official_gesa15 ری ٹویٹ کیا
official_gesa15
31 posts

official_gesa15 ری ٹویٹ کیا

Ukiingia kwenye siasa hakikisha hisia zako na tamaa ya ngono umeicha siku hiyo hiyo... Kuna watu kwenye siasa hawafanyi maamuzi yao binafsi, walikosea wakawa na tamaa kumbe waliingia kwenye mitego! Wanaishi kama watumwa, hata wakiambiwa wajiunge na UDP watasema YES SIR!
Ngono ni silaha nzito sana dhidi yako au adui yako, mliona ile video ya Ngwajiboy, watu wanazo kama hizo za watu wengi tu, watu walijaa King! Wanaishi kama watumwa.
Be smart, usijibu watu DM/Email kirahisi, haswa usiowajua, usiwe excited na nyaraka au taarifa yeyote rahisi ya kumuangusha opponent wako, take time, study, eveluate, proof & Subiri mda sahihi to execute! Simple logic eeh.
Ndio maana wanasiasa wengine huwa na timu ya propaganda, propaganda haina uwajibikaji sana, tumia hiyo.
Dinner, sio kila Dinner au pengine Brunch ni kuajiri ya kukusaidia nyingine ni mitego ya kukumaliza... Do not be easy! Learn...
Soma sana vitabu, YouTube tutorials, AI pia ikusaidie kukuongezea maarifa, itasaidia sana kuona karata ya mchezo mapema, siasa za Afrika ni nyepesi sana, maana wengi wenye mamlaka utumia nguvu kuliko akili na wataalam! Chess game... Just know your next move!
Kwenye mitandao ya kijamii kuna informers na watu wa ulinzi na usalama wengi sana kuliko unavyodhani, be careful... Traps zinaning'inia mda wote, angalia usinase kwenye hook 🪝.
Sabato Njema watu wa Mungu.
Hadi wakati huo, Mungu awalinde wenye Nia njema.

Indonesia
official_gesa15 ری ٹویٹ کیا

Kuna watu wengi sana ambao wameshakukatia tamaa Wanaamini hauwezi tena kuwa vile UNAVYOSEMA utakuwa.
Wengine wanaona UMRI wako umeshaenda sana na UMESHACHELEWA.
Kuna ambao wanaona kwa MAKOSA uliyofanya hakuna namna unaweza KUREKEBISHA na kuinuka tena.
Si unawafahamu wale ambao wanaona HAUSTAHILI kwa sababu ya UDHAIFU wako wanaoujua.
Kiufupi ni kuwa, kila siku utakutana na watu ambao HAWAAMINI Kama unaweza KUFANIKIWA ZAIDI ya LEO.
Kama leo unapitia hali hii, napenda kukumbusha kuwa “WEWE USIJIKATAE, JIKUBALI”
Hata Kama wao wamekukataa wewe amua KUJIKUBALI, amua kuendelea KUPAMBANIA unachokiamini…
…na kuna siku MATOKEO utakayoyapata yatakuwa ni SOMO kwao kuwa MUNGU anaweza KUWAWEZESHA na KUWAINUA wale waliokataliwa na wengine.
Kama umejifunza kitu kupitia ujumbe huu comment neno "SITAJIKATAA, Mimi Nina Jikubali"
Muda wowote ukiwa tayari nikusaidie kutimiza malengo yako hizi ndio namna 4 ninazoweza kukusaidia.
1. Kupitia Vitabu Vyangu Vya Kidigitali (SOFTCOPY/EBOOKS) tuma neno eBook kwenda WhatsApp +255 762 312 117
2. Vitabu Vyangu HALISI Vya Karatasi (HARDCOPY)
Piga +255 762 312 171 / +255 745 252 670
3. Mafunzo Kwa Njia Ya Video, KOZI.
Piga +255 762 312 117
4. Kupitia Exclusive MENTORSHIP
Piga +255 758 498 373
See You At The Top
Joel Arthur Nanauka
#TimizaMalengoYako #SeeYouAtTheTop #JoelNanauka

Indonesia
official_gesa15 ری ٹویٹ کیا

Mchoro wa Joseph Desiree-Court wa mwaka 1826
Tunachoona:
Mtu anajaribu kumuokoa baba yake, huku akimpotezea kabisa mkewe na mwanawe wa kiume, walio karibu kabisa naye. Na Kilicho rahisi kabisa kufanya kati ya yote ni akuokoe wewe.
Tafsiri ya wahusika:
MAMA Anawakilisha MAISHA(LIFE);
MTOTO Anawakilisha MAISHA YAJAYO(FUTURE)
BABA Anawakilisha MAISHA YALIYOPITA(PAST)
Tafsiri ya kazi ya sanaa: Mtu anayeng'ang'ania yaliyopita(past) hupoteza nafasi ya kuishi(life) na maisha yake yajayo(future)
Kama alivyowahi kusema Havelock:
"Sanaa ya maisha hujumuisha kutambua wakati wa kung'ang'ania na wakati wa kuachia."
Swali: Unang'ang'ania nini kinachokuharibia life na future?

Indonesia
official_gesa15 ری ٹویٹ کیا

Cheza mchezo wa benki.
Badala ya kutunza tu hela, wekeza kwa kununua mali ambazo zitakuingizia pesa m zenyewe.
Nunua ardhi, nunua nyumba pangisha, Nunua gari kodisha.
Usihifadhi Sarafu, Hifadhi Mali.
Tafuta Njia, Sio Excuses
Retweet kama umejitunza
Nifollow @MfalmewaX1
Indonesia
official_gesa15 ری ٹویٹ کیا

Serikali inakihitaji hela,
Inaenda Benki kuu kuomba mkopo.
Benki kuu inakupa pesa iliyotengenezwa hewani, na kubadilishana na mali za serikali kama Bondi Mbuga za wanyama,
migodi n.k
Hiyo hela iliyotengenezwa hewani ambao ni mkopo inakuja kuleta mafuriko ya pesa, na thamani kupungua.
Mfumuko wa bei tayari. Wakati hela uliyokopa inashuka thamani tayari umeshaweka rehani Ardhi, Bandari n.k
Kwanini nakwambia hivi?
Kwa wababu, unaanguka.
Wakati unafanya kazi kwa bidii utunze Pesa, Benki inachapisha kila siku na kuangamiza akiba yako.
Indonesia
official_gesa15 ری ٹویٹ کیا
official_gesa15 ری ٹویٹ کیا

Kabla 1971, Benki Kuu waliweza kuzalisha Sarafu wanazotaka Kwa sababu Dhahabu ilikuwepo kama msaidizi (ilitumika kulinganishwa kithamani).
Baadae 1971, US Dollar iliondolewa kwenye viwango vya dhahabu.
Tangu hapo, sarafu ilikawa haina maana (thamani kushuka)
Leo, Bank zinaweza kuchapisha sarafu nyingi watakavyo.
Pili, kuna jambo unatakiwa uelewe:
Sarafu ikiwa kwenye mfumo wa karatasi au koini inakamilisha 3% tu Pesa zote za ulimwengu.
97% iliyobaki zote ni madeni. Nitaeleza
Indonesia
official_gesa15 ری ٹویٹ کیا

Maisha yako yote umekuwa ukifanya miashara ya muda wako kwa pesa.
Yaani Unauza muda wako ili upate Pesa.
Je, ushawahi kujiuliza pesa zinatengenezwa vipi?
Kwa muda sasa nimekuwa nikijifunza vitu kuhusu pesa.
Utashangwaza na huu ukweli.
Kwanza, Pesa = Sarafu
Pesa ni kitu kisichoshikika lakini kinatunza thamani. Fikiria kuhusu dhahabu, silva, mchele, chumvi n.k
Sarafu ni kitu kinachoshikika kama mfano wa pesa, badala ya kubadilishana dhahabu kwa chumvi,unaweza kununua chumvi kwa sarafu.
Sarafu sio kitu halisi bali ni sawa na amna kitu.
Soma hapa ni Muhimu.
Indonesia
official_gesa15 ری ٹویٹ کیا
official_gesa15 ری ٹویٹ کیا

“I am not good enough”, ni moja ya sentensi ambayo inaweza kukuzia kufanya mambo mengi na makubwa kwenye maisha yako.
Baada ya kupitia changamoto kadhaa za maisha, kufeli au kukataliwa unaweza kukikuta umepoteza kabisa hali ya kujiamini.
Usipoamua kujilipua na kuchukua hatua unazoziogopa unaweza kujikuta unaishia kuwa mdogo wakati mipango ya Mungu juu yako ni kuwa MTU MKUU hapa duniani.
See You At The Top
Indonesia

@EntoMohamed @UofGlasgow @Fredros_Inc @drheatherferg @ekaindoa @halfan30 @ifakarahealth Hongera sana,
Indonesia

I did it!🎊. I’ve mastered Quantitative Methods in Biodiversity, Conservation, and Epidemiology with #Distinction from @UofGlasgow ! ‘Asante’ my incredible supervisors and support team: @Fredros_Inc prof Jason Mattiopoulos @drheatherferg @ekaindoa @halfan30 @ifakarahealth


English


