๐‰๐ซ ๏ฃฟ

19.6K posts

๐‰๐ซ ๏ฃฟ banner
๐‰๐ซ ๏ฃฟ

๐‰๐ซ ๏ฃฟ

@imaaJr01

Influencer

๊ฐ€์ž…์ผ Mayฤฑs 2024
1.3K ํŒ”๋กœ์ž‰4.1K ํŒ”๋กœ์›Œ
๐‰๐ซ ๏ฃฟ ๋ฆฌํŠธ์œ—ํ•จ
Manchester United
Manchester United@ManUtd_IDยท
๐—ฆ ๐—ข ๐—Ÿ ๐—œ ๐—— ๐Ÿ’ช
Manchester United tweet mediaManchester United tweet mediaManchester United tweet media
English
799
6.9K
63.7K
1.3M
๐‰๐ซ ๏ฃฟ ๋ฆฌํŠธ์œ—ํ•จ
cousin 420
cousin 420@420Cousinยท
Fundi wa siasa na mjuzi wa jiko kutoka Kizimkazi leo amekutana na mafundi wa jikoni Baba Lishe na Mama Lishe wa Jiji la Dar es Salaam. Angalia furaha usoni mwao, angalia vibe lao. Chakula chema hakiharakishwi.
cousin 420 tweet mediacousin 420 tweet mediacousin 420 tweet mediacousin 420 tweet media
Indonesia
5
23
26
412
๐‰๐ซ ๏ฃฟ ๋ฆฌํŠธ์œ—ํ•จ
HER
HER@heroinelincolnยท
Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ni Alama ya uvumilivu, busara na uongozi madhubuti. Mwanamke shupavu anayeongoza kwa hekima, akilea taifa kwa upendo, uthabiti na maono mapana. Mfano wa kuigwa kwa kizazi cha sasa na kijacho
0
7
9
46
๐‰๐ซ ๏ฃฟ ๋ฆฌํŠธ์œ—ํ•จ
One Sister
One Sister@Rahma_Simbaยท
Rais Samia Ni Alama ya Uvumilivu, Busara na Uongozi Madhubuti.
0
10
11
59
๐‰๐ซ ๏ฃฟ ๋ฆฌํŠธ์œ—ํ•จ
๐ƒ๐ซ.๐™๐š๐œ๐คโ„ข๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
Nyinyi (Mama na Baba Lishe) ni kundi muhimu katika nchi, mnalisha wafanyakazi, wanafunzi, wasafiri na wananchi kwa ujumla, na kwa kufanya hivyo mnawezesha kutekelezeka vyema kwa shughuli nyingine za kiuchumi na huduma za kila siku, kwa kuwa chakula ni afya" Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
๐ƒ๐ซ.๐™๐š๐œ๐คโ„ข๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ tweet media๐ƒ๐ซ.๐™๐š๐œ๐คโ„ข๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ tweet media๐ƒ๐ซ.๐™๐š๐œ๐คโ„ข๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ tweet media๐ƒ๐ซ.๐™๐š๐œ๐คโ„ข๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ tweet media
Indonesia
1
16
18
156
๐‰๐ซ ๏ฃฟ ๋ฆฌํŠธ์œ—ํ•จ
HER
HER@heroinelincolnยท
Serikali chini ya uongozi wa Raia Dkt. Samia Suluhu Hassan inaendelea kuweka mkazo katika kuwajengea vijana uwezo wa kidijitali ili kuendana na mabadiliko ya dunia ya sasa.
Indonesia
1
6
6
39
๐‰๐ซ ๏ฃฟ ๋ฆฌํŠธ์œ—ํ•จ
HER
HER@heroinelincolnยท
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa amevaa sare za Umoja wa Mama na Baba Lishe Tanzania (UMALITA) mara baada ya kukabidhi mitungi ya gesi na majiko yanayotumia nishati safi ya kupikia katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius
HER tweet mediaHER tweet mediaHER tweet mediaHER tweet media
Indonesia
1
6
6
53
๐‰๐ซ ๏ฃฟ ๋ฆฌํŠธ์œ—ํ•จ
One Sister
One Sister@Rahma_Simbaยท
UMALITA Watapata Mafunzo ya Teknolojia Serikali ya Dkt. Samia Suluhu Hassan inaendelea kuwekeza katika kuendeleza ujuzi wa vijana katika sekta ya teknolojia. UMALITA watapata mafunzo ya kisasa yatakayowawezesha kujifunza ujuzi muhimu wa kidijitali.
Indonesia
1
12
9
69
๐‰๐ซ ๏ฃฟ ๋ฆฌํŠธ์œ—ํ•จ
Godfather fan
Godfather fan@Godfxer_fanยท
RAIS SAMIA AWAPA MITUNGI YA GESI MAMALISHE NA BABALISHE Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan awapatia mitungi ya gesi Mama Lishe na Baba Lishe hatua ya kupunguza gharama, kulinda mazingira na kuboresha afya zao. Hakika watanzania tuna kila sababu ya kumshukuru na kujivunia kuwa na Rais mwenye kujali na kuthamini.
Indonesia
0
11
9
90
๐‰๐ซ ๏ฃฟ ๋ฆฌํŠธ์œ—ํ•จ
cousin 420
cousin 420@420Cousinยท
Starehe ya muda mfupi inaweza kukuacha na hasara ya maisha hali kadhalika, hasira ya dakika chache inaweza kukuachia kilema cha kudumu. #ChoraMstariUsivukeUsipowezaKuruka
Indonesia
0
14
12
159
๐‰๐ซ ๏ฃฟ ๋ฆฌํŠธ์œ—ํ•จ
Msemaji Mkuu wa Serikali
Msemaji Mkuu wa Serikali@TZMsemajiMkuuยท
Tume Huru ya Kufanya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjiifu wa Amani Yaliyotokea Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025, itawasilisha taarifa yake kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Aprili 23, 2026.
Indonesia
2
6
6
520
๐‰๐ซ ๏ฃฟ ๋ฆฌํŠธ์œ—ํ•จ
Man Mupaya
Man Mupaya@ManMupayaยท
Mhe. Rais Samia ni alama ya uvumilivu, busara na uongozi madhubuti. ๐Ÿ“Mama Lishe
Indonesia
0
6
7
67
๐‰๐ซ ๏ฃฟ ๋ฆฌํŠธ์œ—ํ•จ
Stori za Pombe ๐Ÿ‘ฝ
Stori za Pombe ๐Ÿ‘ฝ@storizapombeยท
Ni kweli kabisa nakubaliana na na Kuunga mkono kauli ya Jumuiya ya Mama na Baba Lishe kuwa Mhe Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ndio alama ya uvumilivu, busara na uongozi madhubuti wa kisasa ambao unaweka mbele maslahi ya watanzania wote!
Indonesia
0
20
19
117
๐‰๐ซ ๏ฃฟ ๋ฆฌํŠธ์œ—ํ•จ
Stori za Pombe ๐Ÿ‘ฝ
Stori za Pombe ๐Ÿ‘ฝ@storizapombeยท
Rais Samia Suluhu Hassan amesisitiza umuhimu wa kuendeleza mikakati ya urasimishaji na uwezeshaji wa biashara ndogondogo, hususan Mama na Baba Lishe, kama sehemu muhimu ya kufikia malengo ya Dira ya 2050.
Stori za Pombe ๐Ÿ‘ฝ tweet mediaStori za Pombe ๐Ÿ‘ฝ tweet mediaStori za Pombe ๐Ÿ‘ฝ tweet mediaStori za Pombe ๐Ÿ‘ฝ tweet media
Indonesia
1
17
17
69
๐‰๐ซ ๏ฃฟ ๋ฆฌํŠธ์œ—ํ•จ
Stori za Pombe ๐Ÿ‘ฝ
Stori za Pombe ๐Ÿ‘ฝ@storizapombeยท
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa amevaa sare za Umoja wa Mama na Baba Lishe Tanzania (UMALITA) mara baada ya kukabidhi mitungi ya gesi na majiko yanayotumia nishati safi ya kupikia katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC), Jijini Dar es Salaam, tarehe 21 Aprili, 2026.
Stori za Pombe ๐Ÿ‘ฝ tweet mediaStori za Pombe ๐Ÿ‘ฝ tweet mediaStori za Pombe ๐Ÿ‘ฝ tweet mediaStori za Pombe ๐Ÿ‘ฝ tweet media
Indonesia
0
17
15
66
๐‰๐ซ ๏ฃฟ ๋ฆฌํŠธ์œ—ํ•จ
Stori za Pombe ๐Ÿ‘ฝ
Stori za Pombe ๐Ÿ‘ฝ@storizapombeยท
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Mama na Baba Lishe wanaoshiriki Kongamano la Kitaifa la Mama na Baba Lishe, katika viwanja vya Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC), Jijini Dar es Salaam, tarehe 21 Aprili, 2026
Stori za Pombe ๐Ÿ‘ฝ tweet mediaStori za Pombe ๐Ÿ‘ฝ tweet mediaStori za Pombe ๐Ÿ‘ฝ tweet mediaStori za Pombe ๐Ÿ‘ฝ tweet media
Indonesia
0
20
18
100
๐‰๐ซ ๏ฃฟ ๋ฆฌํŠธ์œ—ํ•จ
Stori za Pombe ๐Ÿ‘ฝ
Stori za Pombe ๐Ÿ‘ฝ@storizapombeยท
Kupitia kauli mbiu ya kongamano la Mama na Baba Lishe mwaka huu isemayo "Shiriki kulinda amani na mshikamano wa Taifa" Mhe Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan amesisitiza kuwa amani ni hazina ya shuguli zote za kijamii, Amani ndio msingi wa maendeleo Taifa
Indonesia
1
22
19
110
๐‰๐ซ ๏ฃฟ ๋ฆฌํŠธ์œ—ํ•จ
Godfather fan
Godfather fan@Godfxer_fanยท
Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ni alama ya uvumilivu busara na uongozi madhubuti.
Indonesia
0
13
16
99
๐‰๐ซ ๏ฃฟ ๋ฆฌํŠธ์œ—ํ•จ
SSH 2530
SSH 2530@cutysuzanaยท
Nukuu za Rais Samia kuhusu Mama Lishe na Baba Lishe zinaakisi dhamira ya kweli ya kujenga uchumi jumuishi unaomgusa kila mwananchi. ๐Ÿ“Œ Anathamini mchango wao katika ajira, lishe, na ustawi wa jamii akisisitiza kuwa maendeleo ya taifa huanzia kwa watu wake.
SSH 2530 tweet mediaSSH 2530 tweet mediaSSH 2530 tweet mediaSSH 2530 tweet media
Indonesia
1
15
11
78