Aila

766 posts

Aila banner
Aila

Aila

@Ailavoice

Ailavoice is a singer and songwriter known for her soulful voice and her ability to blend different genres of music to create a unique sound

Tanzania Katılım Ocak 2014
287 Takip Edilen1.6K Takipçiler
Aila retweetledi
MASTA
MASTA@AyTanzania·
Nimekutana na hii kitu amefanya @Ailavoice … Watu wangu nauliza AMEPATIA au ARUDI STUDIO TENA??
Dar es Salaam, Tanzania 🇹🇿 Eesti
23
33
169
16.8K
Aila
Aila@Ailavoice·
@ProchTz @AyTanzania Fun Fact: Ilikuwa niruke kuimba hichi kipande bana! Ila nikasikiza tena na tena, nikasema AY hawezi kuwa alijisemeaga tu "pata mapoo" 😅 So I said AY is not an Idiot I have to understand what he was saying! Usitake kujua ile sekunde nilivojua alichokisema namna niliruka ruka!😅😅
Filipino
0
1
2
64
Aila
Aila@Ailavoice·
@ZAiiDyao Huezi amini, hata hii sayari tunayoishi bado kuna watu hawaishi humu. Wanatembea tu kama maroboti. Wanaishi mtandaoni
Indonesia
0
1
0
157
ZAiiD
ZAiiD@ZAiiDyao·
Mtandaoni ni sayari mpya ambayo sio hii tunayoishi
Indonesia
2
5
25
743
Clouds Media
Clouds Media@CloudsMediaLive·
"Wanasayansi wameshafanya utafiti madhara ya Dawa za kulevya leo uniambie bangi iruhusiwe kutumika siwezi kuruhusu sababu najua madhara yake. "Bangi ni mbaya inaharibu akili, inaleta Kansa ya Koo, ya mapafu inaharibu via vya uzazi" Jen. Gerald Kusaya.
Clouds Media tweet media
Indonesia
324
28
646
0
Aila
Aila@Ailavoice·
@IdrisSultan Wakuache bana, icho kichwa kinaonekana kabisa ni cha baunsa
Indonesia
0
0
0
0
Idris
Idris@IdrisSultan·
Natishiwa kudhalilishwa 🤣🤣🤣
Idris tweet media
Filipino
208
50
1.3K
0
Aila
Aila@Ailavoice·
Happy Valentine's Day GoodSouls ❤
English
0
1
2
0
Aila
Aila@Ailavoice·
@Roma_Mkatoliki Dar itabidi tupige mbizi tuende hapo comoro
Italiano
0
0
0
0
#NIPENI_MAUA_YANGU💐
#NIPENI_MAUA_YANGU💐@Roma_Mkatoliki·
Hatuombei Haya, Lakini Mfano Ikitokea Kikinuka Ni Mkoa Gani Kijiografia Una Options Nyingi Za Ku-Escape?Mfano Kwetu Tanga Kikinuka Na Wajuba Wakazuia Njia Ya Pangani,HoroHoro Na Muheza Tu Hatutoboi!! Dar Kikinuka WakaBlock Moro Road,Bagamoyo Rd Na Hii Ya Lindi Kwishnei Hatutoboi.
Filipino
391
94
2.5K
0
Aila
Aila@Ailavoice·
@fatma_karume Kuna chuki kubwa iliyotengenezwa kwa (kivuli cha Dini) wakati kiuhalisia Binadamu ni Binadamu tu kabla ya Dini. Wanaoamini Mungu, Mizimu, Ng'ombe pamoja na tofauti zao za Ki Imani wote ni BINADAMU Straight/ LGbTQ wote ni BINADAMU Na kama ni hivyo Basi, wote wana HAKI ZA BINADAMU
Indonesia
0
0
1
0
fatma karume aka Shangazi
fatma karume aka Shangazi@fatma_karume·
Ok. Let’s start the discussion. Hoja ni simple sana: 1. Mashoga wapo au hawapo? 2. Je kama wapo, wana HAKI Sawa na sisi au la? 3. Kama Katiba inasema KILA MTU ni sawa mbele ya SHERIA basi Mashoga na wao ni WATU au la? Hizo ndizo hoja za Kisheria.
Filipino
328
36
434
0
Cinephile
Cinephile@Obure1998·
@Ms_Dahir @SuluhuSamia Kwa serikali michezo ni kama nyongeza tu usije kushangaa one day ukaikuta kwenye utalii
Indonesia
2
0
2
0
Fatma Dahir.
Fatma Dahir.@Ms_Dahir·
Inasikitisha sana kuona wizara ambayo inasimamia mambo ya vijana imewekwa sehemu ambayo imesahaulika kabisa. Mh.Rais @SuluhuSamia napenda kupendekeza kuwa; wizara hii itizamwe upya, pia tunahitaji waziri aendane na kazi za wizara, waziri kijana atatufaa zaidi. Shukran. 🙏🏻
Indonesia
7
18
195
0
Aila
Aila@Ailavoice·
Kama unafikiri masikini ni wale hawana hela,chakula au mahali pa kulala, Fikiri tena.. Kuna watu ni masikini wa akili moyo na Roho
Indonesia
0
0
3
0