mk-sulphur đã retweet
mk-sulphur
10.7K posts

mk-sulphur
@MegabeSteven
pharmaceutical personel @youngAfricansSC https://t.co/oxk6gnM0uy
Tanzania Tham gia Mayıs 2023
3.1K Đang theo dõi1.5K Người theo dõi
mk-sulphur đã retweet
mk-sulphur đã retweet
mk-sulphur đã retweet
mk-sulphur đã retweet

Huyu hapa ndo aliye onekana akishambuliwa kwenye video ambayo tume toka kuipost muda mfupi ulio pita.
Anasema yeye alikuwa amekuja kufanya manunuzi na pikipiki yake akawa ame ipaki karibu na mafundi simu, alivyo maliza manunuzi akarudi akakuta pikipiki yake haina funguo, ikabidi amsogelee fundi simu mmoja aliye kuwa ame inama akitengeneza simu, ikabidi amshike bega Ili amwulize, ndo huyo fundi simu akaanza kupiga kelele kuwa kaibiwa nyeti zake zimebaki ndogo kama za mtoto, ndo watu Waka Sogea wakaanza kumshambulia.
Ila ukweli huyu baba anasema hajui lolote kuhusu haya mambo.
Video akishambuliwa Iko kwenye comment hapa chini.

Indonesia
mk-sulphur đã retweet
mk-sulphur đã retweet
mk-sulphur đã retweet
mk-sulphur đã retweet
mk-sulphur đã retweet
mk-sulphur đã retweet
mk-sulphur đã retweet

JOHARI HAMZA NDIYO CHANZO CHA HAYA MADUDU 📌
JOHARI HAMZA ndiye mwanasheria mkuu wa serikali na ndiye mtu wa kwanza kutumiwa kutafsiri sheria na maamuzi mbalimbali ya kisheria ndani ya Tanzania.
Huyu ndiyo mtoa muongozo yanapokuja masuala ya sheria na taratibu za kikanuni na kikatiba ndani ya Tanzania. Huyu ndiye yardstick ya kupima kama maamuzi ya serikali yanafuata sheria au yanafuata taratibu na hayavunji katiba ya Tanzania.
Kwa bahati mbaya sana Johari Hamza uteuzi wake ulitiliwa mashaka sana na kulalamikiwa sana kuwa alikuwa hana sifa za kuwa mwanasheria mkuu wa serikali na aliteuliwa kwa kazi maalumu kuwa mwanasheria wa serikali.
Kwa wale mnaopenda kusoma ni kuwa Article 59(2) ya katiba ya Tanzania inamtaka mtu anayeteuliwa kuwa mwanasheria mkuu wa serikali kuwa ni mtu aliyesajiliwa kama advocate kwa miaka 10 mfululizo .. Lakini kwa bahati mbaya sana Hamza Johari ana miaka SIFURI kama mwanasheria na bado akawa Mwanasheria Mkuu wa Serikali.
Uteuzi wake ulikiuka katiba ya Tanzania na mamlaka za uteuzi zilivunja Article 26(1), (2) ya katiba ya Tanzania wazi wazi na bila uoga.. TUKAKAA KIMYA 🤔
Leo sasa huyu mtu ndiye anayeshauri watu kama Anjela Kizigha kuteuliwa kuwa wabunge wa mabunge mawili yaani EALA na Bunge la Tanzania..
Unapoona kuna shida kwenye mikataba ya wizi wa fedha za umma na watu wanakwapua kila senti ya miradi ya watanzania na kukopakopa kusikoisha mpaka nchi inakaribia kuvunjika mgongo kwa kuwa madeni yamezidi basi moja ya wahusika wa haya mambo ni mwanasheria mkuu wa serikali bwana Johari Hamza.
Huyu ndiye anayeshauri teuzi za watu kama Anjela Kizigha watu waliokosa integrity na morality kabisa kuwa kwenye uongozi wa nchi hii lakini hawezi kuona hilo na akashauri tofauti kwa kuwa yeye mwenyewe uteuzi wake anajua ni wa magumashi na yuko kwenye kiti hicho kwa kazi za hivi na hawezi kushauri kinyume. ( tunakumbuka sana ushauri wake kwenye jambo la DP World wakati ule)
Tunapokuwa na taifa ambalo hatutaki kufuata katiba ya nchi na taratibu za nchi na tunabakia kuwa waimba chorus kwenye kila kitu ni hatari sana kwa hali ya leo na kwa vizazi vijavyo..Hatuwezi kuendelea kuwa taifa la hivi na ni lazima haya mambo yawe fixed kwanza kabla hatujarudi kuanza kuimba mambo ya mitano tena sijui kuupiga mwingi n mambo ya makapu ya magoli sijui nini.. THIS IS TOO MUCH and this need to be said.
WE NEED TO FIX THIS COUNTRY..
#KigogoMediaUpdates



Indonesia
mk-sulphur đã retweet
mk-sulphur đã retweet

Baada ya kifo cha Kiongozi Mwandamizi wa Iran 🇮🇷 Daktari Ali Larijani ambaye alikuwa ni Mtoto pendwa wa Ayatollah Khamenei huku Familia yake ikiwa ni yenye nguvu kubwa Iran yeye akiwa Mwandamizi wa IRGC ila alivyofariki ndipo dunia imefahamu kuhusu anavyomiliki.
Ripoti kutoka Iran 🇮🇷 zinadai mali ya thamani zaidi aliyomiliki ilikuwa ni gari la dola 4,000 sawa na Million 10 ya Kitanzania.
Pango la Apartment yake ni dola 60 kwa mwezi sawa na 156,000 za Kitanzania kwa mwezi.
Alikuwa anamiliki bastora ndogo yenye thamani ya Million kama Mbili za Kitanzania.
Alikuwa na pete yenye thamani ya dola 200 ambayo ilikuwa zawadi kutoka kwa Ayatollah Khamenei.
Amefariki wakati huo hadaiwi ila anamdai Dereva Taxi mmoja ambaye alikiri Msibani kuwa ni dola 30 ambazo zilikuwa ni za kumpeleka Binti yake shulenj, Larijani alimsamehe dini hilo wiki kabla ya kifo chake.
ALI LARIJANI ana PhD ya Falsafa ya Magharibi na angeweza kuchota mali atakazo maana ni Deep State ndani ya Iran 🇮🇷 ila alikuwa anaishi tofauti.
Indonesia
mk-sulphur đã retweet

Machawa bana hahahahahaha
Kumbe muda wote wanatupigia kelele hapa ndani hawajui hata nani anateua
sasa huyu uwa anapewa hela ya nini na mjinga hivi
kwamba Bakari Machumu ndiye anateua Watu pale Ikulu ?
Kumbe hawa wengine ni wapumbavu kabisa ndio maana wanaimba mama anaupiga mwingi hawajui hata nini kinaendelea, Huyu mjinga yuko kinara kabisa kwenye mama anaupiga mwingi halafu hana knowledge hata ya kuvuka barabara

Filipino
mk-sulphur đã retweet
mk-sulphur đã retweet
mk-sulphur đã retweet
mk-sulphur đã retweet
mk-sulphur đã retweet





















