@cleansheet_1 Usajili wa yanga wa mwaka janaa ... Bora ata wasingefanyaa usajilii yani mchezaji aliyeingiaa moja kwa mojaa ni okello lakini hawa wenginee tumechezeaa helaa
Baba levo avunja ukimya atoa ya moyoni 🗣️.
" Natoa siku 7 kwa Abdul Nondo asiponiomba msamaha atanilipa Tsh Mil 550 maana nimeona clip yake kaita waandishi wa habari na kuwaambia kua ubunge wangu sijauoata kiuhakali wakati wote nimashahidi, tumefanya kampeni, tumenadi sera na wananchi wameamua kidemokrasia"
----------------------------
Wakuu ukimshambulia mtu kwa maneno makali na yasiyo na ukweli jiandae kula faini kubwa kama hizi hasa wazee wa spana humu umakini unahitajika sana
Moja ya AIBU itakayoikumba ligi yetu ni huyu janja kua TOP SCORER
Hatuezi kujigamba tuna ligi namba 5 afrika halafu top skola kaja dirisha dogo, hii ni aibu isiopimika
Na itathibitsha kua akina dube mwalimu shentembo makambo ni MATAPELI sio straika za kucheza ligi hii
Msigwa aliyekuwa CHADEMA kisha akahamia CCM na akahojiwa akasema alipokuwa CHADEMA alikuwa mjinga, maana alikuwa anapambania vitu ambavyo havipo. Pia kwenye majukwaa akasema akiwa CHADEMA alikuwa kipofu ila alipoingia CCM akaona nuru. Sasa ameomba radhi na ameomba kurudi CHADEMA
Maisha yanaenda kasi sana Yaani saivi Simba SC anamtaka Yanga SC muda wowote ule wakipige 😀😀😀
Na Uzuri Yanga washajua kuna namna Mnyama Simba SC anamsaka anataka arudishe zile tano.!
@moshijnr Kama kila mfanyakazi akisema akimbie kazini kisa kavunjwa moyo basi hakutakuwa na chochote kitakachofanikiwa. Ni ngumu lakini anatakiwa kutafuta namna sahihi ya kuendelea na kazi huku akijiweka sawa kiakili✍️
"Niwaambie na niwaombe Mashabiki wa Yanga msikate tamaa na sisi wachezaji, sisi ndio wachezaji wenu kwasasa.. na Captain Bakari Mwamnyeto hatumuoni kwenye mazoezi na timu hivi karibuni.. mmemvunja moyo".
- Mchezaji wa Yanga, Mudathir Yahya baada ya ushindi wa 2-0 dhidi ya JKT
KM 80 Unaongelea umbali wa kutoka Mbeya mjini mpaka CHIMALA.
Ukiamua utembee kwa miguu kwa mwendo wa mtu anaefanya mazoezi ni masaa 17 kwenda juu (hapo kwenda tuu)
Sijui huu ushenzi wa kutaka kujiona wao ndio wamesoma mazingira magumu sana sijui unawasiaga nini hawa wajinga.
@RevocatusMagum1 Young Africans SC ni timu ambayo bado ina utoto wingi sana, watajua mwaka huu. Alafu pitch ni tamu sema wanatengeneza scenario fulani hivi.
AMEANDIKA JEMEDARI SAID ✍️
PRESHA YA KUTOSHINDA ISAMUHYO INAWASUMBUA YANGA.
Nimeona viongozi wa Yanga wakiandika na kusema maneno ya hovyo na mabaya juu ya uwanja wa Major General ISAMUHYO.
Ikanikumbusha msimu juzi Yanga walivyokuja pale wakati wa mvua kama huu wakawa na maneno kama haya na mechi ikachezwa ikaisha 0-0. Msimu jana mechi ilikuwa kiangazi hakukuwa na maneno na mechi ikaisha tena 0-0. Msimu huu mechi na JKT bado wanaanza na Simba ambao wanakodi kiwanja pale, lakini maneno machafu yameanza.
Mtu anirekebishe, mimi najua mechi ni kesho tarehe 3 Mei, 2026 saa 12:00 jioni au kuna mabadiliko? Yanga wamecheza mazoezi muda wa mechi kikanuni siku 1 kabla ambayo ni leo tarehe 2 Mei 2026, kuna masaa 24 mpaka kufika muda wa mechi, wanalijua hili?
Leo unafanya ukaguzi na kudharau watu wa Club Licensing, unaiita kiwanja cha Major General ISAMUHYO “Zizi la Ng’ombe” ilihali nyinyi miaka 90 hata “Banda la Kuku” hamna..!! What a shame..!
Halafu mazoezi yamefanyika mpaka yameisha ila unasambaza video ya kipande kidogo cha kiwanja ambacho kimetuamisha maji kiasi kidogo sana sio cha kukataza mechi kuchezwa kwa mujibu wa kanuni, msingi wa kufanya mazoezi ni kuyaona hayo mapungufu ili yasiwe mageni siku ya mechi, lakini wanaleta Usimba na Yanga kwenye kiwanja cha JKT na kudharau juhudi za watu wengine walioamua kuutumikia mpira kwa dhati sio maneno ya kilasiku TUTAJENGA UWANJA LAKINI HAKUNA NI BABAISHA BWEGE TU.
Kwangu huu uwanja Yanga hawaupendi tu kwakuwa ni SEHEMU NGUMU kwao, hawajawahi kufunga hata bao tangu waanze kucheza hapa, hizi zingine ni presha tu wanaona kama kiama kimefika kesho.
Simba ni klabu ambayo ipo katika KLABU 10 BORA Afrika wamekubali kucheza hapa pamoja na umuhimu huo waliokuwa nao, hawajawahi kukebehi jitihada hizi za JKT Tanzania kujenga huu uwanja, kama wanakubali klabu hii KUBWA TANZANIA NA AFRIKA kwa ubora, nani tena anajipa umuhimu kuizidi Simba SC hapa Tanzania?
Nakumbusha tena, mechi ni kesho saa 12:00 jioni, kuna muda mrefu sana, mezeni maneno yenu kuweni na subra, sifa ya uongozi ni pamoja na subra, mngesubiri hata siku ya mechi ifike mchana mchana au jioni ndo mseme hivi.
BIN KAZUMARI MTIPA (Voice of the Voiceless)
"Tukipoteza Dabi, gap la points litakuwa ni nane, kwa timu zilizobaki huyu bwana hawezi kudondosha alama zote nane. Ukimtegemea Azam atakuvua taulo ukweni asububi tu, ukimtegemea Singida huyo ndio shoga yake mkubwa, wanasimba twendeni tukapambanie alama tatu"
🎙️ Ahmed Ally
🚨𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄
“Michezo yote ya Ligi inachezwa kwa mujibu wa sheria za ligi kuu, Viwanja vyote vinavyotumika kwenye michezo ya ligi kuu, na moja ya viwanja hivyo ni uwanja wa Meja Jenerali Isamuyo"
“Mchezo wa dabi ulipangwa kuchezwa katika uwanja wa Benjamin Mkapa ila tumepewa taarifa kuwa upo kwenye matengenezo, hivyo wenyeji (Simba) wakapendekeza uwanja wa Meja Jenerali Isamuyo.” - Karim Boimanda - Afisa Habari na Mawasiliano wa TPLB Karimu Boimanda
#MeaMswahiliUPDATES
Hivi hizi team washauri wao ni kina nani!? So kwa sababu yanga alipeleka mechi zenji, Simba anapeleka huko, uwanja ambao mashabiki hata robo ya Lupaso hawaingii, mapato yote yanapotea na mashabiki wengi kukosa nafasi ya kuingia uwanjani kisa , ushindani wa kizamani,.. ama kweli tumerogwa🚮🚮🙌.
Siwaoni kabisa Yanga wakishinda mchezo wa derby mei 03
Huu uwanja yanga hajawahi kupata matokeo mazuri
Atmosphere ya meja generali isamuyo sio familiar kwa yanga
Pongezi sana kwa viongozi wa simba kwa hii Nice venue 🏟️ selection
🤦🏽♂️TUNAISHUSHA HADHI YA KKOO DERBY?
Simba SC wamethibitisha kuwa uwanja wa Mej General Isamuhyo, utatumika kwaajili ya mchezo wao wa ligi kuu dhidi ya Yanga
Kimsingi huu ni mchezo unaoitambulisha Tanzania kwenye ramani ya mpira, VENUE inapaswa kuwa ya hadhi ya kimataifa na zipo!