Bm sanga

31.3K posts

Bm sanga banner
Bm sanga

Bm sanga

@Barakam01

Any

Katılım Eylül 2021
1.7K Takip Edilen630 Takipçiler
Bm sanga retweetledi
CHURA MYUNANI MKALI PAPPARAZI
Sio fair lakin mbona kujuana kwa wengine tu
Maulid Kitenge@mshambuliaji

Licha ya kuongoza kura za Maoni katika Mchakato wa Uchaguzi wa Ubunge, Jimbo la Isimani (Mkoa wa Iringa), Kamati Kuu ya CCM, imemuweka kando Mfanyabiashara Fred Ngajiro maarufu kama @fred_vunjabei na kumteua Emmanuela Kaganda Mtafikolo kuwa Mgombea Ubunge wa Jimbo la Isimani Mkoani Iringa. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa Katibu Wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) Itikadi, Uenezi na Mafunzo Kenani Laban Kihongosi, imesema kuwa kwa kuzingatia mamlaka iliyopewa chini ya Ibara ya 105 (7)(f) ya Katiba ya CCM ya Mwaka 1977 Toleo la Julai 2025, Kamati Kuu imefanya uteuzi wa mgombea waCCM kwa ajili ya Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Isimani, lililopo wilaya ya Iringa Vijijini ambapo Mgombea aliyeteuliwa ni Emmanuela Kaganda MTAFIKOLO. #KitengeUpdates

Indonesia
1
1
6
484
Bm sanga retweetledi
Ngatta Boe
Ngatta Boe@Ngattaboe99·
Vile shemeji anakuangalia dada yako akiwa period na unaishi kwake..
Ngatta Boe tweet media
Filipino
116
101
605
20.8K
Bm sanga retweetledi
Narrowbeefly
Narrowbeefly@Narrowbeeflying·
..✍️ Jamaa angu mmoja ni mtata mtata sana, alioa Single maza mwaka juzi, akamfungulia duka, sasa akawa anashangaa mbona kila akijaza mzigo dukani haoni hela na duka linaendelea tu kuisha 😁 sasa juzi tu hapo akavizia simu ya mke wake usiku akiwa amelala akaikagua, kumbe mke wake anawasiliana na baby dady wake na huyo mwanamke tena ndio anaemuhonga huyo baba mtt wake 😁 na walishakutana mara kibao na jamaa akagundua kumbe hata mwanamke alivyokuwa ana ujauzito bado walikuwa wanakutana 💔 Jamaa alichofanya hakupanic usiku ule akalala walivyoamka asubuhi, akamuambia jiandae ukasuke vizuri kesho tunaenda kwenu kusalimia 😁 hakumuambia kama alikagua simu, akampa hela akaenda kusuka fresh kesho yake asubuhi wakapanda gari na watoto wawili mmoja wa mwanamke na mwingine ndio wa huyo jamaa, ni mkoa wa jirani tu hapa sio mbali, walivyofika wamekaa kidogo wanashangaa jamaa anaaga wakwe ikabidi waulize vipi mbona unaacha familia? 😁 jamaa ndio akaanza kuwaelezea pale A-Z akachukuwa na simu ya mwanamke akawaonyesha chatting zote kama unavyojua Smart huwa inaonyesha vizuri chatting, baada ya hapo akawaacha wamebaki mdomo wazi na akawaambia ntawaletea mabegi yake, Juzi kweli kapakia mabegi yake kwenye boda akapeleka 🙌
Indonesia
23
16
267
24.3K
Bm sanga retweetledi
🇪 🇸 🇮 🇷 🇹🇿🇲 🇹 🇿
#TajiriLaKihaya Muda huu Wanaharakati UCHWARA wanafuatilia DERBY YA KARIAKOO kwa AZAM MAX… Alafu mpira ukiisha watakuja na zile za… “Tulikubaliana Tusishabikie mpira wa nyumbani…” Humu ndani kuna michezo saana😂😅🙌🏽
Indonesia
43
28
293
10.6K
Bm sanga retweetledi
SANUKAnaCHAPO
SANUKAnaCHAPO@chapo255·
CCM ina wenyewe ilo ndilo watu hawataki kujua!
Maulid Kitenge@mshambuliaji

Licha ya kuongoza kura za Maoni katika Mchakato wa Uchaguzi wa Ubunge, Jimbo la Isimani (Mkoa wa Iringa), Kamati Kuu ya CCM, imemuweka kando Mfanyabiashara Fred Ngajiro maarufu kama @fred_vunjabei na kumteua Emmanuela Kaganda Mtafikolo kuwa Mgombea Ubunge wa Jimbo la Isimani Mkoani Iringa. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa Katibu Wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) Itikadi, Uenezi na Mafunzo Kenani Laban Kihongosi, imesema kuwa kwa kuzingatia mamlaka iliyopewa chini ya Ibara ya 105 (7)(f) ya Katiba ya CCM ya Mwaka 1977 Toleo la Julai 2025, Kamati Kuu imefanya uteuzi wa mgombea waCCM kwa ajili ya Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Isimani, lililopo wilaya ya Iringa Vijijini ambapo Mgombea aliyeteuliwa ni Emmanuela Kaganda MTAFIKOLO. #KitengeUpdates

Indonesia
11
4
88
7.6K
Bm sanga retweetledi
Swahili RealTalk🇹🇿🇦🇺
Hashimu Kambi *alizaliwa Tanzania*, lakini taarifa sahihi za mkoa au wilaya aliyozaliwa hazijawekwa wazi kwenye vyanzo vya habari. Kinachojulikana: - *Tarehe ya kuzaliwa*: 21 Oktoba 1956 - *Alifariki*: 27 Aprili 2026 Dar es Salaam - *Asili*: Mtanzania. Kabla ya uigizaji alikuwa mchezaji wa mpira klabu ya *Yanga* - *Makaazi*: Familia yake na mkwe wake wanaishi *Tabata, Dar es Salaam Alifahamika sana kama *“Mzee Kambi”* na alikuwa mmoja wa waigizaji wa Bongo Movie wa mwanzo kabisa. Huenda alizaliwa Dar es Salaam au alihamia mapema sana kwa sababu alichezea Yanga na kazi zake nyingi zilikuwa Dar. Lakini jina la mkoa/wilaya halikutajwa kwenye wasifu wake rasmi. FOLLOW @SwahiliRealTalk
Swahili RealTalk🇹🇿🇦🇺 tweet mediaSwahili RealTalk🇹🇿🇦🇺 tweet mediaSwahili RealTalk🇹🇿🇦🇺 tweet media
Indonesia
16
30
210
29.8K
Bm sanga retweetledi
Adventure-360
Adventure-360@Adventure_36·
Rich Mavoko anasema kwenye wimbo wa Jibebe ule wa WCB mule ndani aliandika mistari yake baada ya yeye kuanza sekeseke la kutolewa pale ile mistari yake akapewa mbosso akaimba kwenye jibebe. PB - East Africa Radio
Indonesia
5
14
259
9.1K
Bm sanga retweetledi
Latto 𝕏
Latto 𝕏@Rydx_017·
Ado Shaibu alipoanza kuongelea kubusu watu kutekwa... Akazimiwa mic. Video kwa Comments 👇
Latto 𝕏 tweet media
Filipino
10
9
181
14K
Bm sanga retweetledi
Adventure-360
Adventure-360@Adventure_36·
Rich Mavoko anasema wakati yuko WCB msanii pekee aliyekuwa anapiga nae story ni Harmonize, chanzo cha yeye kutolewa pale ni kitendo cha Rich Mavoko kuwasiliana na watu wa Clouds Fm. Konde alikuwa anapeleka habari za Rich kwa viongozi wa WCB kuwa Rich anawasiliana na Clouds.
Filipino
27
47
681
24.2K
Bm sanga retweetledi
Jebra Kambole
Jebra Kambole@Advocate_Jebra·
Ni mwalimu wangu, kumbe alikuwa Dean kabisa! Akiwa darasani alikuwa mwalimu mzuri ila sasa baada ya kutolewa jalalani yakaja ya muheshimiwa Mungu na maujinga mengine nikajisemea “Gudubai” mateso tunayapata sisi Munisamehe nilikuwa kijana mudogo 😂😂😂😂 @Sativa255 @TitoMagoti
Jebra Kambole tweet media
Indonesia
33
85
768
35.7K
Bm sanga retweetledi
#NiYeye
#NiYeye@InnocentJLS·
Wakili Madeleka anasema kuna bibi alitoa taarifa mbele ya Tume akiwa live, kwamba alipelekwa Mochwari akiwa hai, anasema taarifa hiyo haipo kwenye ripoti ya Tume.
Filipino
4
69
509
9.3K
Bm sanga retweetledi
Martin Maranja Masese
Martin Maranja Masese@IAMartin_·
Hawa watu imefika hatua siyo kwamba hawajiheshimu, lakini wamepoteza utu wa binadamu. Kwa hiyo GAZA, Palestine kuna mabango ya CCM? Gaza walifanya uchaguzi mkuu Oktoba 29, 2025? Gaza kuna vituo vya kupiga kura vimeandikwa INEC? Gaza ndiyo watu waliobeba silaha walivaa jezi za YANGA? Gaza ndiyo wale trafiki walikuwa na silaha? Gaza ndiyo zile mochwari zilizosheheni maiti zipo? Watu wa Gaza ni weusi watupu, hakuna hata Mwarabu mmoja? Kwa hiyo katika zile video clip uliwaona waarabu na IDF mkashindwa kuwatambua hadi ikabidi muite watalaam? Gaza wanazungumza kiswahili? Gaza maiti ao wanafunika na bendera ya Tanzania? Master Tindwa aliuwawa Gaza, Palestine? Au anazungumzia ukanda wa Gaza akimaanisha Kimara? Fikiria kidogo, mtu huyu alikuwa Jaji Mkuu kwa miaka nane. Profesa?
Indonesia
168
239
965
32.2K
Bm sanga retweetledi
Tinah Mamantilie~mantilie wa X🥰
Hv ni kwanini tunaamini Mungu aliwatokea mitume na manabii enzi hzo ambazo hatukuwepo, lakini inakuwa ngumu kuamini leo mtu unayemfaham akikwambia Alisema na Mungu ,ama Amemuona Mungu,ama ana neno la kutuambia Mungu amemfunulia aseme nasi.Hv ni kwanini hatuamini hawa tunao waona?
Indonesia
36
7
30
4.5K
Bm sanga retweetledi
IbRaH
IbRaH@Ibrah_Sheby·
Appreciation post kwa Brother @munyamambogo jamaa tulikutana kwenye koment tu nikamuombaga mchongo dm akanidirect kwa mtu “ukimpigia simu mwambie mimi mdogo ake Ally atakupokea” wakati huo mimi na Ally hatujawahi meet na ikawa hivyo na ikawa kheri👊🏿 Respect sana Sheikh Ally🫡
🇪 🇸 🇮 🇷 🇹🇿🇲 🇹 🇿@EsirEid

#TajiriLaKihaya Mtu akikuambia umtafutie kazi hajamaanisha umFORWADIE LINKS na Adverts… Anahitaji kitu kama; “Hello,Report on Monday you have been referred by so and so…” Or “Nenda kwenye ile Ofisi waambie nmekuagiza” Hizo links na Advets is not it💯

Filipino
5
9
57
3.4K
Bm sanga retweetledi
Hormuz™️
Hormuz™️@bajabiri·
Ujerumani kaka.... Inasemekana Bayern walikaa Airport kwa 10 hrs walipofika Paris
Hormuz™️ tweet media
IbRaH@Ibrah_Sheby

@bajabiri 😅😅😅 bayan ya wapi!?

Indonesia
0
1
5
137