Eng. Mwaimu retweetledi

Kumbe Chama alienda kupeleleza Yanga😁
Seleman Mwalimu amefunguka kuhusu namna Chama alivyomkabidhi ule mpira apige penalty kwa masharti mazito……
“Kwanza namshukuru Mungu kwa kuaminiwa na kupewa jukumu la kuleta furaha msimbazi baada ya muda mrefu…., Chama alinikabidhi mpira lakini kwa sharti moja tu (Kipa wao au mchezaji wao asiuguse ule mpira mpka nipige) na Mimi sikufanya makosa nilichofanya ni kupigilia msumali”
Akamalizia “Chama ni Mwalimu Wangu wa mpira hivyo nilitakiwa nifate maelekezo yake yooote,. Maana amekaa nao wale”.
🗣️Selemani Mwalimu


Indonesia





























