고정된 트윗
Mr. Magnifico
27.2K posts

Mr. Magnifico
@FelicianROM
MNMA ALUMNI 🧑🎓 (2021) Still hunting for big bags💰. A @ManUtd fan
Dar es Salaam, Tanzania 가입일 Mayıs 2021
1.6K 팔로잉2.5K 팔로워
Mr. Magnifico 리트윗함
Mr. Magnifico 리트윗함
Mr. Magnifico 리트윗함
Mr. Magnifico 리트윗함

Usiishie hapo…
Pia ongezea CURRENCY DISPARITY.
Kuwa 1$ ni sawa na Tsh 2500 (at least)
na kima cha chini cha mshahara cha Wastani ni $8 kwa saa, ambayo kwa siku ya masaa 8 ya kazi ni $64 (Tsh 160k)
Soo mtu wa chini kabisa analipwa kwa siku hela ya kutosha kunanunua litre hata 42 za wese.
Mshahara wa Daktari ni 900k kwa mwezi. So kwa siku ni 30k, so anaweza nunua litre 8 tu (na huyo ni Daktari)
Tanzania sidhani kama kuna watu zaidi ya million 5 wanaolipwa at least 900k .
NDIO TATIZO LA VIONGOZI HARAMU
#NIPENI_MAUA_YANGU💐@Roma_Mkatoliki
Gallon 1 🇺🇸 = 3.79 Liters So 1Liter = 0.26 Gallons. Kama Gallons 6🇺🇸 =22.7 Liters = 30$=Tsh.77,500/= Then Gallon 1 🇺🇸 = 3.79 Liters =5$ = Tsh. 12,900/= Gallon 0.26 = 1.3$ = 1Liter = Tsh. 3,360/= Hence 🇹🇿 Wese lita 1 = 3800 🇺🇸 Wese Lita 1 = 3,360 HII DOLA 800 Imetoka wapi?🤔 800$ Lita 1?😌😳 Ujue 800$ = Milioni 2 Na Elfu 70
Filipino
Mr. Magnifico 리트윗함
Mr. Magnifico 리트윗함
Mr. Magnifico 리트윗함
Mr. Magnifico 리트윗함
Mr. Magnifico 리트윗함

Tulikubaliana hakuna kujieleza sana @MsigwaGerson
Sasa mnapiga sarakasi na taulo, mnamwaga radhi 🤣
Hakusema Kimama chenu Euro 6,000 kwa tani! Alisema kwa lita 🤣
Eniwei #TutaelewanaTu

Filipino

#UfafanuziMuhimu
//
Leo tarehe 08 Aprili, 2026, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan wakati akiwaapisha viongozi aliowateua hivi karibuni amezungumzia changamoto ya kupanda kwa bei za mafuta Duniani.
Kutokana na baadhi ya watu kuhitaji ufafanuzi wa kauli hiyo, Mheshimiwa Rais alimaanisha ifuatavyo;
1. Bei za mafuta ya dizeli katika soko la dunia zimeongezeka kwa dola za Marekani 800 kwa tani ambapo zimetoka dola 650 ya mwezi Februari 2026 hadi kufikia dola 1,450 mwezi Machi 2026.
2. Bei za mafuta ya petroli katika soko la dunia zimeongezeka kwa dola za Marekani 434 kwa tani ambapo zimetoka dola 618 ya mwezi Februari 2026 hadi kufikia dola 1,052 mwezi Machi 2026.
3. Bei za mafuta ya taa na mafuta ya ndege katika soko la dunia zimeongezeka kwa dola za Marekani 821 kwa tani ambapo zimetoka dola 679 ya mwezi Februari 2026 hadi kufikia dola 1,500 mwezi Machi 2026.
Pamoja na kuwepo kwa athari za kupanda kwa bei za mafuta kwa watumiani Duniani kote, bado viwango vya bei za mafuta vya Tanzania ni vidogo ikilinganishwa na nchi zingine.
Kupanda kwa bei za mafuta kumesababishwa na athari za vita inayoendelea kati ya Irani dhidi ya Israel na Marekani iliyosababisha kufungwa kwa lango la Hormus ambalo hupitisha mafuta mengi yanayotumiwa Duniani ikiwemo Tanzania na nchi zingine za Afrika.

Indonesia
Mr. Magnifico 리트윗함
Mr. Magnifico 리트윗함

@BrendaRupia @HecheJohn @ccm_tanzania Acheni upotoshaji. Kilichosemwa ni 600 kwa 800. Tumia AI vizuri
HT
Mr. Magnifico 리트윗함

Mwenezi wa @ccm_tanzania yuko wapi?Jana alituambia hatujui kufanya uchambuzi wa uchumi turudi shule.Leo tunaambiwa Europe wananunua mafuta kwa EURO 400 na marekani $600.Na hii ni kwa lita moja sio?
Indonesia
Mr. Magnifico 리트윗함
Mr. Magnifico 리트윗함

🙄🙄Seriously! Samia Suluhu said that fuel is sold at 6,000 (six thousand) Euros per liter in Europe‼️
Like waaat?
It would be funny were it not tragic - illegitimate head of state has walked through heaps of body to cling to power and is this CLUELESS!
Jamani tulie tusicheke! Huu ni ukilaza usio na kifani!
Kweli?
Ndo maana tumesema #SamiaMustGo
English
Mr. Magnifico 리트윗함

Huwa najua Idd Amin Mama ni kilaza ila sikujua kama ni kilaza wa Kiwango hiki.
Anasema Europe bei ya mafuta ni Euro elfu sita (6000) kwa lita moja, kwa hela ya bongo ni milioni 16-17
Kaenda mbali zaidi anasema Marekani bei ya mafuta ni dola elfu nane (8000) ambayo bongo ni sawa na milioni 20.
Ukweli ni kwamba bei ya Mafuta kwa Europe ni Euro 3.57
Wakati huo Marekani wao huwa hawanunui mafuta kwa lita bali wananunua kwa Gallon na Gallon moja ni Dola 3.80
Mwisho ukiwa kilaza hakikisha wasaidizi wako wanakuwa na akili hii itakusaidia kukwepa aibu ndogo ndogo kama hizi.
Indonesia










