Sarah William Bonyo

1.5K posts

Sarah William Bonyo banner
Sarah William Bonyo

Sarah William Bonyo

@Sarabonyo

Politics Mwenyekiti wa Kamati ya Chadema Ni Msingi Kanda ya Serengeti. Katibu Chadema jimbo la kahama ,Mjasiliamali,Mpambaji wa shughuli za Harusi na Sherehe

Katibu CHADEMA Wilaya Kahama Katılım Nisan 2018
433 Takip Edilen2.8K Takipçiler
Martin Maranja Masese
Martin Maranja Masese@IAMartin_·
KAHAMA — SHINYANGA. Wananchi wameamua kwa uwezo na nguvu zao wenyewe kuchangia harakati za kisiasa za CHADEMA. Wananchi wanasema CHADEMA itaendeshwa kwa gharama za UMMA. TONE TONE tumepata kiasi cha TZS 2,700,700. Changia TONE lako kupitia 0744446969 – CHADEMA HQ
Indonesia
18
176
806
9.1K
Mtikila Jr
Mtikila Jr@Legend_Mtikila·
Hakuna kuhama chama, ukipgwa unatulia, unabaki kujenga chama. Nyokofyokojsshskkm🚮🚮🚮
Mtikila Jr tweet media
Indonesia
36
35
343
10.6K
Sarah William Bonyo retweetledi
John Heche
John Heche@HecheJohn·
Msajili wa vyama, Sisty Nyahoza. Mpango wowote muovu mnaoletewa na jaribio la kutaka kuzia chadema kufanya kazi zake au kukifuta chama chetu utabackfire vibaya. Hatutakubali Chama chetu kiwe kibaraka wa ccm.. Tunajua Kesi ya Said Issa na vibaraka wengine ni ya kwako.. mahakama imetuondolea zuio umekuja tena. Kauli ya Mwenyekiti wa vijana ccm kupoteza watu, na kweli watu wanapotea Popole, Mdude na wengine wamepotezwa. Kauli za kina Makala za Mpox na Ebora.. kauli za mauaji na kuchinja watu za viongozi wa ccm .. Zipo nyingi Je umewahi kuwaandikia ccm barua kuhusu hayo? Acheni tushindane kwa hoja na ccm… Ndio maana miongoni mwa mabadiliko, ambayo lazima yafanyike ni kufuta hii ofisi ya msajili inayotumiwa na ccm kudidimiza demokrasia.
Indonesia
93
473
1.8K
46.3K
Sarah William Bonyo retweetledi
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
NJIA RAHISI YA KUIFUTA CHADEMA: AANDIKA ASKOFU BAGONZA Watu wengi uraiani, vijiweni na serikalini wameniuliza nitoe maoni juu ya hatua ya Msajili wa Vyama Vya Siasa kuiandikia barua Chadema. Barua hiyo inatafsriwa kuwa ina lengo la kuifuta CDM au kuifungia. Maoni yangu yanapendekeza njia rahisi na SALAMA ya kuifungia au hata kuifuta Chadema. 1. Niliwahi kusema kuwa “uchaguzi mkuu bila CDM ni sawa na kufikiria uchaguzi bila CCM”. Tumekuwa na uchaguzi bila CDM. Kila mtu anauhoji. Asiye mtu ndiye anaona ni kawaida. Je twaweza kujaribu uchaguzi bila CCM? Nashauri tusionje sumu. 2. Wazo la kuifuta Chadema lipo. Nashauri twende njia ile ile ya uchaguzi lakini tubadili formula au mpangilio. Tuifute CCM na kubakiza CDM. Halafu tuishauri CCM kwa siri ili iombe radhi. CCM isamehewe na kurudi uwanjani. 3. Halafu tuifute CDM. Kwa “kiburi” chao watakataa kuomba radhi. Ifutwe moja kwa moja. Kwa njia hiyo CDM watakula jeuri yao na CCM watavuna matunda ya unyenyekevu wao. 4. Mpangilio huu unazingatia ukweli kwamba, CCM na CDM wote ni wababe. Mmoja ana bunduki na risasi, mwingine ana manati na mawe. Na hatuna utawala wa sheria ulio na miwani ya kuona madhambi ya CCM. Chadema inasaidiwa na dola ijione kuwa inaonewa. Ofisi ya Msajili-kipofu inahujumu maridhiano na amani ya nchi kwa kudhani inaikomoa CDM. 5. Tuliwahi kuvifuta TANU na ASP na kuzalisha CCM. TANU haikuwa na historia ya kumwaga damu lakini ikaungana ASP iliyokuwa na damu mikononi mwake. Mtoto CCM aliyezaliwa ana nini? Tukiifuta CDM itazaliwa ipi? 6. Mnaonaje tuifute TEC tubakize CCT!? Au tuifute BAKWATA tubakize Shura ya Maimamu au Answar Sunna?! Nayasema haya kwa sababu tumefeli kuishi kwa amani na tofauti zetu. Narudia kushauri WASAJILI WETU wafanye kazi ya kusajili siyo kuendesha taasisi wanazozisajili. 7. Tatizo siyo CCM, Wala CDM. Na tatizo siyo Rais SSH. Anaweza kuwa anaonewa na kuhujumiwa. Atazungumzaje maridhiano wakati watu wake wanakazana kufungia, kuteka, kukata vichwa, kuzuia mijadala nk? Tutagundua tumechelewa. 8. Tuna matatizo makubwa mawili: Fedha na hofu ya ukweli. Kwamba fedha zinunue utu, uhai, haki, teuzi, heshima, ukweli, chaguzi, na ajira. Halafu, kila mtu aogope kuonana wala kusikilizana na Ndugu UKWELI. Kuogopa ukweli kunatibiwa na kukubali ukweli. 9. Fedha/Rushwa imeingizwa katika vyombo vitakatifu mpaka mahekaluni. Ni tamu. Utamu huu unavifanya vyombo hivyo vitamani madaraka ili vilinde rushwa. Nashauri tuchore msitari, tuache rushwa. Tusipoacha, atainuka mtu anayekula rushwa lakini ameichukia. Atatutapisha hiyo rushwa. Mbona mnasahau upesi?! 10. Namba 1 mpaka 9 hapo juu yaweza kusababisha walio madarakani waogope kuondoka kwa kuhofia kulipwa kisasi. Wanaotafuta madaraka wanaweza kuwa wanapania wakiingia walipe kisasi. Hakuna mwisho bila kuweka msitari. Kisasi kina risasi. Wajomba wa Kijaluo wana hekima isemayo, “Mwanamme mkalimu kupita kiasi husababisha watoto wa majirani wazaliwe wakimfanana”.
Hilda Newton tweet media
Indonesia
5
58
270
7.9K
Sarah William Bonyo retweetledi
Maria Sarungi Tsehai
Maria Sarungi Tsehai@MariaSTsehai·
Worth listening to 👇🏾@LAZARUSCHAKWERA @commonwealthsec @Europarl_EN @AWLNetwork @MaEllenSirleaf @AsstSecStateAF @StateDRL @SweAmbTZ @UKinTanzania @NorAmbTZ @usembassytz @volker_turk @OHCHR_ESARO @UN_HRC @hrw @achpr_cadhp @IntlCrimCourt The situation is WORSE after this report of lies and tension is high! #SamiaMustGo we need URGENTLY an independent international commission! We are dealing with lunatics who have grabbed power and are drunk with power!
English
9
109
264
7.5K
Sarah William Bonyo retweetledi
John Heche
John Heche@HecheJohn·
TAARIFA KWA UMMA.
John Heche tweet mediaJohn Heche tweet media
Indonesia
58
394
1.5K
33.6K
BABA SAMIA
BABA SAMIA@babasamia47·
@HecheJohn Upuuuuuuzi mtupu..!! Kama Hamuitambui sisi Watanzania tunaitambua na ripoti tumeipokea kwa Mikono miwili
Indonesia
19
0
4
2.3K
Tanzania Abroad TV
Tanzania Abroad TV@AbroadTanzania·
Mnaweza msiamini maneno yangu lakini huyu analipwa na samia kujifanya mtabiri wajinga waaamini kwamba samia ataongoza kama ni kesi basi 2030. ,huyu hana tofauti na choko mnafiki mkubwa watu tunalia tuna maumivu yeye anacheza kadanansana mwehu huyu na kwakua ni mtumishi fake sina laaana kwa mjinga mmoja kama huyu.
Tanzania Abroad TV tweet media
Indonesia
117
39
473
41.9K
Nembo
Nembo@Madola__·
@BabaMwita Mbona Chadema hawafungui kesi kama wameonewa?
Indonesia
4
0
1
780
Baba Mwita
Baba Mwita@BabaMwita·
Under Common law jurisdiction, Jeshi la Polisi halikupaswa kukamata wana CHADEMA kwa kisingizio kuwa wamepuuza AMRI ya mahakama. Kama CHADEMA ilidharau agizo hilo, ilitakiwa mwombaji wa zuio (mlalamikaji) aiombe mahakama HATI YA UKAMATAJI na sio polisi ku ENFORCE amri. #Civil ⚖️
Indonesia
10
81
380
16.8K
Sarah William Bonyo
Sarah William Bonyo@Sarabonyo·
@YerickoNyerereT Tuzo ya haki hutangazwa Ila wewe Uko busy kujitamgaza kila siku. Tunajua umehongewa hela ili wakupe sasa pumzika Omba hata kazi za ndani ikilu sasa.
Indonesia
0
0
0
47
Yericko Nyerere
Yericko Nyerere@YerickoNyerereT·
In case umesahau au ulikuwa hujui au unaumia kimyakimya, Narudia kukwambia kuwa YERICKO YOHANESY NYERERE kutoka Mbutu Block E, Kigamboni, Dar Es Salaam TANZANIA, ni Mshindi wa Tuzo za Kimataifa za Uandishi Bora wa Vitabu Barani AFRIKA kwa mara ya 7 mfululizo. Sifa na heshima ni kwa Watanzania na Waafrika! Idumu Mizimu!
Yericko Nyerere tweet media
Indonesia
11
5
18
3.7K
Sarah William Bonyo
Sarah William Bonyo@Sarabonyo·
@Stany_Midea27 @Jambotv_ Tuko imara sana ninyi mlikula Hela ya mwamba bila kumwambia ukweli kuwa watz wamekuchoka na michongo yako jiondoe kabla hawajakuondoa. Hata mama angemsikiliza Polepole leo asingepitia hapa
Indonesia
1
0
0
37
I Stan a King!
I Stan a King!@Stany_Midea27·
@Jambotv_ Hawa si walikua Team Lissu wote kwenye Uchaguzi wa chama😂 Acha walane nyama, walituchafua sana Team FAM. Kwa haya aliyoongea na anayosema Jasusi Yericko kwamba Lissu anapinduliwa ni dhahiri huyu katumwa kusafisha njia😂 Lissu alijazwa akajaa kwenye mfumo wa madalali kina Heche
Indonesia
10
0
4
1.1K
Jambo TV
Jambo TV@Jambotv_·
VIDEO: Kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Mwenyekiti wa Kamati ya Kusukuma Maridhiano Tanzania, Charles Odero, amesema ni muhimu kwa vyama vya siasa pamoja na Serikali kukaa meza moja ya mazungumzo kwa lengo la kulisogeza taifa mbele kimaendeleo na kuimarisha mshikamano wa kisiasa nchini. Akizungumza na Jambo TV, Odero amesema Chama cha CHADEMA hakitakiwi kuona ugumu wa kukutana na Serikali pamoja na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, kwa ajili ya kufanya maridhiano licha ya changamoto mbalimbali zinazokikabili chama hicho. Amesema changamoto hizo ni pamoja na kukamatwa kwa viongozi wa chama, kushikiliwa kwa wanachama na wafuasi wake, pamoja na kushikiliwa gerezani kwa Mwenyekiti wa CHADEMA taifa, Tundu Lissu kwa tuhuma za uhaini, akisisitiza kuwa hali hiyo haiwezi kuwa kikwazo cha mazungumzo ya kisiasa. “Hata sasa pamoja na CHADEMA kuwa na kesi mahakamani, wafuasi wake mamia kuwa gerezani na Mwenyekiti Tundu Lissu kushikiliwa kwa kosa la uhaini, mambo yote hayo na maumivu makali hayawezi kumzuia John Heche kukutana, kupeana mkono na Rais Samia Suluhu Hassan, kwani katika mazungumzo suluhu haikosekani,” amesema Odero. Akisisitiza hoja yake, Odero ametolea mfano wa kipindi cha aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe ambaye alishikiliwa gerezani kwa tuhuma za ugaidi, ambapo aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa chama hicho, Tundu Lissu, aliweza kukutana na Rais Samia Suluhu Hassan, mazungumzo ambayo yalifungua ukurasa mpya wa kisiasa nchini.
Indonesia
147
8
95
48.8K
Sarah William Bonyo
Sarah William Bonyo@Sarabonyo·
@Jambotv_ Kaka yangu Odero hebu tulia kwanza sisi hapo mezani harurudi bila kurudi na uchaguzi huru na haki. Sisi hatuna viongozi tuliowachagua kwa sasa.
Indonesia
0
0
1
42
Sarah William Bonyo
Sarah William Bonyo@Sarabonyo·
@KenyanSays Sisi watanzania hatuhitaji Mange aje kwa sasa. Ni wajinga wachache tu Kama huyo ndio wanawaza upuuzi
Indonesia
0
0
1
128
The Kenyan Vigilante
The Kenyan Vigilante@KenyanSays·
The Tanzanian government wants the USA to deport activist Mange Kimambi to Tanzania for allegedly inciting youths to protest. This comes just a day after the USA banned Tanzanian citizens from traveling to the United States under Trump’s list of banned countries!
English
101
22
141
77.8K
Suphian Juma Nkuwi
Suphian Juma Nkuwi@SuphianJuma·
Msanii ni furaha yako, utamnunia leo kisa hajaunga chama chako ila kesho bila shuruti utazisikiliza nyimbo zake chooni. Wanaharakati uchwara walishawahisusia mitandao ya simu kesho yake wakaiombea michango. Wasanii andaeni shows, Ulinzi upo hakuna mshenzi kuwagusa hata ukucha.
Suphian Juma Nkuwi tweet media
Indonesia
32
0
16
4.8K