Angehefteter Tweet

Vijana wengi waliojiunga na maandamano hawakujua kwamba nyuma ya harakati hizo kulikuwa na maslahi ya kisiasa na kifedha ambayo hayakuwahusu wao. Wengi walitumika kama zana huku wakifikiri wanapigana kwa ajili ya haki na uhuru wa kweli wa wananchi wenzao. #MariaSarungiNiMamluki
Indonesia






