Mwana-Ngorongoro

5.1K posts

Mwana-Ngorongoro

Mwana-Ngorongoro

@MNgorongoro

Kweli itatuweka huru

Katılım Şubat 2021
20.8K Takip Edilen30.1K Takipçiler
Mwana-Ngorongoro retweetledi
mwananchidr
mwananchidr@mwananchidr·
TUNAITAKA SERIKALI IMUACHIE TUNDU LISSU HARAKA - HECHE Amesema hayo kwenye kikao cha kamati kilichofanyika leo makao makuu ya Chadema.
Indonesia
1
52
191
2.7K
Mwana-Ngorongoro retweetledi
Hamenya Syanya🕯️🕊️⛎
Ooh chadema itakufa na hiki ni chama Gani? Chadema haitakufa hata siku moja Mungu yuko pamoja nasi hiki ndo chama cha watanzania🇹🇿 wote hakuna chama kingine zaidi ya hiki chama cha wapenda haki na maendeleo ya nchi yetu #UshindiTunaoSisi
Hamenya Syanya🕯️🕊️⛎ tweet media
Indonesia
0
7
35
373
Mwana-Ngorongoro retweetledi
Msigwa Mpenda.
Msigwa Mpenda.@MsigwaMpenda·
CHADEMA.......
Msigwa Mpenda. tweet media
English
4
8
64
441
Mwana-Ngorongoro retweetledi
Lucas Ngoto
Lucas Ngoto@lucas_ngoto·
Watu wana mapenzi na Chadema usipime
Lucas Ngoto tweet media
Eesti
6
64
546
5.3K
Mwana-Ngorongoro retweetledi
Michael Materu
Michael Materu@MateruMichael·
Zoezi la upandishaji bendera Jimbo la Moshi vijijin likiendelea Leo Kata ya Kibosho kati. Hakuna kulala 💪 #SisindioTunduLissu
Michael Materu tweet mediaMichael Materu tweet media
HT
1
31
222
2.3K
Mwana-Ngorongoro retweetledi
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
Mama Ana Komu, aliyetumiwa wa Idd Amin Mama kuishitaki CHADEMA mpaka ikazuiwa kufanya shughuli za kisiasa amefariki usiku wa kuamkia leo.
Hilda Newton tweet media
Indonesia
112
102
1K
29.1K
Mwana-Ngorongoro retweetledi
John Nguti Chadema
John Nguti Chadema@JohnNgutiCDM·
KONGAMANO LA WASOMI. Chadema Students Organization (CHASO) Tarehe 02/05/2026 wasomi wa vyuo vikuu na vya kati Mkoa wa Dar es Salaam na vyuo jirani watakutana ndani ya ukumbi wa Landmark Hotel, Muda ni saa 3 asubuhi, Mgeni rasmi ni Makamu Mwenyekiti wa Chadema bara Mhe. John Wegesa Heche.🔥
John Nguti Chadema tweet media
Indonesia
16
119
512
9K
Mwana-Ngorongoro retweetledi
Maria Sarungi Tsehai
Maria Sarungi Tsehai@MariaSTsehai·
CCM died on 29 October 2025 It doesn’t know it is dead! So it continues to haunt Tanzania and Tanzanians! And the world sees the shadow and thinks it exists in this realm As a political party it is dead! Who will in their right mind in a free and fair election ever vote for CCM? No one! Not even its current members CCM ilikufa rasmi Oktoba 29 , 2025 ila haitaki kukubali kuwa imekufa! Mtanielewa tu kama bado #TutaelewanaTu
Maria Sarungi Tsehai tweet media
English
8
78
285
7.2K
Mwana-Ngorongoro retweetledi
mwananchidr
mwananchidr@mwananchidr·
chadema yasepa na Kijiji,Sunami linalokuja ni hatari. #freelissu
Indonesia
9
50
336
9.1K
Mwana-Ngorongoro retweetledi
ROYAL TELEVISION
ROYAL TELEVISION@Royal_Tv_Tz·
Kuta za Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Rukwa zimeanza kutikisika kufuatia uamuzi wa kundi la wanachama wa chama hicho kujiengua na kujiunga rasmi na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). Wanachama hao wameamua kukabidhi kadi zao leo, Aprili 26, 2026, wakidai kutafuta mwelekeo mpya wa kisiasa wenye tija kwa wananchi wa mkoa huo. ​Tukio hilo limejiri katika Kata ya Kirando, Jimbo la Nkasi Kaskazini, ambapo Mwenyekiti wa BAWACHA Mkoa wa Rukwa na Mbunge Mstaafu wa jimbo hilo, Aida Khenani, amewapokea na kuwakabidhi kadi za uanachama. Mapokezi hayo yamefanyika wakati wa kikao maalumu cha Baraza la Wanawake la CHADEMA (BAWACHA) kilicholenga kupanga mikakati ya uimarishaji wa chama mkoani humo. ​Aida Khenani, akiwa ameambatana na Makamu Mwenyekiti wa BAWACHA Kanda ya Nyasa, Paulina Mwaitalako, amesema kuwa kuingia kwa wanachama hao ni ishara ya ukomavu wa kisiasa na uchovu wa wananchi dhidi ya mfumo wa sasa. ​“Leo tunawapokea ndugu zetu hawa walioamua kujiunga na jeshi la ukombozi. Hii ni thibitisho kuwa kule tunakokwenda ni kuzuri zaidi. Nkasi Kaskazini tunaanzia tulipoishia, na sasa jeshi letu limeimarika zaidi. Waambieni majirani tukutane mzigoni,” amesema Aida Khenani huku akipigiwa vigelegele na wanachama. ​Wanachama hao wapya wameeleza kuwa wameamua kuchukua hatua hiyo kutokana na kuvutiwa na misimamo ya CHADEMA katika kutetea rasilimali za nchi na haki za wananchi wanyonge. ​Viongozi wa BAWACHA mkoani Rukwa wamesisitiza kuwa kuongezeka kwa wanachama hao ni chachu ya kuendeleza harakati za kura na maendeleo, huku wakiahidi kuendelea kugusa maisha ya wananchi kuanzia ngazi ya msingi ili kuhakikisha chama kinashika hatamu katika maeneo mengi zaidi mkoani humo.
Indonesia
11
86
548
20.8K
Mwana-Ngorongoro retweetledi
sultan
sultan@chapanombombwi·
Ni genius, mwanaharakati nguli, mwanasiasa machachari, mwanasheria wa viwango vya kimataifa, kiongozi imara na shupavu. @TunduALissu ni best human in history, kwa Tanzania itachukua zaidi ya miaka elfu 10 kutokea mtu kama huyu. Ukweli mchungu!
sultan tweet media
Indonesia
14
24
94
1.2K
Mwana-Ngorongoro retweetledi
Chriss fundi CDM
Chriss fundi CDM@ChrissFundi·
Rukwa mmetisha sana hiki ni kikao cha ndani tu siyo mkutano wa hathara. CHADEMA ni dude kubwa sana aisee
Chriss fundi CDM tweet mediaChriss fundi CDM tweet mediaChriss fundi CDM tweet media
Filipino
0
11
83
1.2K
Mwana-Ngorongoro retweetledi
GlorySiah Rimoy
GlorySiah Rimoy@GlorySiahRimoy·
AIDA unafanya kazi kubwa na njema sana huko Mkoani Rukwa kwa ajili ya Chama chetu CHADEMA. Wapigania haki; hatuna deni na watu aina yako. Hongereni sana watu wa Rukwa!
Indonesia
1
51
287
3.5K
Mwana-Ngorongoro retweetledi
Maria Sarungi Tsehai
Maria Sarungi Tsehai@MariaSTsehai·
Nguchiro ni mnyama bingwa wa kuua nyoka Mwambie Girshon hiyo - sisi tunamaliza nyoka wote Tanganyika - ajipange 😁👊🏽 #TutaelewanaTu
Maria Sarungi Tsehai tweet media
Filipino
34
127
830
14.8K
Mwana-Ngorongoro retweetledi
Chadema Tanzania
Chadema Tanzania@ChademaTZ2·
Makamu Mwenyekiti Mhe. @HecheJohn akipokea taarifa ya maauji ya tarehe 29 Oktoba 2025 katika eneo la Msuguri, Jimbo la Kibamba.
Indonesia
6
100
470
7K
Mwana-Ngorongoro retweetledi
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
Hiki chama ni mpango wa MUNGU kwa watanzania. Vuta picha zama hizi za GIZA wao wameamua kusimama upande wa WANANCHI. Wamepitishwa nyakati ngumu kwa msimamo wao huo lakini bado wamesimamia imani yao. Ndiomaana watanzania hawaoni shida kutoa buku buku zao kukiendesha chama CHAO ambacho kimeamua kusimama upande wao. Na hiki ndio kinawatesa WAKOLONI WEUSI. HAKUNA hata mtu mmoja anaewasikiliza wakoloni weusi—ila CHADEMA inasikilizwa kwa wivu mkubwa sana. Kuichangia CHADEMA ni kufanya IBADA ya kweli—hiki chama kimeamua kukataa kuketi meza yenye DAMU za ndugu zetu kwa kile kinaitwa “Maridhiano”, hii ni heshima kubwa sana tumepewa watanzania. Kuichangia CHADEMA ni kufanya IBADA ya kweli—maana hiki chama kinapoteza viongozi wao na wanachama wao kila kukicha kwa KUTEKWA kwasababu ya msimamo yao ya kudai haki za watanzania. Tuendelee KUFANYA IBADA YA KWELI kwa kuichangia “CHADEMA NA TONE TONE” ukombozi unakuja. TUTAKUWEPO🫵🏾😎
SIR TIVA tweet media
Indonesia
10
95
554
7.2K
Mwana-Ngorongoro retweetledi
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
Jamaa anamkubali Mhe. @HecheJohn kiasi kwamba kashindwa kuzuia furaha yake mara baada ya kumuomba Mhe. Heche.
Filipino
11
123
1K
23.2K
Mwana-Ngorongoro retweetledi
Joseph Mbilinyi
Joseph Mbilinyi@TheRealJongwe·
Jana nilifurahi sana kuonana na Mzee wangu Richard Mabara, huyu Mzee ni Mzalendo sana. #Statesman
Joseph Mbilinyi tweet media
Filipino
53
208
2.4K
34.2K
Mwana-Ngorongoro retweetledi
#FreeNinja
#FreeNinja@_zolendronic·
AIDA KENANI Huyu mama baada ya 2020 chama kilimtenga hivi kidizaini baada ya kwenda kuapishwa wakati chama hakikutambua matokeo ya ule uchaguzi.. akatumikia kipindi chake low key sana, 2025 angeweza kwenda CCM na akashinda ila akaamua kubaki CDM.. Anapiga kazi tukufu sana💪
#FreeNinja tweet media
Indonesia
20
97
1K
23.4K