Mr. Magnifico

27.2K posts

Mr. Magnifico banner
Mr. Magnifico

Mr. Magnifico

@FelicianROM

MNMA ALUMNI 🧑‍🎓 (2021) Still hunting for big bags💰. A @ManUtd fan

Dar es Salaam, Tanzania Se unió Mayıs 2021
1.6K Siguiendo2.5K Seguidores
Tweet fijado
Mr. Magnifico
Mr. Magnifico@FelicianROM·
Rest in peace my mother 😭😭💔💔
Mr. Magnifico tweet media
Dar es Salaam, Tanzania 🇹🇿 English
629
298
3.9K
181.6K
Mr. Magnifico retuiteado
SATIVA
SATIVA@Sativa255·
"Futa... imekwenda moja kwa moja?" 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Afute nini? Hutaki dunia ione UPIMBI WAKO? Tupo nayo na tunatamba nayo. Elimu mbali mbali kachokaaaaa🤣
Filipino
42
80
496
19.3K
Mr. Magnifico retuiteado
SATIVA
SATIVA@Sativa255·
Maelezo mengiiii unamaliza Miti tuu girishoni. Wewe kila kitu kwako unafafanua, kwanini haya maelezo hakutoa dikteta JIKE kwa mdomo wake? Mnajua hana uwezo wa kuelewa haya -tukisema tunaongozwa na KYANDE mnatuteka.🚮
SATIVA tweet media
Indonesia
23
38
172
6.3K
Mr. Magnifico retuiteado
Tito Magoti
Tito Magoti@TitoMagoti·
Kutoka kuwa Profesa wa sheria mwenye heshima zako hadi kumuabudu mtu namna hii is something I will never understand. Eti hapo alikuwa amepagawa hadi amekosa maneno ya kusema sababu ya uteuzi🚮
Tito Magoti tweet media
Indonesia
35
22
205
5.4K
Mr. Magnifico retuiteado
Maria Sarungi Tsehai
Maria Sarungi Tsehai@MariaSTsehai·
Tulikubaliana hakuna kujieleza sana @MsigwaGerson Sasa mnapiga sarakasi na taulo, mnamwaga radhi 🤣 Hakusema Kimama chenu Euro 6,000 kwa tani! Alisema kwa lita 🤣 Eniwei #TutaelewanaTu
Maria Sarungi Tsehai tweet media
Filipino
58
44
234
11.8K
Gerson Msigwa
Gerson Msigwa@MsigwaGerson·
#UfafanuziMuhimu // Leo tarehe 08 Aprili, 2026, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan wakati akiwaapisha viongozi aliowateua hivi karibuni amezungumzia changamoto ya kupanda kwa bei za mafuta Duniani. Kutokana na baadhi ya watu kuhitaji ufafanuzi wa kauli hiyo, Mheshimiwa Rais alimaanisha ifuatavyo; 1. Bei za mafuta ya dizeli katika soko la dunia zimeongezeka kwa dola za Marekani 800 kwa tani ambapo zimetoka dola 650 ya mwezi Februari 2026 hadi kufikia dola 1,450 mwezi Machi 2026. 2. ⁠Bei za mafuta ya petroli katika soko la dunia zimeongezeka kwa dola za Marekani 434 kwa tani ambapo zimetoka dola 618 ya mwezi Februari 2026 hadi kufikia dola 1,052 mwezi Machi 2026. 3. ⁠Bei za mafuta ya taa na mafuta ya ndege katika soko la dunia zimeongezeka kwa dola za Marekani 821 kwa tani ambapo zimetoka dola 679 ya mwezi Februari 2026 hadi kufikia dola 1,500 mwezi Machi 2026. Pamoja na kuwepo kwa athari za kupanda kwa bei za mafuta kwa watumiani Duniani kote, bado viwango vya bei za mafuta vya Tanzania ni vidogo ikilinganishwa na nchi zingine. Kupanda kwa bei za mafuta kumesababishwa na athari za vita inayoendelea kati ya Irani dhidi ya Israel na Marekani iliyosababisha kufungwa kwa lango la Hormus ambalo hupitisha mafuta mengi yanayotumiwa Duniani ikiwemo Tanzania na nchi zingine za Afrika.
Gerson Msigwa tweet media
Indonesia
250
21
65
22K
Mr. Magnifico retuiteado
Britanicca
Britanicca@Britanicca0·
Hotuba ya Samia kwenye page ya Ikulu imefutwa muda mfupi baada ya kuhutubia Ukurasa rasmi wa YouTube wa Ikulu umeondoa video ya hotuba ya Samia muda mfupi baada ya kuhutubia, hatua inayohusishwa na mkanganyiko wa takwimu za bei ya mafuta duniani alizozitoa wakati akihutubia.
Britanicca tweet media
Indonesia
33
48
380
22.5K
Mr. Magnifico retuiteado
Marcus
Marcus@InexorablesoG·
"Guys guys guys" pelekeni huyu mtu Mirembe. "Europe mafuta Euro 6000 na Marekani dola 8000 kwa lita" - Samuya 🤣🤣
Indonesia
9
19
87
1.6K
Mr. Magnifico retuiteado
Brenda Rupia Jonas
Brenda Rupia Jonas@BrendaRupia·
Mwenezi wa @ccm_tanzania yuko wapi?Jana alituambia hatujui kufanya uchambuzi wa uchumi turudi shule.Leo tunaambiwa Europe wananunua mafuta kwa EURO 400 na marekani $600.Na hii ni kwa lita moja sio?
Indonesia
69
76
342
12.4K
Mr. Magnifico retuiteado
Twaha Mwaipaya
Twaha Mwaipaya@Twaha_Mwaipaya·
Tulieni Tanzania MAFUTA bei ipo chini huko Europ mafuta ni Euro 6000 marekani Dollar elfu 8, humu hamna MTU.
Indonesia
140
115
715
24.1K
Mr. Magnifico retuiteado
Maria Sarungi Tsehai
Maria Sarungi Tsehai@MariaSTsehai·
🙄🙄Seriously! Samia Suluhu said that fuel is sold at 6,000 (six thousand) Euros per liter in Europe‼️ Like waaat? It would be funny were it not tragic - illegitimate head of state has walked through heaps of body to cling to power and is this CLUELESS! Jamani tulie tusicheke! Huu ni ukilaza usio na kifani! Kweli? Ndo maana tumesema #SamiaMustGo
English
111
138
535
20.9K
Mr. Magnifico retuiteado
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
Huwa najua Idd Amin Mama ni kilaza ila sikujua kama ni kilaza wa Kiwango hiki. Anasema Europe bei ya mafuta ni Euro elfu sita (6000) kwa lita moja, kwa hela ya bongo ni milioni 16-17 Kaenda mbali zaidi anasema Marekani bei ya mafuta ni dola elfu nane (8000) ambayo bongo ni sawa na milioni 20. Ukweli ni kwamba bei ya Mafuta kwa Europe ni Euro 3.57 Wakati huo Marekani wao huwa hawanunui mafuta kwa lita bali wananunua kwa Gallon na Gallon moja ni Dola 3.80 Mwisho ukiwa kilaza hakikisha wasaidizi wako wanakuwa na akili hii itakusaidia kukwepa aibu ndogo ndogo kama hizi.
Indonesia
120
102
501
20.4K
Mr. Magnifico retuiteado
SATIVA
SATIVA@Sativa255·
Picha linaanza HOTUBA ishafutwa huko unaambiwa mgeni hataki soda anataka mia sita yake. 🤣 Nilipoona hiyo VIDEO ya madola na maeuro nikajua AI-ila nimeambiwa hiyo ni kweli na alikuwa live TBC 😅 Jitu punguani ni punguani tuu-hapo linajua elfu moja ya bongo ni sawa na elfu moja ya Marekani. Halijui elfu moja ya marekani ni MILIONI MBILI na laki 5 ya bongo. Zezeta halijui kitu mamae. Poleni watanzania.🤣
SATIVA tweet media
Filipino
59
112
949
34.1K
Mr. Magnifico retuiteado
SATIVA
SATIVA@Sativa255·
Hili limama lenu kichwani kuna FUNZA? Anasema Europe bei ya mafuta ni Euro elfu sita (6000) kwa lita moja, kwa hela ya bongo ni milioni 16-17 Kaenda mbali zaidi anasema Marekani bei ya mafuta ni dola elfu nane (8000) ambayo bongo ni sawa na milioni 20. Ukweli ni kwamba bei ya Mafuta kwa Europe ni Euro 3.57 Wakati huo Marekani wao huwa hawanunui mafuta kwa lita bali wananunua kwa Gallon na Gallon moja ni Dola 3.80 Elimu mbali mbali inaongea na hutashangaa wanapiga makofi na suti zao kama misukule. Nchi imeozeana inanuka kishenzi.
Indonesia
140
180
981
39K
Mr. Magnifico retuiteado
SATIVA
SATIVA@Sativa255·
Duniani MAFUTA yanashuka ila usishangae Tanzania yakabaki pale pale. Huku kwetu mafuta yamepanda BUKU nzima, ila utashangaa kushuka kwake yatashuka senti 20 afu kelele kibao za "Mama msikivu". Taifa limerogwa hili.
SATIVA tweet media
Indonesia
22
92
735
12.9K
Mr. Magnifico
Mr. Magnifico@FelicianROM·
@kaizen000000000 Why don't you keep quiet with what you believe ? Leave alone those who believe in God, and you dude continues to be an atheist. Over 📌
English
0
0
0
13
么 ꜱ ᴀ ᴍ ꪜ,
么 ꜱ ᴀ ᴍ ꪜ,@kaizen000000000·
We are technically born atheist by default until someone starts brainwashing us with stories
English
72
167
1.3K
13.6K