Utopolo mwakakundi

2.1K posts

Utopolo mwakakundi banner
Utopolo mwakakundi

Utopolo mwakakundi

@GeraldLMasatu1

Kagera Bergabung AฤŸustos 2021
106 Mengikuti21 Pengikut
FELIX JASON
FELIX JASON@Iamfelixtzยท
โ€œUkombozi wa Mpira wetu upo kote kote ndugu zangu, Hata hii ya kukomesha Tabia ya mtu kutoa tuhuma kwa Taasisi/Mtu bila ushahidi wa jambo husika ni jambo linaloweza kuulinda kabisa mpira wetu na mijadala ya kipuuzi. Msichambue Ukombozi mmoja tuโ€ ๐Ÿ–Š๏ธ Ally Kamwe
FELIX JASON tweet mediaFELIX JASON tweet media
Indonesia
10
4
202
12.8K
๐—ฅ๐—ฒ๐˜ƒ๐—ผ๐—ผ
Wakati tuanazindua Jezi zetu msimu huu tuliwaambia kitambaa chetu ni Grade 1 yaani kitambaa chetu cha Jezi na kitambaa cha Jezi cha Manchester United au Rela Madrid ni sawaa. Hiyo nguvu iliyotumika hapo kumvuta Aura inaweza kuchana mbao au kufua chuma lakini jezi yetu haichaniki wala kuvutika.
๐—ฅ๐—ฒ๐˜ƒ๐—ผ๐—ผ tweet media๐—ฅ๐—ฒ๐˜ƒ๐—ผ๐—ผ tweet media
เคนเคฟเคจเฅเคฆเฅ€
6
4
87
2.7K
FELIX JASON
FELIX JASON@Iamfelixtzยท
Wachambuzi wengi ni Deiwaka, hawana ajira, ofisini kwao wanaambiwa tumekupa platform nenda kajiongeze. Kuna wanajiongeza kienyeji enyeji, wakiitwa mahakamani hawana hata uwezo wa kulipia gharama za kesi, huruma inaanza kutumika. Niwakumbushe tu, hizi timu ni taasisiโ€ ๐ŸŽ™๏ธMassanza
FELIX JASON tweet mediaFELIX JASON tweet media
Indonesia
14
9
366
9K
Utopolo mwakakundi
Utopolo mwakakundi@GeraldLMasatu1ยท
@Iamfelixtz Kwa ujinga unaofanywa na tff Kupitia marefa wake litaendelea kuiumiza simba maana sidhani kama kuna shabiki wa simba atakubali huo uonevu asirushe ngumi
Filipino
0
0
2
883
FELIX JASON
FELIX JASON@Iamfelixtzยท
Faini baada ya kikao cha Kamati ya uendeshaji na usimamizi wa Ligi Kuu Tanzania (Aprili 18, 2026) ๐Ÿ”ด Simba Sc - Tshs 15m ๐Ÿ”ต Azam Fc - Tshs 5m โšช TRA UTD - Tshs 5m ๐Ÿ”ด Coastal Union - Tshs 5m ๐Ÿ”ต Singida BS - Tshs 5m ๐ŸŸข Mudathir Yahya - Tshs 1m
FELIX JASON tweet mediaFELIX JASON tweet media
Indonesia
13
7
500
19.4K
Tagato James ๎จ€
Tagato James ๎จ€@tagatojtagatoยท
โ€œNikiri tumepokea meseji na maoni ya mashabiki. Hili jambo halitapita hivi hivi, tume'identify' wachambuzi watatu, tume'file' kwenye mlengo wa kisheria. Oruma alisema alikuwa na taarifa nyingi na sisi (Yanga) tunataka hizo taarifa. Ni jambo ambalo limetukwaza sana,โ€ ๐Ÿ—ฃ๏ธAli Kamwe
Tagato James ๎จ€ tweet mediaTagato James ๎จ€ tweet media
Indonesia
10
5
269
14.5K
Utopolo mwakakundi
Utopolo mwakakundi@GeraldLMasatu1ยท
@Iamfelixtz Ni mpango wa tff na marefa wake kuhakikisha Simba inafungwa kila mechi ila Mungu hajapenda hilo litokee.
Filipino
1
0
0
146
FELIX JASON
FELIX JASON@Iamfelixtzยท
๐—–๐—Ÿ๐—˜๐—”๐—ก ๐—ฆ๐—›๐—˜๐—˜๐—ง๐—ฆ - ๐—ก๐—•๐—– ๐—ฃ๐—Ÿ ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ ๐Ÿฎ๐Ÿฌ๐Ÿฎ๐Ÿฑ-๐Ÿฎ๐Ÿฒ ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฑ D. Diarra - Yanga: 1๏ธโƒฃ0๏ธโƒฃ ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ A. Manula - Azam: 9๏ธโƒฃ ๐Ÿ‡ฌ๐Ÿ‡ฆ Amonome - TRA: 9๏ธโƒฃ ๐Ÿ‡ณ๐Ÿ‡ช D. Kassali - Simba: 8๏ธโƒฃ ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ E. Johola - Mashujaa: 6๏ธโƒฃ ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ Yona Amosi - Pamba: 6๏ธโƒฃ
FELIX JASON tweet mediaFELIX JASON tweet media
Indonesia
1
12
454
7.8K
Utopolo mwakakundi
Utopolo mwakakundi@GeraldLMasatu1ยท
@ElieMpanzu7 ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿฆ๐Ÿฆ๐Ÿฆโœ”๏ธ
QME
0
0
0
9
Tagato James ๎จ€
Tagato James ๎จ€@tagatojtagatoยท
FTโ€™ TRA 1-0 Pamba Pamba Jiji anapoteza mechi ya tatu (3) mfululizo ๐Ÿค” โŒYanga (3-0) โŒCoastal (2-0) CRDB Federation Cup โŒTRA (1-0) Tangu alivyopoteza mechi ya Yanga hajafanikiwa kufunga hata bao kwenye mechi zake tatu (3) mfululizo
Tagato James ๎จ€ tweet mediaTagato James ๎จ€ tweet media
Indonesia
4
1
95
2.5K
Utopolo mwakakundi
Utopolo mwakakundi@GeraldLMasatu1ยท
@RevocatusMagum1 Manara alishasema , wenye akili utopoloni ni wawili tu. Mzee Sande na Kikwete. Kwahiyo haishangazi
Filipino
0
0
0
102
๐—ฅ๐—ฒ๐˜ƒ๐—ผ๐—ผ
๐Ÿšจ๐ŸšจBREAKING: Leo uongozi wa Simba unatarajia kukaa kikao ili kuamua hatima ya Selemani Mwalimu. Mkataba wa mkopo wa Selemani na Simba unatamatika mwishoni mwa msimu huu na Simba hawataki kabisa kumpoteza nyota huyo wa miaka (20). Usiku wa kuamkia Jana Rais wa Yanga Eng,Heris,aliwasiliana moja kwa moja na Rais wa Wydad Casablanca ili kumpta Selemani kwa mkopo wa mwaka mmoja. Yanga wako Tayari kulipa $50,000 (Tsh 129,971,550) kwenda Wydad Kama ada ya mkopo huo,lakini pia wameahidi kumlipa Sele mshahara wa Tsh 20m kwa mwezi. Jambo liko serious Sele anahitajika kote kote. Ameandika Hans Raphael kule instagramโœ๏ธ
๐—ฅ๐—ฒ๐˜ƒ๐—ผ๐—ผ tweet media
Indonesia
9
4
59
2.4K
Utopolo mwakakundi
Utopolo mwakakundi@GeraldLMasatu1ยท
@RevocatusMagum1 Ukiona mtu anabisha kwa hilo apelekwe milembe akapimwe ubongo.Yawezekana akawa na tatizo la afya ya akili.
Indonesia
0
0
0
94
๐—ฅ๐—ฒ๐˜ƒ๐—ผ๐—ผ
Kwangu mimi, Nickson Kibabage ndiye beki bora wa kushoto mpka sasa ligi ilipofikia. Labda kama atatokea mwingine kwa mechi zilizosalia. Ila mpaka sasa sio shaka kuwa Kibabage ndiye beki bora wa kushoto kwa sasa.
๐—ฅ๐—ฒ๐˜ƒ๐—ผ๐—ผ tweet media
Filipino
14
3
101
1.6K
Utopolo mwakakundi
Utopolo mwakakundi@GeraldLMasatu1ยท
@BracuszCadabra Kocha Mexime? Huu ni mtihani wanajipa . Kule CAFCL wasipofunga magoli kama haya tutamnukuu Mstaafu JK kikwete kwamba mnanunua mechi mkienda CAF mnaishia raundi ya kwanza
Indonesia
2
0
2
177
BracuszCadabra
BracuszCadabra@BracuszCadabraยท
โœ๐ŸฝMbeya City walifananisha Ngoma wakashindwa kutofautisha kati ya shamba la mpunga na uwanja wa mpira Gap kubwa kati ya mlinzi na mlinzi pamoja na mawasiliano hafifu Kuswitch off nyakati hatarishi Kujaribu kubishana na Yanga SC kwenye intensity ya mchezo
BracuszCadabra tweet media
Indonesia
5
2
84
2.3K
Utopolo mwakakundi
Utopolo mwakakundi@GeraldLMasatu1ยท
@tagatojtagato Haya magoli wanayofunga yanga tunategemea wayafunge na kule CAFCL. Wasipoyafunga tutajua huku NBCPL wananunua mechi.
Indonesia
0
0
0
52
Tagato James ๎จ€
Tagato James ๎จ€@tagatojtagatoยท
HTโ€™ Yanga 5-0 Mbeya City Mpira ni mchezo unaotaka UKATILI, Muangalieni Hashim Mussa yani hana hata wa kumlaumu โ€ฆ kila goli linawekwa KIKATILI Mbeya City wamejaa kwenye MFUMO hakuna namna Sema iliyemrejesha yule MSUDANI Yanga ๐Ÿ˜‚๐Ÿ™Œ๐Ÿพ๐Ÿ”ฅ
Tagato James ๎จ€ tweet mediaTagato James ๎จ€ tweet media
Indonesia
2
0
49
1.7K
Tagato James ๎จ€
Tagato James ๎จ€@tagatojtagatoยท
๐ŸšจGUEYE-SIMBA, KUNA MTEGO MAHALA Libasse Gueye ni mchezaji hatari wa Simba na naomba nibaki peke yangu kwenye hili! Sometimes uzuri wa mchezaji unategemea sana majuku na nafasi yake; hapa macho kwa kocha Steve Barker Simba isiingie mtego, huyu ni mchezaji wa daraja la juu๐Ÿ“Œ
Tagato James ๎จ€ tweet mediaTagato James ๎จ€ tweet media
Indonesia
11
3
262
6.8K
BracuszCadabra
BracuszCadabra@BracuszCadabraยท
๐ŸŸฅBox to box Centre Back
BracuszCadabra tweet media
English
27
25
667
13.7K
Utopolo mwakakundi
Utopolo mwakakundi@GeraldLMasatu1ยท
@SportsarenatzTz Kuna timu inaenda kucheza ilishaandaliwa mazingira ya ushindi . Kuna nyingine inaenda kupambana uwanjani ili ipate matokeo . So haziwezi kulingana. Hata hivyo wanawajenga kufanya vizuri CAF . Mwakani tutashuhudia tena bingwa wa NBCPL anaishia makundi huku mshind wa 2 akifika nusu
Indonesia
0
0
0
14
SportsArenaTz
SportsArenaTz@SportsarenatzTzยท
Simba SC katika mechi 5 zilizopita: ๐Ÿค Pamba 1-1 Simba โœ… Simba 3-0 TRA United โœ… Simba 2-0 Coastal ๐Ÿค Azam 0-0 Simba ๐Ÿค TRA United 0-0 Simba Mnyama tia maji tia maji ๐Ÿ˜ฌ
SportsArenaTz tweet mediaSportsArenaTz tweet media
Indonesia
4
6
170
4K
BracuszCadabra
BracuszCadabra@BracuszCadabraยท
๐ŸšจJUST IN:Akiwa tayari amekubaliana Kila kitu na Young Africans SC kiungo mshambuliaji Ramadhani Salum Chobwedo amesaini pre contract na Simba SC Leo
BracuszCadabra tweet media
Indonesia
56
10
478
30K
Utopolo mwakakundi
Utopolo mwakakundi@GeraldLMasatu1ยท
@SimbaSCTanzania Kila mechi kubwa zinazoihusu Simba anapewa Arajiga ili kuinyonga Simba , viongozi mpo tu kama matukunyenye hamtowi matamko yoyote juu huyo refa. Wangekuwa ule upande mwingine wasingekubali huo ujinga . Badilikeni
Indonesia
0
0
1
133
Utopolo mwakakundi
Utopolo mwakakundi@GeraldLMasatu1ยท
@ahmedarajiga Pumbavu Sana wewe refa. Unatumwa na yanga kuikandamiza simba. Shenzi Sana usichezeshe tena mechi za simba
Filipino
0
0
0
14
AHMED ARAJIGA
AHMED ARAJIGA@ahmedarajigaยท
Thanks to the Lord โšฝ๏ธโšฝ๏ธโšฝ๏ธ
English
2
0
3
73
SportsArenaTz
SportsArenaTz@SportsarenatzTzยท
๐Ÿšจ OFFICIAL: Kikosi cha SIMBA kinachoanza dhidi ya Coastal Union ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฑ Kassali ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ Kapombe ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ Kibabage ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฎ Toure ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฆ Rushine ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ Kagoma ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฑ Kante ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฒ Chama ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฆ Maema ๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ณ Gueye ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ Mwalimu ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฎ Oura
SportsArenaTz tweet media
Filipino
12
10
99
1.9K