Sabitlenmiş Tweet
Laz King
1.4K posts

Laz King
@Laz_king99
Man of Animal health | Vetenarian | content creator | young african fan and Arsenal fan
Tanzania Katılım Eylül 2021
709 Takip Edilen388 Takipçiler

@SeekNaturalLife Kaka mimi nililiwa hela na ndugu yangu na huku akijua fika hio hela aliyoila ndio hiohio niliokuwa nayo
Filipino

@Thereal_Kabote shot sana sasa nikamlia buyu mazima kila akinitext buyu akipiga buyu asa waku nimezngua au imekaaje hii?
Indonesia

@Thereal_Kabote Mi kuna dem mmoja nilikuwa namfukuzia sasa nikampata, mwanzoni alikuwa anaeleweka vizuri tu maana tulijuana mda mchache yeye akarudi zake chuon ni mkoani, sasa juzi kati vyuo vilipokuwa vinakarbia kufungwa nikawa namcheki akawa arespond siku mbili tatu akawa anajibu fresh ila
Filipino

@McinikaWaLamar @fintanjr_ Milundikwa hilo shamba halina mwisho, nikikumbuka nachoka mimi
Filipino

@fintanjr_ JKT kama Una Roho nyepesi unaweza kutoroka nakumbuka 847 KJ 😃
Indonesia

Nakumbuka Baada ya kumaliza form 6, nikajikaza kwenda kureport kambi moja kule songea, kama mnavyojua " mujibu wa sheria"..
Tukareport , picha linaanza tumelala saa 6 saa 7 tunaambiwa kumekucha,. Unajiuliza kumekucha vipi na hili giza, wanasema hilo giza ndio kukucha kwenyewe,..
Bhasi bhana kati ya tulioreport alikuwepo jamaa ana kichwa kirefu, hakuwa mlemavu ila alikuwa na kichogo kirefu,..wakawa kila muda wanampiga makofi , wanamwambia wanataka wamuue ili asije akaendeleza kizazi chake😂💔,.. jamaa mwisho akatoroka usiku sana ..
Indonesia
Laz King retweetledi
Laz King retweetledi
Laz King retweetledi
Laz King retweetledi
Laz King retweetledi

Bro to bro
Kitu cha kweli kabisa unachoweza kujifanyia ni kujituma kwa nidhamu kubwa na kuamua kubadilisha mwelekeo wa maisha yako. Usisikilize kelele za nje, usitafute visingizio, wala usilaumu mtu weka macho kwenye matokeo.
Usikate tamaa hata mambo yanapokuwa magumu wewe pambana hadi dakika ya mwisho. Kumbuka, jukumu la maisha yako lipo mikononi mwako mwenyewe. Uamuzi wako wa leo ndiyo unajenga kesho yako. Endelea kusonga mbele daima bila kurudi nyuma 🙏
Indonesia
Laz King retweetledi

@mswahili___ " Hivi ntatoboa kweli namuuliza mwanangu Ibrahim, Ajibu"
Indonesia

@samuelmway Shida hapo wengi wanawaza uefa mchawi hapo Aston villa
Indonesia

















