Dr Philbert

25.9K posts

Dr Philbert

Dr Philbert

@alphaLiquidsoap

Doctor in Dental Surgeon

Zanzibar North, Tanzania Katılım Kasım 2011
1.9K Takip Edilen902 Takipçiler
Dr Philbert retweetledi
Giovvani
Giovvani@giovvanimilan·
The Lorenzo sneaker in full blue.
English
0
121
2.1K
7.8M
Dr Philbert retweetledi
Ismail Jussa
Ismail Jussa@IsmailJussa·
Mmekuwa mkifanya maigizo na ubabaishaji tokea 1992. Kwa upande wa #Zanzibar mmekuwa mkipindua maamuzi ya wananchi tokea Uchaguzi wa mwanzo wa 1995. Mmeua na kuumiza wengi mradi tu mbaki madarakani. Sasa maigizo na ubabaishaji umefika mwisho. Nchi inahitaji mageuzi ya MFUMO WOTE!
Ismail Jussa tweet media
Indonesia
28
72
321
19.4K
Dr Philbert retweetledi
Zitto MwamiRuyagwa Kabwe
TAKATAKA
Wiseman@Bizydan

EX-JAJI WARIOBA NI SEHEMU YA MPANGO WA MAPINDUZI YA OCT 29. Mzee Joseph Warioba,Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ananikumbusha "story" ya Waziri Mkuu wa zamani wa Nchi ya Burundi,Mh. Generali Alain Bunyoni ambaye alishiriki kuunda na kutekeleza njama za kutaka kumpindua Rais wa sasa wa Nchi ya Burundi,Mh Evarist Ndayshimiye. Haya sio mambo mageni kwa viongozi wengi wa bara la Afrika,yalikuwepo na yataendelea kuwepo. Upo ushahidi wa wazi kabisa kuwa,Waziri Mkuu Mstaafu wa Tanzania Mzee JAJI mstaafu Sinde Warioba alikuwa sehemu ya waratibu wakuu wa mpango wa kuipindua Serikali ya Tanzania wa Oct 29. Kupatikana kwa taarifa hii sio tu kwamba kunastua anga la siasa la Tanzania lakini PIA kuhoji maswali magumu kuhusu nafasi ya Viongozi wakuu wastaafu katika ulinzi wa Amani na Usalama wa Taifa hili. Kwa kutambua hilo,☝🏽☝🏽Jaji Warioba ameungana na waratibu wengine wa Mapinduzi ya Oct 29 kuipinga(I)Tume ya Taifa ya Uchaguzi(II)Ripoti ya Tume ya Jaji Mkuu Mstaafu Mzee Chande na(III) kukataa pendekezo la kuundwa kwa tume ya KIJINAI kuwahoji wahusika wakuu wa mapinduzi yale. Jaji Warioba anafahamu kabisa kuwa ni lazima Tume hiyo itamwita na kumuhoji ushiriki wake kutokana na uwepo wa vikao vingi vya SIRI na Uongozi wa Juu wa Chadema Kabla ya Uchaguzi Mkuu akiwemo Mwenyekiti Tundu Lissu ambaye anashitakiwa kwa kesi ya UHAINI. Jaji Mstaafu Sinde Warioba kwa kutambua hilo☝🏽☝🏽ni kama kapigwa na "UBARIDI" na sasa kwa kushirikiana na Generali Ulimwengu ambaye mara kadhaa ameshiriki katika kamati mbalimbali za Chadema ikiwemo ile kamati iliyokutana na Mh Rais Mstaafu wa Malawi Lazarius Chakwera mwezi jana, ameanza kuratibu shutuma za Uongo dhidi ya👇🏽👇🏽 Ripoti ya Tume ya Jaji Chande,dhidi ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi na dhidi ya Mh Rais Samia Suluhu Hassan. Mpango huo maalum wa Chadema na "wadau" wao ulianza juzi baada ya Generali Ulimwengu kuandaa MAHOJIANO ya "mchongo" na Jaji Warioba wakitoa shutuma nzito ambazo kwa mtu mwenye hadhi ya Waziri Mkuu Mstaafu,mtu mwenye hadhi ya Jaji wa Mahakama Kuu na Wakili ni ngumu kuzitoa bila kuwa na ushahidi wa wazi. Mpango huu ☝🏽☝🏽wa Jaji Mstaafu Sinde Warioba na Mzee Generali ulimwengu unaenda sambamba na kuanza kwa mikutano ya hadhara ya Chadema Nchi nzima,pamoja na mradi wa kusambaza UONGO mitandaoni dhidi ya Mh Rais ambao nao umeanza sambamba na miradi hiyo mingine ya Chadema. Ni hatari kwa Jaji Mstaafu na Waziri Mkuu Mstaafu wa Nchi kuutangazia Umma kwamba Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi ilipiga kura yenyewe na badae kumtangaza mshindi.Kauli hii inaleta sintofahamu kubwa ndani ya Taifa. Mh Rais hapaswi kukatishwa tamaa kuelelea kuundwa kwa Tume ya kuchunguza JINAI ya Oct 29 na kwa ushauri nadhani Mh Rais anapaswa kuitangaza Tume hiyo haraka. Kila mtu lazima avune alichopanda. #MustakabaliWaAmani #TumeYaUchunguziReport Ukweli Wa Ripoti

Indonesia
16
8
151
19.4K
Dr Philbert retweetledi
Un Homme Ordinaire®
Un Homme Ordinaire®@OrdinaireHomme·
“”Know, O beloved, that man was not created in jest or at random, but marvelously made and for some great end. Although he is not form everlasting, yet he lives for ever; and though his body is mean and earthly, yet his spirit is lofty and divine..”” —Al-Ghazali— 📸 Web
Un Homme Ordinaire® tweet media
English
6
35
171
1.6K
Dr Philbert retweetledi
Veloria 🌊
Veloria 🌊@veloriahq·
“𝘛𝘩𝘦 𝘥𝘢𝘺 𝘢 𝘣𝘭𝘪𝘯𝘥 𝘮𝘢𝘯 𝘴𝘦𝘦𝘴, 𝘵𝘩𝘦 𝘧𝘪𝘳𝘴𝘵 𝘵𝘩𝘪𝘯𝘨 𝘩𝘦 𝘵𝘩𝘳𝘰𝘸𝘴 𝘢𝘸𝘢𝘺 𝘪𝘴 𝘵𝘩𝘦 𝘴𝘵𝘪𝘤𝘬 𝘵𝘩𝘢𝘵 𝘩𝘢𝘴 𝘩𝘦𝘭𝘱𝘦𝘥 𝘩𝘪𝘮 𝘢𝘭𝘭 𝘩𝘪𝘴 𝘭𝘪𝘧𝘦.”
Veloria 🌊 tweet media
English
7
88
474
14.2K
Dr Philbert retweetledi
Words of Wise | Mindset Coach
“Sometimes you have to stand alone Not to prove you’re right, But to prove you’re not afraid of being wrong.” — Marcus Aurelius
Words of Wise | Mindset Coach tweet media
English
28
383
1.9K
26.6K
Dr Philbert retweetledi
Words of Wise | Mindset Coach
“When you can't be controlled, you will be hated, and that's the power.” — Nikola Tesla
Words of Wise | Mindset Coach tweet media
English
178
4.2K
17.4K
284.8K
Dr Philbert retweetledi
Words of Wise | Mindset Coach
“If you see your friend with your enemy, be sure that both are your enemy. One openly, the other secretly.” — Niccolò Machiavelli
Words of Wise | Mindset Coach tweet media
English
96
2.2K
9.9K
184K
Dr Philbert retweetledi
🍂
🍂@Lovandfear·
“I want to talk about everything with at least one person the way I talk about things with myself.” — Fyodor Dostoevsky
🍂 tweet media
English
232
12.6K
54.9K
947.7K
Dr Philbert retweetledi
Lawrence Kitema
Lawrence Kitema@lawrencekitema·
Sometimes we forget that life is very short. We keep anger in our hearts and think about small fights again and again. But one day, everything will end. This anger, this ego—all will go away.
English
11
186
587
12.5K
Dr Philbert retweetledi
Words of Wise | Mindset Coach
Words of Wise | Mindset Coach@Wordofwise_·
“Never trust a person who betrays others. Even if he betrayed them for you.” — Niccolò Machiavelli
Words of Wise | Mindset Coach tweet media
English
58
2.2K
10.9K
147.6K
Dr Philbert retweetledi
Words of Wise | Mindset Coach
“The strongest weapon any human can possess is an unbreakable will.” — Che Guevara
Words of Wise | Mindset Coach tweet media
English
22
185
1.1K
20.2K
Dr Philbert retweetledi
Words of Wise | Mindset Coach
Words of Wise | Mindset Coach@Wordofwise_·
“People are like books. Some deceive you with their cover,others surprise you with their content.” — Oscar Wilde
Words of Wise | Mindset Coach tweet media
English
57
1.2K
4.7K
80K
Dr Philbert retweetledi
☆
@Literarium24·
"may you marry someone who remembers what hurts you and chooses not to repeat it."
☆ tweet media
English
42
7.9K
23.8K
381.9K
Dr Philbert retweetledi
Un Homme Ordinaire®
Un Homme Ordinaire®@OrdinaireHomme·
“”Try not to resist the changes that come your way. Instead let life live through you. And do not worry that your life is turning upside down. How do you know that the side you are used to is better than the one to come?.”” —Rumi— 📸 Web
Un Homme Ordinaire® tweet media
English
9
77
299
3.7K
Dr Philbert retweetledi
DorothNengai
DorothNengai@DorothNengai·
🔥 Zimebaki chache 📞:0673944227
DorothNengai tweet media
HT
4
28
48
1.9K
Dr Philbert retweetledi
Peché Africa 🇿🇦
Peché Africa 🇿🇦@pmcafrica·
This kinda physiotherapy makes no sense 🤔
English
29
18
105
18.2K
Dr Philbert retweetledi
NRM84
NRM84@Mappy6984·
This is for the fellas
English
863
1.7K
27K
23M
Dr Philbert retweetledi
Martin Maranja Masese
Martin Maranja Masese@IAMartin_·
Nimepata morali zaidi. ✊🏾 Mwenezi wa wahuni wa mbogamboga anapiga marufuku Watanzania wasituchangie, sisi tunaongeza kasi. Usiku huu nimebarikiwa chochote kitu na kuchangia Tsh 100,000 kuunga mkono harakati za ukombozi wa kweli. Ikiwa 'Tone Tone' inawanyima usingizi kiwango hicho, basi tujue tuko kwenye mstari sahihi. Ungana nami kuwezesha mabadiliko leo. Kama unaguswa na mustakabali wa nchi yetu, usisite kutoa ulichonacho. Uhuru wa Kifedha: Chama cha siasa kinachofadhiliwa moja kwa moja na wananchi wenyewe kinawajibika moja kwa moja kwa wananchi, si kwa wafadhili wakubwa au mifumo ya siri. CHADEMA ni mali ya Watanzania. Ujumbe wa Kisiasa: Kuchangia harakati za kisiasa ni kura halali ya maoni kabla ya sanduku la kura. Michango ya fedha na mali ya hiari inatuma ishara kwamba kuna watu wako tayari kugharamia kile wanachokiamini. Nguvu ya Umma: Dhana ya ‘Tone Tone’ inajenga bahari kubwa. Shilingi 1,000 kutoka kwa watu milioni moja ni nguvu kubwa kuliko bilioni moja kutoka kwa mtu mmoja. Tusiogope. Tuchangie wengi. Wameogopa. Kila tone linahesabika. Namba ya Kuchangia: 0744446969 (CHADEMA HQ).
Indonesia
31
263
1.1K
21.2K