RAT corp.

423 posts

RAT corp. banner
RAT corp.

RAT corp.

@LonzoUnzo

Kilonzo

babati Tanzania Katılım Şubat 2025
140 Takip Edilen141 Takipçiler
myahudi
myahudi@goliath22_·
Mke wangu ameuvua nguo zote na mimi sina hamu nifanyaje? 😭
9
7
30
4.2K
Toxic
Toxic@Kieni_vic·
Nashangaa kuna watu huoga kama wamesimama, Kwani nyinyi hamnanga bathtub?
Indonesia
14
40
93
1.3K
SPOON
SPOON@TonnyUnfiltered·
Kwa mwaka unabadilisha wapenzi mara ngapi?
Filipino
9
24
54
1.2K
RAT corp.
RAT corp.@LonzoUnzo·
@macare_46 Pesa inatakiwa iwe kwa watu wasioona vizur ili wawemakini kuhesabu Kaangalie picha za dangote na kikosiake wote vipofu
Indonesia
1
0
1
9
MACARE
MACARE@macare_46·
Bado najiuliza kwanini watoto wakishua ndio wana-umwaga sana macho mixer wana-vaa miwani , kwani huwa kuna siri gani?😂
Filipino
1
1
2
13
𝐅𝐢𝐧𝐞𝐡𝐚𝐢𝐫
On a serious note, if the Earth spins at about 1670km/hr, why don’t aeroplanes accidentally land somewhere else
English
43
62
296
14.2K
MACARE
MACARE@macare_46·
Hivi kuna mwanaume hajui kupika
Suomi
1
1
2
11
RAT corp.
RAT corp.@LonzoUnzo·
@macare_46 Funga leo kesho nenda kwa wasabato chukua neno kuna msosi wa kimwili mchana
Indonesia
1
0
1
3
MACARE
MACARE@macare_46·
Leo mgaa mgaa na upwa nisipotumia kipaji naenda kula wali mkavu
Filipino
1
1
4
15
RAT corp.
RAT corp.@LonzoUnzo·
@macare_46 Ukishakula muwa yale makapi yanaendelea kuwa matamu au yanaisha
Indonesia
0
0
0
7
MACARE
MACARE@macare_46·
Unaweza kuta mavi ni matamu harufu ndio mbaya tu 😂😎
Indonesia
1
1
3
13
RAT corp.
RAT corp.@LonzoUnzo·
@macare_46 Sasa si kama ni relative poverty na wewe mfano mo kwa dangote mo ni maskini
Filipino
1
0
1
8
MACARE
MACARE@macare_46·
Matajiri huwa na kauli zao za ki-miyeyusho ili tusijisikie vibaya, (masikini wenzangu,sisi sote ni walalahoi)😂💔
Indonesia
1
1
2
11
The Hippo
The Hippo@Hippopotamuc·
@LonzoUnzo @MkulimaKante What? I had this those days, ila nikazingatia kukoga mara mbili per day..., but after having regular sex haijatokeanga tena
Indonesia
1
0
0
19
Kante
Kante@MkulimaKante·
Kuna madhara yeyote kisayansi mwanaume anayapata endapo hatashiriki tendo kwa muda mrefu kuanzia mwaka mmoja hivi. X madaktari msaada majibu ya chatgpt sijayaelewa.
Indonesia
18
13
122
8.8K
MACARE
MACARE@macare_46·
Kwanini wanao tumia ugoro hawapigi mswaki
Filipino
1
3
4
102
RAT corp.
RAT corp.@LonzoUnzo·
@macare_46 Ishanikuta nimeenda choo cha stendi nikalipa naondoka anasema sijalipa nilitamani nimtusue ila nikiangalia pale arusha stend isijekuwa jau nikalipa 200 yao
Indonesia
1
1
1
17
MACARE
MACARE@macare_46·
Omba sana usiwahi kuwa kwenye hali ambayo ni mungu pekee ndio anajua unasema ukweli
Filipino
2
2
5
51
RAT corp.
RAT corp.@LonzoUnzo·
@kasesco_tz Ndio kulikua na secta ya vita kilimo na ibada na zote zilikua na wajuzi ambao wanatoa ushauri kwa namna ya ujuzi wao sema sisi tulipo feli wazee hawakuandika kitu kwenye karatasi wanaishinavyo kichwan walivyopotea vikaenda kama ww nadhani pia kuna idea unazo ila hazipo noted
Indonesia
0
0
0
42
kasesco☆
kasesco☆@kasesco_tz·
Hivi huko nyuma na wazee/wazazi wetu walikuwa na washauri (mentors) kwenye mahusiano,kilimo,mifugo na maisha kwa ujumla..?
Indonesia
12
31
93
2K
MACARE
MACARE@macare_46·
Kwahiyo ndugu zangu mlio ajiriwa mnafanya kazi siku 365 lakini mnalipwa siku 12 tu😤😎
Indonesia
3
8
29
877
Big
Big@zed_ogtz·
M20 Kujenga Tu Kiwanja Kipo Ni Pesa Nyingi Sana. Jenga Nyumba Yenye Material Ya Kawaida. Mfano Ezekea Bati Nyeupe Jengea Tofali Za Choma Piga Lipu Ya Normal Chini Weka Sakafu Choo Cha Kawaida Sio Kile Cha Gharama Alafu Nje Piga Nyumba Yote Lip Paka Rangi. Simamia Mwenyewe.
Indonesia
8
21
112
5.2K