Sabitlenmiş Tweet
Professor Jamvileo
7.8K posts

Professor Jamvileo
@jamvileotips
Top value betting tips, We're passionate about sports- and we're bonkers about betting
Tanzania Katılım Ocak 2022
251 Takip Edilen3.8K Takipçiler


@HecheJohn Lakini Kenya Kuna wizi mkubwa kuzidi Tanzania pamoja na katiba yao labda kama hauna numbers , Miradi mingi ya Kenya ni over priced
Indonesia

Kenya itazidi kutuacha mbali mno kwa kila kitu… Chanzo cha ufisadi, wizi na ujambazi wa mali za umma ni usiri wa mikataba na makubaliano.
Kuna ujambazi mkubwa kwenye mikataba ya bandari zetu kupewa Waarabu, viwanja vya ndege, misitu kwa Oman, gesi yetu, dhahabu zetu ikiwemo mkataba mpya wa Sengerema Nyanzaga, huu mgodi utakua mkubwa kuliko yote Nchini..kuna mikataba ya mbuga za wanayama, mikataba ya nickel na cobalts kule Kabanga. Kuna mkataba wa uranium na Urusi kule Namtumbo..
Tunaweza kutaja maelfu ya mikataba ambayo inafanywa siri ya hawa mafisadi wasio na huruma na Watanzania.
Mkataba wa ujenzi wa SGR ya Tanzania ni uchafu mkubwa, kuna kipande kimejengwa kwa usd milioni 3.9 kwa kilometa na kingine kinajengwa kwa usd milioni 5.5 kwa kilometa bila ushindani. Mikataba ya manunuzi ya mabehewa ya hovyo.
Mikataba ya ujenzi wa barabara takataka ambazo zinabomoka siku ya pili baada ya kukabidhiwa, mikabata ya wizi ya BRT Dar, ununuzi na ujenzi wa Meli Mwanza.
Katiba ya Kenya inawapa Wakenya fursa ya kuona huo uchafu na kuchukua hatua.
Ndio maana Watanzania lazima tupiganie Katiba mpya ili tukomeshe huu ushenzi unaotutesa na kutuacha masikini kwa miaka mingi.
Tunataka katiba mpya sasa.
Indonesia

@JumaAyoo Yani umepanda Hadi treni ukajipost ila kujibu swali ndio iwe shida ?
Indonesia

@FenoMenalD0ranz 100k Ugsh is a joke for the Premier League match
English

@VungaEl74 Yani Senagal Vs Ivory Coast inapigwa hapo usiende kisa ni mbali? We sio mtu wa mpira
Indonesia

@JerehelCHIDO @fintanjr_ Ni 15km away kutoka City Centre ni nje ya mji maana ndio Jiji linaanzia huko
Indonesia

Mtazamo wangu kuhusu hizi projects za muda mrefu kuwekwa nje ya mji ..✍
Wengi naona mnakataa huu uwanja kuwekwa umbali mrefu kutoka City center, lakini mkiangalia Vituo vya SGR cha morogoro kipo Mkundi, ni nje ya mji kidogo, Dodoma kituo kipo Nkonze anapopatikana mama ntilie wetu mwenye chakula kizuri na usafi wa nyota 5 @Tinahcristiaan ambapo pia ni Nje ya mji .
Impact yake ni nini? Ni kuutanua Mji au Jiji , kwa sababu maeneo hayo yatapandishwa thamani mfano tu uliza bei ya plot Nkonze Dodoma before SGR na bei ya plot now,.. So ni rahisi project kufanyika huko na kupangilia kuliko maeneo ambayo tayari yapo populated, lakini pia ni fursa mpya kwenye maeneo hayo na wakazi wake... so kwa upande wangu miundombinu ikiwa friendly, this is one among project ya kujivunia mahali ilipo hasa kwa watu wa Arusha.


Indonesia

@Bwanafrank2 @Njalirakassim12 The level of investment at Simba na Yanga is ten times the investment of your league
English

@Njalirakassim12 No he’s a star my point is on every season yanga and simba on the trophy which is different in ug
English

@Rydx_017 @athanas_pius @MissChelsea1221 @DullahTheking2 @Balyx_ Vijana mnauliza maswali gani haya ? Haya maswali wanatakiwa waulize wazee sio vijana
हिन्दी
























