CCM Mtandaoni retuiteado
CCM Mtandaoni
9.1K posts

CCM Mtandaoni
@CCMmtandaoni
Kundi la Hamasa CCM Mtandaoni| CCM IDEOLOGY| Wajamaa| #TeamSamia #KaziIendelee
Tanzania Se uniรณ Temmuz 2022
1.3K Siguiendo3.1K Seguidores

๐ง๐๐ก๐ญ๐๐ก๐๐ ๐๐ฃ๐ข ๐ฆ๐๐๐๐ ๐ ๐๐๐๐ก๐ ๐ฌ๐ ๐ฅ๐๐๐ฆ ๐๐๐ง. ๐ฆ๐๐ ๐๐ - ๐๐๐ก๐๐ก๐
๐ผ๐จ๐๐จ๐๐ฉ๐๐ฏ๐ ๐ ๐ช๐๐๐๐ฅ๐ ๐ ๐๐ฏ๐ ๐ฃ๐ ๐ ๐ช๐๐ฃ๐๐๐ก๐๐ ๐ ๐ช๐๐๐ข๐๐จ๐๐ ๐๐ข๐๐ฃ๐ ๐ฎ๐๐ฉ๐ช.
Indonesia
CCM Mtandaoni retuiteado
CCM Mtandaoni retuiteado

Ninaungana na Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kuwatakia Watanzania wote, Heri ya Sikukuu ya Pasaka.
Pasaka ni kielelezo cha ushindi, matumaini mapya, na upendo mkuu. Tuendelee kudumisha tunu zetu za amani, mshikamano, na kuvumiliana ambazo ndizo msingi wa Taifa letu.
Tuutumie wakati huu kutafakari wajibu wetu kwa wengine na kuendelea kufanya kazi kwa bidii ili kuijenga Tanzania yenye ustawi na maendeleo kwa wote.
Heri ya Sikukuu ya Pasaka!
___
Mheshimiwa Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Filipino
CCM Mtandaoni retuiteado
CCM Mtandaoni retuiteado

Nawatakia Watanzania wote Pasaka njema, yenye furaha na baraka tele. Tunapoadhimisha ufufuko wa Bwana Yesu Kristo, tuyakumbuke na kuyaenzi mafundisho na matendo yake ya huruma, upendo, msamaha na kujitoa kwa ajili ya wengine.
Pasaka hii itukumbushe umuhimu wa kudumisha amani, kuimarisha umoja na mshikamano wa kitaifa, ili tuendelee kujenga Taifa lenye fursa kwa wote, ustawi na maendeleo endelevu kwa kizazi cha sasa na kijacho.
Heri ya Sikukuu ya Pasaka!

Filipino

๐๐๐ก๐๐ช๐๐ง๐๐๐๐ ๐ช๐๐๐ฅ๐๐ฆ๐ง๐ข ๐ก๐ ๐ช๐๐ง๐๐ก๐ญ๐๐ก๐๐ ๐ช๐ข๐ง๐ ๐๐ช๐ ๐จ๐๐จ๐ ๐๐ ๐๐๐ฅ๐ ๐ฌ๐ ๐ฆ๐๐๐จ๐๐จ๐จ ๐ฌ๐ ๐ฃ๐๐ฆ๐๐๐
#๐๐๐ฏ๐๐๐๐๐ฉ๐ช๐๐ช๐ฃ๐๐จ๐ค๐ฃ๐๐๐๐๐๐ก๐
Indonesia

๐๐๐๐ ๐๐ผ ๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐ผ ๐๐ผ๐๐ผ๐๐ผ
๐๐๐๐ ๐ ๐๐๐ ๐ ๐๐ฃ๐๐ก๐๐จ๐ญ๐ (๐๐๐ ) ๐๐๐๐ก๐ ๐ฌ๐ ๐ ๐ช๐๐ก๐ฌ๐๐๐๐ง๐ ๐ช๐๐๐ ๐ก๐ ๐ฅ๐๐๐ฆ ๐ช๐ ๐๐๐ ๐๐จ๐ฅ๐ ๐ฌ๐ ๐ ๐จ๐จ๐ก๐๐๐ก๐ข ๐ช๐ ๐ง๐๐ก๐ญ๐๐ก๐๐ ๐ ๐๐. ๐๐๐ง. ๐ฆ๐๐ ๐๐ ๐ฆ๐จ๐๐จ๐๐จ ๐๐๐ฆ๐ฆ๐๐ก,


Indonesia
CCM Mtandaoni retuiteado
CCM Mtandaoni retuiteado
CCM Mtandaoni retuiteado

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa pamoja na viongozi mbalimbali kabla ya kuwaongoza Watanzania kuaga mwili wa aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na wenye Ulemavu), Hayati William Vangimembe Lukuvi, katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam tarehe 28 Machi, 2026.




Indonesia


























