Jeff
565 posts


@EmmanuelMoshi91 @Mr_Moshki Oii uyu hii hasira kuna kitu hakijaenda sawa😁😁
Indonesia


Baada ya kukamilika kwa mabadiliko ya mfumo wa uendeshaji wa benki (Core Banking System) ndani ya saa 72, Benki ya CRDB imewahakikishia wateja wa benki hiyo kuwa fedha zao zipo salama na huduma zote sasa zinapatikana kama kawaida.
Wateja waliokuwa na wasiwasi juu ya salio kusoma sifuri kwenye akaunti zao au upatikanaji wa huduma wametakiwa kuwa watulivu kwani mabadiliko hayo yalikuwa ni ya kiteknolojia, yakilenga kuimarisha zaidi huduma kwa wateja wa ndani na nje ya nchi.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela, amesema zoezi hilo la kiufundi lilihusisha uhamishaji wa taarifa zote muhimu za wateja kutoka mfumo wa zamani hadi mpya bila kupoteza taarifa yoyote.
Amesema zoezi hilo lilifanyika kwa umakini mkubwa ili kuhakikisha usalama wa taarifa na fedha za wateja unazingatiwa kwa viwango vya juu kabisa.
“Tulifanya kazi usiku na mchana kwa saa 72 kuhakikisha kila kitu kinaenda sawa. Sasa mfumo mpya uko hewani, na huduma zote zimerejea kwa ubora na kasi kubwa zaidi,” amesema Nsekela.
Ameongeza kuwa Benki ya CRDB ambayo inaendelea kupanua huduma zake kimataifa ikihudumu nchini Burundi, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), na sasa ikiweka mikakati ya kuingia sokoni Dubai, imesema haikuwa na budi kuboresha mfumo wake ili kukidhi mahitaji ya kimataifa.
Amebanisha kuwa Mfumo mpya unaiwezesha benki kutoa huduma zenye usalama zaidi, ufanisi wa hali ya juu, na uwezo wa kuongeza huduma mpya za kidijitali kwa urahisi zaidi.
Katika mchakato wa mabadiliko, baadhi ya huduma zilisitishwa kwa muda, ikiwemo huduma za matawini na baadhi ya njia mbadala kama CRDB Wakala, SimBanking na huduma za mtandaoni. Nsekela amesema hatua hiyo haikuwa rahisi lakini ilikuwa ya lazima ili kutoa nafasi kwa timu ya wataalamu kukamilisha mchakato kwa mafanikio.
Kwa upande wake, Afisa Mkuu wa Uendeshaji wa Benki ya CRDB, Bruce Mwile, amesema mabadiliko hayo yameweka historia mpya kwa taasisi hiyo kwa kuwa sasa wateja wanaweza kupata huduma katika lugha wanayoitaka na kufanya miamala kwa sarafu mbalimbali kulingana na nchi au mahitaji yao.
#KitengeUpdates



Filipino

@bedjosessien Yanga, simba,Azam & Singida began investing competitively in their teams by by signing players of international calibre , hiring experts to manage the teams, offering appealing salaries to the players.
English

Yanga sponsorship deal with Sportpesa is Tzs 21 billion equivalent to $8,348,629 for 3 years
Yet in Kenya 🇰🇪 if you look at FKF deal with Sportpesa equates to a minimal sum for clubs.
Why are Tanzania 🇹🇿 clubs good negotiators than Kenya 🇰🇪 clubs and federation and they both deal with Sportpesa?
@soka25east

English

@BillyTronix1 Dar na Dodoma zimeifanya Morogoro idumae,Viongozi wakitoka Dar destination wanaiwazia Dom. Na wenyeji wana mentality kua wapo Dar wanaisahau nyumbani
Indonesia

@EmmanuelMoshi91 @Eric__Bernard Daah noma sana, Nimeongea na prof Kumburu kasema nisiwe na haraka ata yeye ni mipango ya 2030
Indonesia

@Eric__Bernard @Jeffdizle hadi Mangasini katoboa hujaonekana kwenye mkeka wewe tu 😂
Indonesia

Hawa ni baadhi ya maprofesa waliopitishwa:
1. Prof. Ester William Dungumaro (Jimbo la Korogwe Mjini)
2. Prof. George F. Kinyashi (Jimbo la Korogwe Vijijini)
3. Prof. Mangasini Atanas Katundu (Jimbo la Kaliua)
4. Prof. Norman Adamson Msigala (Jimbo la Makete)
5. Prof. Noah Makula Pauline (Jimbo la Magu)
6. Prof. Edwinus Chrisantus Lyaya (Jimbo la Magu)
7. Prof. Palamagamba Kabudi (Jimbo la Kilosa)
8. Prof. Sospeter Mwijarubi Muhongo (Jimbo la Musoma Vijijini)
9. Prof. Neema Penance Kumburu (Jimbo la Moshi Mjini)
10. Prof. Patrick A. Ndakidemi (Jimbo la Moshi Vijijini)
11. Prof. Pius Yanda (Jimbo la Buhigwe)
12. Prof. Joyce Lazaro Ndalichako (Jimbo la Kasulu Mjini)
13. Prof. Obadia Venance Nyongole (Jimbo la Mufindi Kaskazini)
14. Prof. Alexander Kitila Mkumbo (Jimbo la Ubungo)
15. Prof. Kokel Letia Melumbo (Jimbo la Ngorongoro)
16. Prof. Daniel Mrisho Pallangyo (Jimbo la Arumeru Mashariki)
HT

@EmmanuelMoshi91 @udsm_finest Dr nakuona mkuu, financial Management iyo
Filipino

@swahilitimes Sema mama akimuamini mtu ashamuamini
Mbona watu tupo wengi wa kumreplace mjomba
Indonesia

@KE_MrBlack @Jeffdizle brother from another mother, feel remembered 😁😁
English

VIDEO:
Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo, Ado Shaibu, amesema chama chake hakitashiriki mpango wa kususia Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 kama ilivyopendekezwa na CHADEMA @ChademaTZ2 , kwa sababu historia imeonesha kuwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) @ccm_tanzania hakijawahi kutikisika hata pale vyama vya upinzani vinapoungana kususia uchaguzi.
Akizungumza Jumanne katika Mkutano Mkuu wa ACT Wazalendo @ACTwazalendo Jimbo la Kigamboni mkoani Dar es Salaam, Ado Shaibu @AdoShaibu amesema chama hicho kitaendelea kuamini katika mikakati ya kukabiliana na CCM kwa njia ya kisiasa kupitia sanduku la kura, badala ya kususa uchaguzi.
“Wanaosema wapinzani tukiungana kususia uchaguzi CCM italeta mabadiliko, sielewi wanazungumzia CCM ipi! CCM hii ya Rais Samia na Nchimbi au CCM ya China?” amehoji Ado.
Akikumbushia historia ya kisiasa ya hivi karibuni, Ado amesema kuwa mwaka 2016 vyama vinne vya upinzani chini ya mwavuli wa UKAWA, pamoja na ACT Wazalendo, vilisusia uchaguzi wa marudio visiwani Zanzibar. Lakini licha ya hatua hiyo ya pamoja, alidai kuwa CCM haikuonesha kuguswa na badala yake iliendelea na mchakato wa uchaguzi kama kawaida.
“ACT Wazalendo tulikwenda mbali zaidi hadi tukamsimamisha Makamu Mwenyekiti wa Chama chetu alipotaka kushiriki uchaguzi huo. Lakini CCM haikujali. Dawa ya CCM ni kukomaa nao kwenye uchaguzi, siyo kuwakimbia,” amesisitiza.
Indonesia

@spana_Konki Mbona hii rahisi jombaa Fallac..profit or loss= Total salary income-Total expenses
Català


There is a club in East Africa that recently approached Rulani Mokwena to become their next head coach. 🚨📰
He welcomed the approach respectfully, but after a few discussions, it became clear that the club lacks even basic facilities like a proper training pitch.
Despite projecting a big image on social media, they are dealing with several internal issues.
Given the circumstances, it was difficult for Mokwena to accept the offer.
A wise decision by the South African tactician — better to learn from the past than walk into failure.
#AfricanFootball

English


















