Noely SM...🪶
2.4K posts

Noely SM...🪶
@_MrNoely
It's just my public journal Nothing else. Always BE KIND.


After Arsenal winning the EPL naachana na mpira kidogo.. leo kidogo nizimie 😂😂

Nimegundua siwezi kuishi bila Ex wangu jamani sijui turudiane tu😩😩 ila Gaby atajiuwa yule 😂😂😂 #Jokesaside✌️ nimefurahi sana leo mwana ametoka nimemuona tena akiwa kwenye tabasamu Mungu ni mwema sana🙏mbarikiwe wote mliopaza sauti🫶


Aye @Morara__ watu wako wanakuhitaji.

kwa siku kwenye Global Forex Market ela zinazokua traded ni zaidi ya $4 Trillion. Sasa nyie hamjiulizi kwanini nchi kama Marekani ambapo ndo kuna mitaji mikubwa na vijana wake ni very smart sana lakini hamsikii mtu kama Sandile Shenzi wa Kimarekani anatrend Huko Marekani? Yani Vijana wa Marekani waone io fursa afu waiachie itawaliwe na kina Sandile na Ref wayne? Kila ukiona kijana wa Marekani anatrend ni amebuni solution flani na sio anabet forex! Unahisi kwanini? Ila sisi huku na marole model wetu wa South Africa ndo tunaona io fursa namba 1 duniani. Tuamke wanangu! Tumechelewa sana!

Kuna Msela wa Forex anasema kawahi kuwa na 1.8B na akapoteza 😆 Una 1.8B bado unakesha kuuza na kunua hela mitandaoni 😀 Mimi 500m mtanikuta shambani najifurahisha kufuga sungura organically.










Manchester United 1-2 Leeds United. You saw it here first.






