€∆|£¥🐦
1.6K posts

€∆|£¥🐦
@caley_tz
LIFE STYLE 🌍 ✈️
Dar es Salaam, Tanzania Katılım Mayıs 2019
398 Takip Edilen138 Takipçiler

@ErickKamihanda Haya sema wewe doctor dre kipengele cha hit ni kipi au sifa za hit
Indonesia

@Buberwa_ iko hiv ukikuta mtu ana iphone hata iwe 17 niamn mm kuna %100 huyo mtu ni maskini ana maisha magumu ila ni nadra sana kukuta mtu ana SAMSUNG half ana fake maisha Neverr
Filipino

@EliraNyamu @Joesottes Pesa ilitolewa polis kmmk😂😂😂 demu yule mshenz pesa alikuwa hatoi yeye mim kanipa advance kufika mwisho wa safar mwanaume wake si wakagombana jamaa kagoma kutoa pesa anasema pesa mbona kubwa inshort yule demu mwarab ni alikuwa anajiuza
Indonesia

@caley_tz @Joesottes Hela ulilipwa au hukulipwa? Hilo ndio swali la msingi
Indonesia

Juzi nilipita pale Chuo cha Ustawi nikakuta Ugomvi wa mwanachuo na mlinzi,.. nikabidi niulize tatizo nini,.. mlinzi sukari ipo juu anasema mimi siwezi kuvumilia Dharau, amekuja dogo nimemwambia hawezi kuingia bila kitambulisho halafu yeye akaniambia ndio hivyo hivyo nlivyozuia elimu kuingia kwenye kichwa changu🤒.. nlishindwa nimsaidiaje kijana wa chuo😂💔🙌.
Suomi

@Joesottes @EliraNyamu No haikuwa request ni mteja ambaye nilishawah mbeba so alipendaga huduma yangu hyo siku kanipigia mi nikajua utan lkn mpka nafika kwake ndo najua yuko serious harafu sasa huko nilipoenda kilinikuta kisanga 😂😂😂😂sitak kukumbuka wanawake jau snaa hawa
Indonesia

@caley_tz @EliraNyamu Dah! Mzee haukupata mashaka kweli ilivyokuja hiyo notification?
Indonesia

@therealmsamilo @ahadinideni @Joesottes @EliraNyamu Watu hawfanya hv vitu na bado anabisha 🙄achana nao
Indonesia

@ahadinideni @caley_tz @Joesottes @EliraNyamu Yaani safari ambayo haifiki km 2000 ufanye service wewe una akili?
Indonesia

@luganomwakimi @Psiteshio1 Mbona mgumu ww kuelewa unataka kupewa msaada unazunguka zunguka si umeelekezwa kama tatizo pesa watu wakuwekeee ukomae ukomae nn
Indonesia

@Psiteshio1 Nimeambiwa inawezekana kaka ila niwe na cheti cha driving na hela naweza pata in just thre days. sina hela acha nikomae nione namna naweza pata hiyo hela.
Filipino

@Joesottes @EliraNyamu Kaka watu wana pesa mim nishawah pata abiria anatokea upanga pale saa 1 usku uelekeo njiro na alilipa 650k na yuko peke ake wakat wa kurud nikala vichwa vyangu mpka mjin maana nilienda nikamacha tumetoka ijumaaa usku ,jmos tupo njiro nikapumzika jion nikawasha chuma j2 nipo dar😂
Indonesia

@EliraNyamu Tufanye wewe ndio dereva bolt, ungeipokea hiyo riziki? 😅
Indonesia

























