laUrentmIlleR👨🏿‍🚒

3.2K posts

laUrentmIlleR👨🏿‍🚒 banner
laUrentmIlleR👨🏿‍🚒

laUrentmIlleR👨🏿‍🚒

@TaleebMillernz_

aduI🧠 be smart | efforts never lie | smart work pays …. mucho pLata💰 amigo... there's death don't forget it ✍️🏾🧠 allahuma Inn as alukal a'afiya🤲🏾🫀

Dar es Salaam, Tanzania Beigetreten Haziran 2023
76 Folgt95 Follower
laUrentmIlleR👨🏿‍🚒 retweetet
MuslimMatters
MuslimMatters@MuslimsMatters·
The most difficult night for humans is the first night in the grave may Allah protect the torment of the grave. Ameen 🤲🏾
MuslimMatters tweet media
English
246
705
6K
102.2K
laUrentmIlleR👨🏿‍🚒 retweetet
THE MESHA
THE MESHA@The_mesha24·
Mwanaume. 1. Usifanye hili uonekane, fanya kama ndo utambulisho wako. 2. Usiishi kwa kwa mazoea, ishi kwa kulifata KUSUDI lako. 3. Usifanye ili usifiwe, fanya ili utimize ulichopanga kufanya. Rise your internal standards.
Indonesia
3
18
68
1K
laUrentmIlleR👨🏿‍🚒 retweetet
Vyber(fan)
Vyber(fan)@_Mac_lfc·
1st season 9th season
Vyber(fan) tweet mediaVyber(fan) tweet media
English
27
2.2K
27.9K
244.9K
laUrentmIlleR👨🏿‍🚒 retweetet
ProsperNow.
ProsperNow.@prossoff·
Kabla hamjalala. Tambueni kwamba. Kuji associate na watu waliofeli mambo yao. Watu waliojikatia tamaa. Watu waongo. Watu wa maigizo. Watu wenye mawazo finyu. Ni kujitia ukilema. Heri uonekane unajiona ukisimamia mambo ya maana Kuliko Uonekane wa maana kwa kusimama na mambo ya hovyo ili uonekane haujioni. Wengi walishaumia sana kwa ku impress kundi fulani la watu. Ishi kwa malengo ambayo yako ndani yako. Pombe, uzinzi, tamaa na marafiki wajinga ni hatua kumi katika kuporomoka kimalengo.
Indonesia
2
16
130
3.8K
laUrentmIlleR👨🏿‍🚒 retweetet
Kelvin Kibenje Kyaluoko
Kelvin Kibenje Kyaluoko@kelvinkibenje·
Ukiwa mtu wa aina hii WATU WATAKUDHARAU na kama ni mfanyabiashara WATEJA WATAKUPANGIA NA BEI kabisa🙌
Indonesia
1
3
13
806
laUrentmIlleR👨🏿‍🚒 retweetet
Kelvin Kibenje Kyaluoko
Kelvin Kibenje Kyaluoko@kelvinkibenje·
Huwezi kufanikiwa BIASHARA MTANDAONI bila mpango mkakati Maalumu. Ndo maana HUPATI PESA, WATEJA WALA ACCOUNT YAKO HAIKUI Jitubu kwa njia hizi
Indonesia
1
3
12
843
laUrentmIlleR👨🏿‍🚒 retweetet
Kelvin Kibenje Kyaluoko
Kelvin Kibenje Kyaluoko@kelvinkibenje·
7. HUWEZI KUIJENGA FUTURE UKIWA TEGEMEZI MILELE Kila mtu ana maisha yake. Hakuna anayependa kuendelea kukusaidia milele. Jifunze kuingiza kipato kwa njia ya passive: tengeneza content, e-book, au online course nk
Indonesia
1
1
3
213
laUrentmIlleR👨🏿‍🚒 retweetet
Kelvin Kibenje Kyaluoko
Kelvin Kibenje Kyaluoko@kelvinkibenje·
Kwakweli mimi huwa simuelewi KIJANA ANAYEISHI DAR alafu HAONI FURSA ya kufanya
Indonesia
2
1
9
668
laUrentmIlleR👨🏿‍🚒 retweetet
Kelvin Kibenje Kyaluoko
Kelvin Kibenje Kyaluoko@kelvinkibenje·
UTAJIRI sio kuwa na matumizi makubwa. Dalili halisi ni kuongezeka kwa mali halisi, kupungua kwa uwiano wa madeni, uwekezaji endelevu unaozalisha mapato, na kupata uhuru wa kifedha. Haya yote ni matokeo ya nidhamu, maarifa, na uamuzi sahihi wa kifedha, si kipato kikubwa pekee.
Indonesia
1
1
0
117
laUrentmIlleR👨🏿‍🚒 retweetet
Kelvin Kibenje Kyaluoko
Kelvin Kibenje Kyaluoko@kelvinkibenje·
Dalili kwamba sasa umeanza kufanikiwa na utakua tajiri.
Indonesia
1
1
4
462
laUrentmIlleR👨🏿‍🚒 retweetet
Kelvin Kibenje Kyaluoko
Kelvin Kibenje Kyaluoko@kelvinkibenje·
UKIFA, Mke,watoto, na wazazi wako watalia sanaaaa... Marafiki watalia lakini baada ya siku 40 watakusahau na kuendelea na kazi zao... Hii familia yako itaingia kwenye Umasikini mkubwa mno kama utakua hujafanya hata mambo yafuatayo.... UKWELI MCHUNGU Familia nyingi haziporomoki kwa sababu ya kifo chenyewe 👉 zinaporomoka kwa sababu ya maandalizi duni. Kifo hakiharibu familia. Kutokuwa na mfumo ndiko kunaharibu. 1. JENGA KIPATO KISICHOKUFA PAMOJA NA WEWE Usijenge maisha yanayokufa ukifa. • Mshahara hufa na wewe • Kibarua hufa na wewe • Biashara inayokutegemea 100% → hufa na wewe Suluhisho: 👇 • Jenga biashara yenye mfumo • Mapato yanayoendelea (rent, dividends kupitia hisa, biashara inayoendeshwa na watu wengine) ✍️ Kama kipato hakipo bila uwepo wako → familia yako iko hatarini. ⸻ 2. WEKEZA (SIO KUHIFADHI TU) Akiba ni ya muda mfupi. Uwekezaji ni ulinzi wa vizazi. • Ardhi inayolima au kukodishwa au kuuzwa baadae • Nyumba ya pango • Hisa, mifuko ya uwekezaji kama UTT_Amis • Biashara inayokua na ya uhakika 👉 Kosa kubwa wanalofanya watu wengi ni kuacha pesa, si mfumo wa pesa kuendelea kuingia. Kanuni: Mtoto hawi tajiri kwa kurithi pesa — anakuwa salama kwa kurithi uwekezaji. ⸻ 3. USIACHE FAMILIA BILA UJUZI (SKILLS) Hiki ndicho kipengele kinachopuuzwa zaidi. Hasa wanaume, suala la kuacha mke wako nyumbani hajui chochote kuhusu biashara ni hatari… • Mke asiye na skill → ataanguka • Watoto wasio na skill → watakuwa maskini hata wakipewa mali 👉 Uliza sasa: • Je mke wako ana skill ya kuingiza kipato? • Je watoto wako wanafundishwa ujuzi au darasani tu? Ujuzi muhimu: • Biashara • Digital skills • Usimamizi wa fedha • Mawasiliano & mauzo Skill ni bima ambayo haiwezi ku-expire. ⸻ 4. ANDIKA NA WEKA WAZI TAARIFA ZA MALI Familia nyingi hupoteza kila kitu sio kwa sababu hawakuwa nacho, bali hawakujua. • Mali hazijulikani • Akaunti hazijulikani • Hati zimefichwa kichwani mwako 👉 Matokeo: • Migogoro • Mali kugawiwa vibaya • Watu wa nje kunufaika Fanya hivi: • Orodhesha mali zako • Eleza mapato yanatoka wapi • Weka mtu wa kuaminika ajue ✍️ Siri zako zikifa na wewe, familia yako italipa gharama. ⸻ 5. JENGA MFUMO, SIO MIMI Familia nyingi hufa kiuchumi kwa sababu kila kitu kilikuwa: “Uliza baba” “Baba anajua” “Baba atafanya” Ukiwaondoa baba → mfumo unaondoka. 👉 Badilisha: • Wewe → mfumo • Wewe → taratibu • Wewe → watu Wewe sio mpango. Mfumo ndio mpango. ⸻ 6. USIFUNDISHE KUTEGEMEA — FUNDISHA KUJITEGEMEA Upendo mwingi usio na hekima huua familia. • Kumlipa kila kitu mke • Kumlinda mtoto asihangaike • Kuwaficha ukweli wa pesa 👉 Matokeo: Ukiwaondoka → wanaanguka vibaya. Fanya hivi: • Wape majukumu • Waelewe pesa zinatoka wapi • Waone changamoto kabla hazijawaangamiza ✍️ Usiwaandalie maisha rahisi — waandalie uwezo. ⸻ 7. PANGA KIFO CHAKO KAMA UNAVYOPANGA MAISHA Hili ni gumu kusikia, lakini ni la kiume na la kiongozi. • Nani ataendesha nini? • Nani atasimamia nini? • Nani atatoa maamuzi? 👉 Kifo hakisubiri uivae ujasiri. Mtu anayepanga kifo chake vizuri, anaishi kwa heshima. ⸻ MWISHO Familia yako haitakumbuka: • Ulichosema • Ulichowaahidi Watakumbuka: • Ulichowaachia • Ulichowafundisha • Ulichowajengea 👉 Urithi sio pesa. 👉 Urithi ni mfumo wa kuendelea
Kelvin Kibenje Kyaluoko tweet media
Indonesia
9
33
82
7.2K
laUrentmIlleR👨🏿‍🚒 retweetet
Kelvin Kibenje Kyaluoko
Kelvin Kibenje Kyaluoko@kelvinkibenje·
Mbinu wanazotumia wafanyabiashara wenye mitaji midogo kariakoo kukuza biashara zao, kuwa magiant, kuongeza mauzo na kutawala soko… Kama huzijui, utaendelea kufanya biashara local sana … . ⸻ 1. GROUP BUYING (NGUVU YA PAMOJA) Wanakusanyika 3–5, wanaunganisha mitaji, wanakwenda kununua mzigo mkubwa China. 👉 Wanapata kwa bei ndogo sababu ya mzigo mkubwa, faida inapanda, ushindani unakufa. Ndo ile unakuta Kariakoo nzima labda watu watatu tu ndo wanabishana fulani na bei ndogo wengine wote mnanunua hapo. ⸻ 2. CHANNEL ZA WAFANYABIASHARA MIKOANI Wana mtandao tayari mikoani. Mzigo ukishuka → unasambazwa siku hiyo hiyo. 👉 Hawategemei wateja wa dukani pekee. Duka ni store tu. Biashara halisi iko: • WhatsApp, Mawinga, wasambazaji, mabasi, makontena 👉 Duka likifungwa, mauzo yanaendelea. ⸻ 3. KUWA MBELE YA MUDA (FIRST MOVERS) Hawasubiri design itambe Instagram. 👉 Wao ndio wanazindua trend, soko linawafuata. Hii inawapa nafasi ya kujipangia bei na ku-control soko. ⸻ 4. NI CHIMBO LA BIDHAA MOJA (PRODUCT DOMINATION) Wengi huuza bidhaa moja tu. Wengine hawaendi China ila mzigo ukishuka kwa Tajiri, wanachagua aina maalum (mf. pochi ya muundo fulani wananunua yote wanakua nayo pekee yao). 👉 Kariakoo nzima → bidhaa hiyo iko kwao tu ndo wanauzia wengine. Hii iko kwenye fashion sana. ⸻ 5. WANACHEZA NA VOLUME, SIO FAIDA Hawauzi kupata faida kubwa kwa bidhaa moja. CASH FLOW > FAIDA KUBWA Wanapendelea: • kuuza haraka pesa irudi waendelee kuzungusha mzigo mara nyingi 👉 Faida ndogo × mara nyingi = pesa kubwa. ⸻ 6. WANAPIMA SOKO KABLA YA KUSHUSHA MZIGO Kabla ya kuagiza: • Wanapiga simu kwa wateja wa mikoani • picha WhatsApp • preorder ndogo 👉 Hawashushi mzigo kwa kubahatisha. Ndo maana mzigo ukishuka tu unashambuliwa. ⸻ 7. WANA SUPPLIERS WAO WANAOAMINIANA Kwa sababu: • volume kubwa • uhusiano na supplier Mzigo kwa malikauli. 👉 Unapojaribu kushindana bei, tayari umechelewa. WANAFICHA SOURCE YAO Hawapigi kelele supplier wao ni nani. 👉 Wanajua taarifa = pesa. ⸻ 8. WANACHEZA GAME NDEFU Hawafikirii: “Leo nipate faida kiasi gani?” Wanafikiria: “Nifunge soko, nitawatoa wote taratibu.” Akili yao ni kuteka soko zima na wafanya biashara wote wa bidhaa hiyo. 👉 Ndiyo maana leo unaona mtu alianza na mtaji mdogo, leo ana maduka 5–10. ⸻ … Kama huzielewi hizi mbinu: • utaendelea kuuza local • utachoka kuzungusha bidhaa chache • utafurahia faida ndogo ndogo Lakini ukizielewa: 👉 Biashara yako inaanza kucheza ligi ya Kariakoo.
Kelvin Kibenje Kyaluoko tweet media
Indonesia
3
41
133
10.2K
laUrentmIlleR👨🏿‍🚒 retweetet
Kelvin Kibenje Kyaluoko
Kelvin Kibenje Kyaluoko@kelvinkibenje·
HUWEZI KUHARAKISHA MAFANIKIO YAKO YA KIFEDHA KAMA UTAENDELEA KUTUMIA HIZI NJIA MBILI NA KUPUUZIA HII YA TATU. Achana na ushauri wa kutengeneza utajiri kwa kutumia njia ya kawaida ya elimu, ajira, akiba, na kustaafu Hapa nakupa njia ya uhakika ya kufikia uhuru wa kifedha haraka, inayoitwa “The Fastlane” (njia ya kasi) Njia mbili za kuachana nazo ni.... 1. The Sidewalk (Barabara ya Watembea kwa Miguu) Hii ni njia ya watu wasiopanga maisha yao kifedha. Wanaishi kwa kutegemea mshahara wa mkono kwa mdomo bila akiba au mipango ya baadaye 2. The Slowlane (Njia ya Polepole) Njia hii ndiyo inayohubiriwa na jamii: soma kwa bidii, pata kazi nzuri, weka akiba, wekeza kwenye mfuko wa kustaafu, na uishi maisha ya starehe ukiwa mzee Tatizo ni kwamba hii inawafanya watu kuwa tegemezi kwa muda mrefu na kuwapa uhuru wa kifedha wakiwa wazee . Kwani wewe unapenda kuteseka miaka yote ufanikiwe baada ya kustaafu? Au ukiwa mzee? Kama hapana, Tumia njia hii... 3. The Fastlane (Njia ya Kasi) Hii ni njia ya wajasiriamali, Wafanyabiashara na wabunifu wanaojenga biashara zinazopanuka na kuzalisha kipato kikubwa siku kwa siku Badala ya kuuza muda wao kwa mshahara, wanajenga mifumo inayowaingizia pesa hata wakiwa hawafanyi kazi moja kwa moja. Misingi ya Njia ya Kasi (Fastlane) 1. Jenga Utawala (Control) – Usimwache mwajiri au mtu yoyote adhibiti maisha yako ya kifedha. Miiliki biashara yako au uwekezaji wako, Uwe na control 2. Angalia Hitaji la soko (Need) – Usifuate tamaa zako tu yaani unachokipenda tu, tengeneza thamani kwa kutatua matatizo ya watu 3. Kiwango (Scale) Biashara au uwekezaji wako uwe na uwezo wa kukua na kuwahudumia watu wengi. 4. Ubunifu (Time Independence) – Epuka biashara zinazokutegemea moja kwa moja kwa muda wako. Badala yake, unda mifumo unaoweza kufanya kazi hata bila wewe kuwepo. 5. Upanuzi (Magnitude) – Biashara yako iwe na uwezo wa kukua haraka kwa kutumia teknolojia, usambazaji wa wingi, na uwekezaji Unasisitizwa, utajiri wa kweli hauji kwa kuweka akiba ndogo kwa miaka 40, Tumia mbinu hizo Tano. . Wewe bado uko kwenye njia hizo mbili au kwenye njia ya tatu tayari kuna points unazifanyia kazi?
Indonesia
1
17
64
5.3K
laUrentmIlleR👨🏿‍🚒 retweetet
Kelvin Kibenje Kyaluoko
Kelvin Kibenje Kyaluoko@kelvinkibenje·
JINSI YA KUPUNGUZA MATUMIZI YA FEDHA YASIYO YA LAZIMA NA KUZIPANGILIA FEDHA ZAKO ILI UFANIKIWE KIUCHUMI.. ... Watu wengi hawafanikiwi kwa sababu hawapati pesa. NO Ila kwa sababu hawajui kuzilinda, kuzipangilia, na kuzifanya ziwafanyie kazi. Ukishindwa kudhibiti matumizi madogo, hata pesa nyingi zitakumaliza kimya kimya. Nini ufanye sasa? 👉👉 1. TAMBUA UVUJISHAJI WA FEDHA (FINANCIAL LEAKS) Fedha nyingi hazipotei kwa matumizi makubwa, zinapotea kwa madogo madogo ya kila siku. Kulakula chakula nje bila mpango, data, subscription, anasa ndogo zisizo na mchango, shipping zisizo za mipango. 👉 Usipoviziba hivi vijishimo, mapato yako yatakuwa ni ya kupita tu, siyo ya kubaki. 2. TOFAUTISHA MAHITAJI NA TAMAA Mahitaji = yanaongeza au kulinda maisha yako. Tamaa = zinakupa hisia ya muda mfupi. Simu mpya kila mwaka, kila toleo, kuishi maisha ya kushindana na kujionyesha. 👉 Watu maskini kifedha hununua kwa hisia. Wenye mafanikio hununua kwa mantiki. 3. JILIPIE WEWE KWANZA Ukisubiri eti pesa ambayo inabaki ndio uwekeze, hutowekeza… Fanya hivi: •Pata pesa •Weka pembeni akiba/uwekezaji kwanza •Tumia kilichobaki 👉 Akiba siyo kile kinachobaki, ni kipaumbele no 1. 4. TUMIA BAJETI KAMA SILAHA, SIO KAMA OPTION TU Hii ni ramani ya kukuongoza kifedha. •Jua pesa inaingia kiasi gani •Jua inaenda wapi •Weka mipaka kwa kila kipengele 👉 Ukikosa bajeti, maisha ndiyo yatakuwekea bajeti kwa dharura na madeni. 5. ISHI CHINI YA KIPATO CHAKO Hii ndiyo siri watu wengi hawapendi kusikia. Acha kuishi nyumba inayokuzidi uwezo na vitu vinavyokuzidi uwezo. •Ongeza mapato ✔ •Chelewesha anasa ✔ •Jenga msingi kwanza 👉 Utajiri hauonekani mapema. Umaskini hupiga kelele mapema. 6. GEUZA MATUMIZI KUWA CHOMBO Kabla ya kutumia pesa jiulize: Hii itanirudishia nini? ✔ Uwekezaji ✔ Biashara ✔ Vifaa vinavyoongeza kipato 👉 Fedha nzuri ni ile inayorudi na rafiki zake ☺️ 7. JENGA NIDHAMU, SIO MOTISHA Unaona walioanza na motivation mwaka huu, pumzi ishaanza kukata… Motisha huisha. Nidhamu hubaki. •Anza hata kama hujawa tayari 100% •Wekeza hata kama ni kidogo •Fuata mpango hata kama unakubana 👉 Nidhamu ndogo leo = Uhuru mkubwa kesho. ... Huhitaji miujiza ili kufanikiwa kiuchumi. Unahitaji: •Udhibiti •Mpango •Subira Fedha zikikuona unaziheshimu, nazo zitakuheshimu
Indonesia
3
43
121
9.3K
laUrentmIlleR👨🏿‍🚒 retweetet
Kelvin Kibenje Kyaluoko
Kelvin Kibenje Kyaluoko@kelvinkibenje·
UKIANZA HIZI MICHEZO SAHAU KUFANIKIWA see more....
Indonesia
2
1
1
84
#NIPENI_MAUA_YANGU💐
#NIPENI_MAUA_YANGU💐@Roma_Mkatoliki·
Namdai Alex pesa yangu, ananizungusha hataki kunilipa. Anasema pesa hana, ila yeye anamdai pia Becka, so anangojea siku Becka akimlipa ndio nayeye anilipe na mimi!! Jana kuna kazi tumefanya mimi na Becka, tukalipwa!! Wakati tunalipwa ile pesa ya Becka nikaichukua tena na mimi!! Nikamwambia mimi ninamdai Alex, na Alex anakudai wewe… so nimekata juu kwa juu!! Nikamwambia Alex usimdai tena Becka na mimi sikudai tena, na Becka hudaiwi tena na Alex…..tumemalizana NIKO SAHIHI? AU NIMEKOSEA WAPI?
Filipino
75
45
780
45.8K
laUrentmIlleR👨🏿‍🚒 retweetet
Mufti Menk
Mufti Menk@muftimenk·
Stop comparing yourself to others. If the Almighty wants you to have what others have, He will give it to you, if not now, perhaps at some stage later on. Be happy with His Decree. Learn to accept His plan. If you’re grateful, He will surely grant you more.
English
212
2.3K
8.9K
154K
laUrentmIlleR👨🏿‍🚒 retweetet
AmosiNyanda
AmosiNyanda@NyandaAmosi·
Mwanaume Hatari na Mwenye Nguvu Anatengenezwa Kwenye UPWEKE na Maumivu Kukataliwa, Kusalitiwa na Kutengwa ni Gharama ya Kuwa Mwanaume Imara, Hatari na Mwenye Nguvu Ukiona Imefika Hatua Umekuwa Comfortable Kuwa Peke yako—Basi Ushakuwa Mtu HATARI Hatari Mno
Filipino
9
60
334
6.6K
laUrentmIlleR👨🏿‍🚒 retweetet
MuslimMatters
MuslimMatters@MuslimsMatters·
Du'a to get everything
MuslimMatters tweet media
English
6
193
781
10K