@SkyNews@BarbaraGSerra This person here is encouraging people to kill police and burn petrol stations days before the protest is this a peaceful protest?
@BarbaraGSerra: "You may call it rescuing the day, but I go back to my question, was the government responsible for the shooting and killing of around 500 protesters?"
Ambassador Lazaro Nyalandu, senior advisor to Tanzanian president Samia Suluhu Hassa, responds to claims security forces killed hundreds of people following Tanzania's widely disputed election in 2025.
🌍 trib.al/zff6Z7W
Sekta binafsi ilipata hasara kubwa ya bilioni 89 (71.2%) ikilinganishwa na sekta ya umma bilioni 36 (28.8%). Wajasiriamali wadogo walipoteza bilioni 1.6 kwa mali zilizoibwa wakati wa ghasia. Hii inaonyesha athari kubwa kwa uchumi wa kawaida. #RipotiYaChande
Tume Ya Uchunguzi
Jaji Chande Othman alisisitiza kuwa uchunguzi ulidumu siku 153 na kuhusisha maeneo mengi. Watanzania walionesha hamu ya maridhiano licha ya maumivu. Yaliyotokea si taswira halisi ya Utanzania wetu bali ni somo la kujifunza. #RipotiYaChande
Tume Ya Uchunguzi
Matukio ya Oktoba 2025 yalisababisha vifo 518 na majeruhi 2,390. Majeraha ya kijamii na kisaikolojia yanahitaji kuponywa kwa pamoja. Rais Samia ametoa wito wa umoja na uwajibikaji. #RipotiYaChande
Tume Ya Uchunguzi
Tume imetoa mapendekezo ya kuimarisha amani na uwajibikaji. Rais ameahidi kutekeleza ili kuepuka kurudia matukio. "Tumegusa kaa la moto na tumejifunza" – hii ni dhamira mpya ya kujenga Taifa imara. #RipotiYaChande
Tume Ya Uchunguzi
#TaifaKwanza#KataaVurugu
Tume imebaini kwamba hakukuwa na makaburi ya halaiki kama ilivyoelezwa na Wanaharakati Uchwara na Kituo cha Televisheni cha CNN.
#TumeNaUkweli
#TaifaKwanza#KataaVurugu
Tume imeeleza idadi ya vifo ni 518 na zaidi ya alfu 10 kama ilivyosambazwa na Wanaharakati Uchwara na Wafadhili wao.
#TumeNaUkweli
#TaifaKwanza#KataaVurugu
Tume imeeleza kwamba kilichofanyika hayakuwa maandamano kwa kuwa yalikiuka Sheria za Kimataifa, Kikanda pamoja na Katiba na Sheria za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
#TumeNaUkweli
#TaifaKwanza#KataaVurugu
Tume imependekeza waliotuhumiwa au kutajwa wapewe haki ya kusikilizwa kwa kufanyika upelelezi wa kina ili hatua stahiki zichukuliwe. Wanaharakati uchwara wanataka watu wahukumiwe kabla ya kusikilizwa.
#TumeNaUkweli
#TaifaKwanza#KataaVurugu
Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ameahidi kuunda Tume ya Upelelezi ya matukio ya Oktoba 29. Tuwapuuze Wanaharakati Uchwara.
#TumeNaUkweli
#TaifaKwanza#KataaVurugu
Tume imependekeza Katiba Mpya ipatikane 2028 ili itumike kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2029 na Uchaguzi Mkuu 2030. Hongera sana Tume ya Jaji Mkuu Othman Chande.
#TumeNaUkweli
#TaifaKwanza#KataaVurugu
Tume itakutana tena na Wadau pamoja na Waandishi wa Habari kufafanua taarifa na uchunguzi wa Tume. Tuepuke upotoshaji wa Wanaharati Uchwara.
TumeNaUkweli
#TaifaKwanza#KataaVurugu
Taarifa ya Tume ya kuchunguza vurugu za Oktoba 28 imeweka msingi wa kutuongoza kama Taifa ili kupata suluhisho ya malalamiko katika nchi yetu. Tuwakatae Wanaharakati Uchwara na upotoshaji wao.
#TumeNaUkweli
Ushahidi unaonyesha vurugu zilikuwa zimepangwa, ziliratibiwa, zilifadhiliwa na zilitekelezwa na watu waliofuzu mafunzo maalum. Viongozi wakuu walikaa nyuma na kuwatumia vijana kama zana za mbele.
#UkweliOktoba29
Jaji Chande : Baadhi ya wanasiasa na wanaharakati walitumia changamoto za wananchi kuchocchea wananchi kushiriki ghasia za Oktoba 29 kwa kutumia Kauli Mbiu mbalimbali wakati na baada ya uchaguzi Mkuu, tume ilibaini kuwepo kwa vichochezo mahsusi kwa ajili ya kushiriki