nuru
259 posts


@Mwinshehe07 Wapuuzi nyie yaani hawa watu wote maelfu wanaojitokeza kila mkutano wa mwenezi kuanzia ngazi ya mashina, wilaya, hadi mkoa kuwa wote wanalipwa 🙌🙌 Shame on you
Indonesia

Mara nyingi CCM mnatumia utaratibu wa kusomba watu kwa magari na kuwapa posho ili kujaza mikutano hatuwezi kuwapima kwa umati pekee yake
Tarime imekuwa ni Ngome kubwa ya upinzani kwa miaka mingi na wananchi wana haki ya kusikiliza pande zote kabla ya kufanya maamuzi yao kupitia kura
Leteni katiba mpya na uchaguzi huru then turudi kujadili hapa demokrasia ni uchaguzi huru na kuheshimu maoni tofauti
MR BEN@Eric__Bernard
Mkutano wa Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM Ndugu Kenani Kihongosi Wilaya TARIME Ngome ya Makamu Mwenyekiti CHADEMA John Heche.. Wana Tarime wamefurika, wamejazana umati mkubwa hivi kusikiliza sera za Mwenezi wa CCM huku wakisema "Never Again"!!! Wao ni Amani na Maendeleo!!
Indonesia
nuru retweetledi

Jumanne ni #AfricanWorldHeritageDay!
Afrika ina ~12% ya maeneo ya Urithi wa Dunia, lakini takriban 40% yako hatarini.
Mabadiliko ya tabianchi, ujangili na migogoro vinaathiri urithi huu usioweza kurejeshwa.
Fahamu jinsi @UNESCO inavyolinda urithi huu. unesco.org/en/days/africa…

Indonesia
nuru retweetledi
nuru retweetledi

#TaifaKwanza #KataaVurugu
Ushiriki wa baadhi ya Wanaharakati kwenye shughuli ya Mfanyabiashara Vunjabei ni kielelezo cha umoja na mshikamano wa nchi yetu. Tusigawanywe kwa misingi ya itikadi na Watu ambao hawaitakii mema nchi yetu.
#TumeNaUkweli
Indonesia
nuru retweetledi
nuru retweetledi
nuru retweetledi
nuru retweetledi
nuru retweetledi

"Kazi zenye Staha ni Nguzo Imara kwa Maendeleo Endelevu katika Utekelezaji wa Dira ya Taifa 2050"
#KaziNaUtuTunasongaMbele
#TabasamuLaUtu
#MaendeleoEndelevu
#MeiMosi
Indonesia
nuru retweetledi
nuru retweetledi
nuru retweetledi
nuru retweetledi

#TaifaKwanza #KataaVurugu
Kwa mara ya kwanza, Tume ya Rais wa nchi imependekeza namna ya kukamilisha mchakato wa kuipatia nchi yetu Katiba Mpya ili iweze kutumika kwenye chaguzi zijazo. Wanaharakati Uchwara hawataki tena hoja ya Katiba Mpya. Tumewapuuza.
#TumeNaUkweli
Indonesia
nuru retweetledi
nuru retweetledi

Fuatilia matangazo ya moja kwa moja kupitia akaunti zetu za Instagram: ikulu_mawasiliano, Facebook: Ikulu Tanzania Facebook fanpage: Ikulu Mawasiliano, Twitter: ikulu_Tanzania Youtube Channel:
Ikulu Tanzania na Tovuti: ikulu.go.tz
#TanzaniaYetuSote
#NchiYetuKwanza

Indonesia

























