#NiYeye
47.8K posts

#NiYeye
@InnocentJLS
I ❤️ Jesus | Nimeketishwa pamoja na Kristo kwenye ulimwengu wa Roho🙏🏻





#TajiriLaKihaya Juzi tulikua kikao kimoja nyeti kuhusu hili swala na wakurugenzi kadhaa… Mafuta yakipanda italazimu na Nauli kuongezeka… Ila mafuta Pia yanaweza Shuka- maana ni temporary- vita vikisimam tu- mzigo unateremka! Ndio siku nlijua kuwa- NAULI IKIPANDA- haiwezi rudi chini tena - ni kuongezeka tu🙌🏽🙌🏽 Hapo ndio kuna kamzozo 🙌🏽🙌🏽 hadi makubaliano na wasafirishaji hapa😅 Bei ipande muda mfupi- hali ikiwa shwari irudi ilipokuwa…


Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) imewataka wasafirishaji kuepuka kupandisha nauli kiholela kufuatia ongezeko la bei za mafuta. Mkurugenzi Mkuu wa LATRA, Habibu Suluo amesema wamepanga kukutana na wadau wa usafirishaji Aprili 8, 2026 ili kujadili mustakabali wa nauli za usafiri wa umma na kufikia mwafaka utakaolinda maslahi ya pande zote.

TAZAMA KWENYE JEDWALI UNAFUU WA BEI YA MAFUTA TANZANIA NA NCHI NYINGINE Ukilinganisha bei ya mafuta ya Petrol na Dizeli kati ya Tanzania na nchi nyingine utaona Tanzania kuna nafuu kubwa.









Wewe ulikutana na Waziri, alikwambia "Kuna mafuta ya kutosha" Kwanini mafuta yapande kwa 1000/= wakati bado tunatumia mafuta yaliyopo kwenye reserve ya hadi Julai? Naombeni mnipe shule hapa,haya mafuta tunayotumia yameingia kwa meli kipindi hiki cha VITA au yalikuwepo kabla?














