Learning Everyday

214 posts

Learning Everyday

Learning Everyday

@AmazingContents

Trying to learn something new!😓

Inscrit le Şubat 2023
24 Abonnements3 Abonnés
Learning Everyday
Learning Everyday@AmazingContents·
@Ninja_Damour Ila wakazi hapo si kama anasimulia tu ila kaiweka kuwa ni rap na huyo fala anayeimba matusi ni nani?😂😂
Filipino
0
0
0
3
XNIPER | Trader📈
XNIPER | Trader📈@cr_xniper·
Kuna mtu aliniulza biashara ya forex umeanza lini rasmi Nilvyomjibu akabishia kuwa sio kwel nlichomjibu. Binafsi Nilianza rasmi biashara ya Forex mwaka 2022 na ndio ukwel ambao jamaa alibishia sjui kwann. Vipi wewe ulianza lini?
Indonesia
19
0
56
2.5K
Ibwe Salim Thekiete
Ibwe Salim Thekiete@SalimuIbwe·
Kwanini Stendi za Mabasi tunalipia huduma za Vyoo? 1. Ukienda Airport na Stesheni za SGR huduma za Vyoo ni Bure. 2. Ukienda Bar na Hotelini huduma za Vyoo ni Bure. Sisi ni wateja wao, hawapaswi kutuzuia huduma mbili kwa wakati mmoja.. Huduma ya choo ni sehemu ya sio biashara
Indonesia
54
60
631
33.4K
Learning Everyday
Learning Everyday@AmazingContents·
@Jesti33 Lab 5 NIT🙌, nimeenda mara kadhaa na zote nimefeli sijafanya hata interview amini uchawi upo!
Eesti
1
0
2
237
Ngin111x
Ngin111x@Jesti33·
Unaamka mapema kuwahi interview inafika mda wa kuingia wanataka suruali ya kitambaa😣💔
Ngin111x tweet media
Indonesia
12
4
54
5.4K
Learning Everyday
Learning Everyday@AmazingContents·
@assengajrr Ukiajiriwa na ukawa mwizi unaweza ila mshahara tu ni ngumu, labda kama una vyanzo vingine vya mapato
Indonesia
0
0
1
1.6K
Assenga Jr
Assenga Jr@assengajrr·
Ooh uwezi ajiriwa na ukawa Tajiri, mnawajua wafanyakazi wa TPA na TRA kweli?.
Indonesia
43
15
491
42.3K
Learning Everyday
Learning Everyday@AmazingContents·
@Adventure_36 Wana vichaa, mafuta yamepanda buku haifiki, halaf mtu anataka apandishe toka 1300 mpaka 3000? Yani 1700 nzima?
Indonesia
0
0
0
55
Adventure-360
Adventure-360@Adventure_36·
Mwenyekiti wa chama cha Wamiliki wa Daladala mkoani Dar es Salaam anasema hizi ndo nauli walizopendekeza wao kutokana na kupanda mwa mafuta. Nauli ya 600 iwe 850 Nauli ya 700 iwe 1300 Nauli 800 iwe 1700 Nauli ya 900 iwe 2100 Nauli ya 1100 iwe 2500 Nauli ya 1300 iwe 3000 Lakin
Indonesia
140
74
877
68.4K
WHYMYCATISSAD
WHYMYCATISSAD@INFLUENCERjr·
Si unaona @mfinanga_rm ??😆😆😆
Jamii Forums@JamiiForums

DAR: Katibu Mkuu wa Chama cha Wamiliki wa Mabasi Tanzania (#TABOA), Priscus John, ametoa kauli hiyo Aprili 10, 2026, baada ya kukutana na Waziri wa Uchukuzi, Makame Mbarawa, na viongozi wa chama hicho. Ikumbukwe April 8, 2026, Priscus alitoa taarifa kwa wananchi ambao hawajafanya 'booking' mpaka April 12 wasifanye, kwani hawawezi kuendelea kutoa huduma baada ya bei za mafuta kupanda mpaka pale serikali itakapokuja na suluhu, badala yake mabasi yangepelekwa kufanyiwa 'service'. Una maoni gani juu ya hili Mdau?✍️ Shiriki mjadala huu kupitia jamii.app/HatutagomaMade… #JamiiForums #Uwajibikaji #JFHuduma

Español
3
0
14
2.4K
TRUST ME BRO
TRUST ME BRO@Mwenyekit_i·
Kingine cha kumshukuru Mungu at least mwanamke wako hayuko tiktok akijitoa ufahamu.
Indonesia
17
45
246
7.8K