STAMICO TANZANIA
33 posts

STAMICO TANZANIA
@STAMICOTZ
STAMICO is state owned enterprise which was established in 1972, with the aim of increasing the contribution of the mineral sector to the national economy.
Dar es Salaam, Tanzania 가입일 Temmuz 2017
4 팔로잉527 팔로워

Mkurugenzi Mtendaji wa STAMICO Kanali Mha. Sylvester Ghuliku akimkaribisha Waziri wa Madini Mhe. @AngellahKairuki mara baada ya kuwasili katika Mgodi wa Makaa ya Mawe huko Kabulo.

Indonesia

Waziri wa Madini Mheshimiwa @AngellahKairuki na Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini Prof. Simon Msanjila wakisaini kitabu cha wageni mara baada ya kuwasili ofisi za Shirika la Madini la Taifa (@STAMICOTZ) zilizopo Upanga, Dar es Salaam kwa ziara ya kikazi.


Indonesia

Waziri wa Madini Mhe. @AngellahKairuki na Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini Prof. Simon Msanjila wakipokelewa na Mkurugenzi Mtendaji wa STAMICO Kanali Mha. Sylvester Ghuliku walipotembelea Shirika na kufanya majadiliano ya pamoja na Watumishi ili kuboresha ustawi wa Shirika hilo.



Indonesia

Mhe. Waziri wa Madini @AngellahKairuki akimkabidhi mwakilishi wa STAMICO Bw. Mark Magessa cheti cha ushiriki katika maonesho ya Madini yaliyofanyika katika viwanja vya Bunge Jijini Dodoma Tar. 30Mei - 1June 2018 wakati wa vikao vya Bunge la Bajeti.




Indonesia

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai akipata taarifa mbalimbali za miradi ya Shirika alipotembelea banda la STAMICO wakati wa maonyesho ya madini katika katika viwanja vya Bunge, Dodoma. Kushoto kwa Mhe. Spika ni Wazir wa Madini Mhe. @AngellahKairuki

Indonesia

Wazir wa Madini Mhe. @AngellahKairuki akiwa na Manaibu wake Mhe. Dotto Biteko na Mhe. Stanslaus Nyongo wakiwa kwenye banda la STAMICO wakati wa maonesho ya Madini yaliyofanyika Bungeni Dodoma hivi karibuni wakati vikao vya bajeti vikiendelea.


Indonesia

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa STAMICO Kanali Mha. Sylvester Ghuliku akitoa taarifa ya uendeshaji wa miradi mbalimbali ya Shirika wakati wa kikao cha pamoja na Waziri wa Madini Mhe. @AngellahKairuki , Naibu Waziri Mhe. Dotto Biteko na Katibu Mkuu wa Wizara Prof. Simon Msanjila.

Indonesia

Waziri wa Madini Mheshimiwa @AngellahKairuki akitoa maelekezo ya namna nzuri ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya Shirika wakati alipofanya ziara ya kikazi STAMICO hivi karibuni.


Indonesia


































