Ian The Iron Lion🦁
1.4K posts

Ian The Iron Lion🦁
@Rated_R29
Scientist | Researcher | Man U & Simba Sc Die Hard | Buses Fan | Full Time Father
Pwani, Tanzania Katılım Ağustos 2012
208 Takip Edilen249 Takipçiler

Mahakamani shaidi hudodoshwa ili kumcondradict na ushaidi wake na mwisho kumpotezea credibility.
Story ya Hilda sitaki kuisema kuwa yote ni ya ukweli au yote ni uongo. Nitakuwa nagusa maeneo maalumu tu.
1. HILDA: Buyobe alimdanganya Mshabaha kwamba Msuya alikuwa Diwani wa Chadema wa Ubungo huku akijua
fika kwamba Msuya hajawai kuwa Diwani.
FACT: Si kweli nilidai Msuya alikuwa diwani Ubungo. Ili limepindishwa makusudi kimkakati. Nilimtambulisha Msuya kama aliyewahi kuwa mwenyekiti wa CHADEMA Ubungo Msewe.
2. HILDA: Mshabaha alimuliza ndani ya CHADEMA anamfahamu nani Buyobe akasema @ExMayorUbungo na Hilda Newton kama girlfriend wake japo kwasasa Msuya hana mahusiano mazuri na Bony.
FACT: Sikuwahi kutaka kwa njia yoyote kumtumia Bonny kutia ushawishi ili Msuya aaminike. Sijisikii vizuri kumjadili hapa Bony kwani nitakuwa namuingiza kwenye issue isiyomuhusu. But ni kweli tukiwa kwenye maongezi ni Msuya mwenyewe alieleza juu ya ukaribu wake na Bony very casually. Pia ni kweli Msuya alitueleza mimi na Mshabaha kuwa Hilda alikuwa girlfriend wake. Hapa ukakasi ninaoupata, Hilda kwa nini anataka kujitenga na Msuya kwa kukana kutomjua. Lets say inawezekana hawakuwa na mahusiano, vipi ashindwe kumtambua Msuya kama mwenyekiti wa mtaaa maarufu kama Msewe, ambao wakati ule ulikuwa ni kama kambi ya wasomi wengi wa UDSM
NB: Nitaomba nisaidiwe, Msuya alitueleza alikuwa mwenyekiti wa wenyeviti mkoa wa kichama Ubungo. Kama ni kweli, Hilda bado anashindwa kumtambua kiongozi wake huyu chamani?
3. HILDA: Nilimpigia simu Buyobe, nikamuuliza kwanin alimdanganya Mshabaha kwamba mimi ni Girlfriend wa Msuya wakati anajua mimi na Msuya hata hatufahamiani, alijiumauma sana mwisho akajitetea kwamba Msuya alimdanganya.
FACT: Sijawahi kuulizwa na HILDA juu ya taarifa za Msuya kudai wana mahusiano. Nazidi kutia mashaka kwa nini hapa kwenye Mahusiano anaparejea hadi kutoa ushuuda wa uongo. The fact ni kwamba Hilda anamjua Msuya inawezekana sio kama mpenzi wake. Kumkana kutomjua Msuya hadi kutotambua nafasi yake ya uongozi chamani inaweza kutoa strong suspicion ya inawezekana wanajuana zaidi tujuavyo. Ni issues ndogo but yenye trustworthy issues.
HILDA: Msuya baada ya kupiga tukio jioni ya siku hiyo hiyo, alionekana maeneo ya Namanga akivuka kuelekea Dar wakati huo Buyobe yeye alikimbilia maeneo ya Busia (Hii ni kwa mujibu wa maelezo yake mwenyewe) na hapo alifanya bila kuwasiliana na mtu yeyote hata wale waliompokea hakuwajulisha, licha ya kwamba awali wakati anafika alisema haijui kabisa Kenya ni mara yake ya kwanza kufika Kenya.
FACT: Sikujiondokia bila taarifa. Mtu nisiyetaka kumuingiza kwenye mjadala kwa kuwa hausiki, tuliwasiliana naye. Nilipigiwa simu ya Mshabaha, huyu mtu mwingine wakiwa na nia ya kutaka kunibrief kilichotokea. Nilikuwa nimelala hotelini sikusikia simu zao.
Majira ya kwenda saa 11 nikampata Mshabaha na akanijuza kilichotokea na yupo hospital. Mshabaha pamoja na madhira yaliyompata, hakusahau his duty of care kwangu. Ni yeye akashauri niondoke haraka pale hotelini hadi itakapothibitika kuna usalama.
HILDA: Azizi na Msuya walikuwa wakiishi na mimi
FACT: Huu ni uongo! Msuya alikuwa anakaa Himalaya Heights, mimi nilikuwa ninakaa Myra residence
HILDA: Msuya alipoona Mshabaha amekataa mambo yatraining akamuomba amkutanishe na Hilda, Maria, Sativa, na Mwaipaya. Mshabaha alikataa mind you huyu mtu ambae anamuomba Mshabaha
amkutanishe na mimi, kwenye utambulisho wake alisema kwamba mimi ni girlfriend wake.
FACT: Hapa Hilda anajichanganya kwenye Dodoso la Pili (2. HILDA) Anasema kuwa mimi nilimtambulisha Msuya kuwa wanahusiano naye wa kimapenzi. Lakini Msuya akamkataza Mshabaha asimpigie Hilda kwa kuwa Msuya anajua uongo wake utajulikana. Hapa anarudi kujicontradict kuwa Msuya baada ya kuwa desperate kwa kukataliwa kutoa training kwa wanaharakati akaomba akutanishwe na kina Hilda na wenzake. Yani Hilda aliyemkwepa asitafutwe kwa kuwa uongo wake utajulikana, sasa anamtafuta bila kuhofia uongo wake. Hilda na Msuya Kunani?




Filipino

Dada angalia hizo picha nilizo kutumia ni msanii Fahvany, ukiangalia picha aliyo vaa Suti kifua kiko wazi lakini kinaonekana kama Cha binti mdogo, na hiyo aliyo vaa gauni kifua kama unavyoona kimeenda.
Na hii nimeona Kwa wasanii wengi wa kike wakiwa wamevaa Suti vifua vinakuwa viko wazi huku nyonyo zikionekana zimesimama ila wakiwa na magauni inakuwa tofauti, ebu nisaidie kuuliza au Kuna vitu Wana valia vina fanana na ngozi au ni nini?
Wale watu wa fasheni njooni mtufungue kitu hapa.

Indonesia

@Innocen89950594 Huyu mtoto pira sana. Unamnunuliaje bi mkubwa vyupi.
Vitenge , khanga , magauni huyaoni mzee.
Filipino

Msanii #HBaba amewaomba wasanii wengine 20 kutoa Milioni moja moja kwa kila mmoja wao ili kumchangia #Matonya ambaye amekamatwa Mombasa Kenya kwa tuhuma za Ubakaji.
"Niwaombe viongozi na ngazi za juu tuangalie namna yakumsaidia ndugu yetu Matonya Mapungufu kwa mwanadamu nikawaida hakuna mkamilifu chini ya jua kukosea ndio kujifunza"
"Mashabiki, wasanii, wadau wa sanaa msikae kimya, wakati wa furaha tulifurahi tamoja matatizo mnakausha sio poa leo kwake kesho sisi. Wasanii 20 tutoe milioni moja moja tupo wengi"
Lengo la kupatikana kwa pesa hizo ni zitumike kama dhamana ya msanii Matonya.
#EastAfricaTV #TogetherTunawakilisha

Indonesia

I think we can all agree this is the best military series ever.. the missions & moments in between just hit different.

S∆IN✞ @The_Big_Chifa_
What movie or series has the greatest rewatch value?
English
Ian The Iron Lion🦁 retweetledi

@IAMartin_ Ipo blocked. Bila kwenda nje ya nchi hutoboi.
Filipino

@Sativa255 Sijajua deni la mzee lilikuaje, ila mikopo inakuaga na Bima.
Binafs baada ya mama kufariki, deni lake lilikufa mana mkopo wake ulikua na bima (hii ilikua NMB)
Indonesia

Ile kauli ya “Mtu akifa na deni linakufa” isikiage tuu kwa mtu isikufikie.
Kiukweli DENI HALIFI NA MTADAIWA NA MSIPOLIPA WATAUZA MALI KAMA WALIVYOKUBALIANA WADAI NA MDAIWA.
Nyumba yetu iliandikwa na BANK MOJA kuwa “INAUZWA” miaka ya 2015, mzee akapambana kulipa ikabaki 3M. Baadae 2018 mzee akakata MOTO.
Wale jamaa walitaka kuuza nyumba kisa 3M, hapo njaa ilikuwa kali sana kwenye familia. Familia walilia sana kuomba msaada kwenye ile BANK-ila jamaa hawakujali.
Ikabidi ndugu waungane kuuza baadhi vitu vyao na kujichanga wakapunguza deni ikabaki 800K. Mpaka leo lile deni (800k) hatujalipa. Maana ndio riba ya mkopo wenyewe.
Mtu akiniambiaga juu ya kupitia maisha magumu namuangaliaga tuu. Na mtu akileta ile kauli ya “Mtu akifa na deni linakufa” nachekaga tuu. DENI HALIFI.
TUTAKUWEPO🫵🏾😎
Indonesia
Ian The Iron Lion🦁 retweetledi
Ian The Iron Lion🦁 retweetledi

Looking for affordable and reliable web hosting with cPanel? Get fast, secure, and easy-to-manage hosting for your website today!
Learn more: peramix.com/web-hosting

English
Ian The Iron Lion🦁 retweetledi
Ian The Iron Lion🦁 retweetledi
Ian The Iron Lion🦁 retweetledi

Imagine kwenye hii Tone Tone ya CDM inayofanyika mikutanoni, Lile kapu la pesa linavyotembea mbele ya raia na huoni hata raia mmoja akiiba pesa, akilipora kapu,akileta fujo na kukimbia nalo kapu!
Badala yake raia wanachanga kwa amani na upendo bila jinai yoyote kutokea!!
👏👏👏
Watu kama hawa unakujaje kusema hiki chama kinaleta fujo? Kinavuruga amani? How?🤷🏿
Watu kama hao unakujaje kuwapiga virungu mahakamani ukisema wanaleta fujo wanahatarisha amani ya nchi!!
Wanaovuruga amani na kuchafua nchi ni serikali na dola yenu!!
Indonesia
Ian The Iron Lion🦁 retweetledi

Ian The Iron Lion🦁 retweetledi
Ian The Iron Lion🦁 retweetledi
Ian The Iron Lion🦁 retweetledi




















