawaida haja zao ni kuboreshwa kwa huduma za kijamii na miundombinu ili wawe na unafuu katika maisha yao ya kila siku.