#NoreformsNoelection✌️
561 posts


@TweveDevota @bajabiri Kuma la mama yako waulize CCM wenzako acha kuleta taharuki msimbe ww
Filipino

Waliohamasisha kuandamana wao hawakuonekana kwenye maandamano, sasa hivi wanatumia misiba ya watu waliowatoa muhanga kufanyia siasa na kupandikiza chuki. Tunahitaji kuacha kutumika kama zana za kisiasa na badala yake tuungane kama Taifa
Tanzania Nchi Yangu🙏🏿🙏🏿
..
#SautiYaVijana

Indonesia

@TheRealEkiswaga @ezekiel_kamwaga Sura kama ngozi ya pumbu Kuma nyoko
Indonesia

Harakati imemshinda Mwabukusi halafu mnataka kumlazimisha @ezekiel_kamwaga afanye harakati😁😁 Hebu tuacheni kwanza
Indonesia

Kuna wakati katika historia ya Taifa letu ambapo kupiga kura haikuwa haki ya kila mmoja, bali ndoto ya wengi.
Leo, kizazi cha vijana kilichozaliwa katika uhuru wa demokrasia kimerithi fursa adimu fursa ya kuchagua, kuamua, na kushiriki katika kujenga mustakabali wa Tanzania.
Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, Baba wa Taifa, alitambua mapema kwamba kura ni zaidi ya karatasi; ni alama ya uhalali wa mamlaka na ishara ya ushiriki wa wananchi katika uongozi wa nchi yao.
Hata katika enzi za chama kimoja, Mwalimu alisisitiza wananchi wapige kura kama kipimo cha uungwaji mkono, akiamini kuwa sauti ya wananchi ndiyo msingi wa serikali bora.
“Kura ni tochi ya kuongoza, inatoa nuru ya uhalali, uwajibikaji, na matumaini,” alisema Mzee Juma Hiza (78), mwanahistoria na rais mstaafu. “Tulikipigania hiki kitambulisho cha kupiga kura. Tuliamini kila raia ana haki ya kusema ‘ndiyo’ au ‘hapana’ kwa amani.”
Leo, tunaposhuhudia sanduku la kura, tunapaswa kuliona kama alama ya mapambano, amani na ushindi wa utu.
Ni zana ya kujenga bila kuvunja, ya kubadilisha bila ghasia, na ya kuweka historia mpya bila kurudia makosa ya jana.
Kizazi cha sasa kina nafasi ya kuendeleza mwanga huo.
Kila kura ni ishara ya heshima kwa walioweka msingi wa taifa, na ni ahadi kwa vizazi vijavyo kwamba Tanzania itaendelea kuwa nchi ya umoja, haki na maendeleo.
Kupiga kura ni tendo la shukrani kwa waasisi wetu.
Ni uamuzi wa kuthamini uhuru uliopatikana kwa jasho, hekima na ujasiri.
Ni tochi ya mwanga wa kidemokrasia unaoendelea kuongoza taifa letu.
Kura yako ni tochi ya kuongoza Tanzania kuelekea kesho iliyo na matumaini.
Piga kura kwa amani, kwa fahari, na kwa heshima ya waliotutangulia.
Thamini mwanga huu, udumishe kwa ushiriki wako.

Indonesia

@swahilitimes Hii nchi vichaa wanazidi kuingezeka
Indonesia

@udsm_finest Ng'ombe zilikamatwa national park sikukanyaga home siku mbili nikawaza kutoroka
Filipino

@swahilitimes @tanpol turudishie ndugu zetu wanao tekwa kila siku nyie ndo mnaleta hizo taharuki
Indonesia

Jeshi la Polisi limesema litaendelea kuwasaka na kuwakamata wanaotumia vibaya mitandao ya kijamii kutengeneza, kuandika na kusambaza picha za kuhamasisha watu kufanya vitendo vya kiuhalifu kinyume na maadili, utamaduni na sheria za nchi.
Polisi wamesema vitendo hivyo vinavyosababisha hofu na kuzua taharuki, vinapaswa kukemewa na kupigwa vita.

Indonesia

@Eric__Bernard @thomasjkibwana Chakula ya wakubwa imetangulizwa
Polski

Advance Team Mnawahi Kuweka sawa Mazingira ya Mapokezi ya Mgombea sio upo na @thomasjkibwana?
Sally Brown🌷@officielsalome
🥰
Filipino

@Baraza_Kuu Sauti gani, nguvu gani kwa hawa viongozi mungu watu haki mungu Mimi na familia yangu hatupigi kura hata iweje
Indonesia

@bajabiri @Baraza_Kuu Mwalim Kuna familia ambazo sinaona mpaka mda huu hakuna amani katika nchi hii
Filipino

Wahenga walisema: “Chakula kinakukifu unapokuwa nacho, lakini thamani yake hujitokeza zaidi kinapokosekana.” Vivyo hivyo, amani ni zawadi adimu ambayo wengi huitazama kama ya kawaida hadi inapopotea.
Leo hii, Tanzania inasalia kuwa moja ya nchi zenye amani zaidi barani Afrika. Huu ni urithi tulioupata kwa gharama kubwa, kupitia hekima ya waasisi wetu, busara ya viongozi wetu, na umoja wa wananchi wetu. Hata hivyo, urithi huu hautadumu ikiwa hatutalinda kwa vitendo.
Vitabu vitakatifu vinatukumbusha kuwa amani ni tunda la upendo. “Jiepushe na uovu, utende mema; utafute amani na uizingatie.” (Zaburi 34:14)
Na “Heri wenye kuleta amani, maana wataitwa watoto wa Mungu.” (Mathayo 5:9)
Kwa msingi huo, kila Mtanzania ana jukumu la kuilinda amani kama amri ya kiimani na wajibu wa kikatiba. Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeweka wazi:
Ibara ya 3(1): “Jamhuri ya Muungano ni nchi ya kidemokrasia, yenye haki na ya amani.”
Ibara ya 8(1)(a): “Mamlaka yote na utawala upo mikononi mwa wananchi.”
Ibara ya 27(1): “Kila raia atalinda mali ya umma, mazingira, na kudumisha amani, usalama na utulivu wa nchi.”
Kwa maneno mengine, kulinda amani si hiari; ni wajibu wa kisheria, kiimani na kizalendo.
Leo, baadhi ya watu wanajaribu kueneza taharuki na kuhamasisha maandamano wakitumia visingizio vya “haki za kiraia.” Lakini ukweli ni kwamba vurugu na amani haviwezi kuishi pamoja. Wananchi wa kipato cha chini wanaoishi kwa jasho la kila siku ndio wanaoumia zaidi pale utulivu unapovunjika masoko hufungwa, biashara husimama, watoto hukosa chakula, na familia hukosa kipato.
Amani ni ngao ya taifa. Tukiiweka rehani kwa jazba, tunahatarisha si tu mustakabali wetu, bali pia wa vizazi vijavyo.
Kadri tunavyokaribia Uchaguzi Mkuu, ni lazima kila mmoja wetu awe mlezi wa amani. Hoja za huduma bora za kijamii ni halali, lakini zinapaswa kushughulikiwa kwa njia za kisheria, za mazungumzo na si kwa vurugu.
Viongozi wa dini, jamii, na taasisi zote za kiraia wana wajibu wa kusimama mstari wa mbele kuhubiri umoja, upendo na utulivu. Amani hailetwi na risasi, bali kwa hekima, busara na moyo wa kujenga.
Amani ni urithi wetu, ni ngao yetu, na ni wajibu wetu.
Tanzania haitarudi nyuma. Watanzania wote; tulinde amani yetu kama tunavyolinda maisha yetu.

Indonesia

@thomasjkibwana Mbona unapost ufafanuzi na hujapost alichokisema TESHA sasa mafansi wako wataelewa nn hapo
Filipino

@iamZature Kwa kukosekana kwa haki ndani ya taifa
Indonesia

@TZMsemajiMkuu Hatujaelewa kama ni mjeda ama laa mwambie kizimkazi kazi anayo
Indonesia

















