the real Maduka

18.9K posts

the real Maduka banner
the real Maduka

the real Maduka

@madukaFamilly

betting tips daily & betting clasesFollow this link to join my WhatsApp group: https://t.co/kTcbL8eGdR

Morogoro msamvu, Tanzania Katılım Temmuz 2024
6K Takip Edilen1.4K Takipçiler
the real Maduka retweetledi
Tito Magoti
Tito Magoti@TitoMagoti·
"Mabadiliko lazima yaje. Tuyafanye katika utaratibu wa kawaida. Tusipofanya hivyo, wale wasioridhika wanaweza kutumia njia nyingine. Na njia nyingine hizo huwa zinaleta matatizo." Jaji Joe Sinde Warioba.
Tito Magoti tweet media
Indonesia
8
261
1.6K
23.5K
the real Maduka retweetledi
The mandevu
The mandevu@ze_mandevu·
Mitaa inaelewa, huyu Bro hata simjui alikuwa ameingia kwenye Daladala niliyopanda imebidi niombe nimpige picha binafsi nime feel respect sana kuona chata kubwa.🫡
The mandevu tweet media
Filipino
65
380
3K
40.9K
the real Maduka retweetledi
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸@mangekimambi·
Siku huyu mzee akifa inabidi msiba ufanyike mwezi mzima. Sidhani kama Tanzania ina Mzalendo zaidi ya huyu Mzee…. Mzee anaji risk maisha yake ili tu kuisaidia nchi, hana chochote anachopata zaidi ya kupoteza. Nikiangalia anachofanya huyu mzee nazidi kufarijika kuwa I did the right thing kuacha biashara yangu iliyokuwa inanipa pesa nyingi ili kuwapigania watu ambao wamenipa platform. Imagine kama Tanzania ingekuwa na wazee kama hawa hata 5 tu. Ila ndo hivyo Warioba yupo peke yake, wengine wote either dead or comprised.
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸 tweet mediaMange Kimambi 🇹🇿🇺🇸 tweet media
Indonesia
60
398
2.4K
57.8K
the real Maduka retweetledi
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
Gari za CHAMA zinapigwa service, soon ziara ya CHAMA inaanza!…💪
Filipino
9
131
1.1K
39.2K
the real Maduka retweetledi
Black Singapore 🤴🏿🐲
Black Singapore 🤴🏿🐲@BlackSingapore2·
Kama Rais wa nchi ameona hicho kiingilio hatokimudu je mimi kajamba nani nitawezea wapi😂
Black Singapore 🤴🏿🐲 tweet media
Indonesia
3
6
118
4K
the real Maduka retweetledi
mwananchidr
mwananchidr@mwananchidr·
Taifa linaelekea pabaya - DR NCHIMBI
Indonesia
2
24
110
3.8K
the real Maduka retweetledi
John Heche
John Heche@HecheJohn·
Kama kuna mtu amesahau huu ndio ulikua msimamo wetu kuhusu tume ya Chande wakati ilipoundwa. youtube.com/shorts/Hh7jfDp…
YouTube video
YouTube
Indonesia
9
143
553
11.7K
the real Maduka retweetledi
Francis Mhiche
Francis Mhiche@FrancisMhiche·
“Nitamhimidi Bwana kila wakati, Sifa zake zi kinywani mwangu daima. ” — Zaburi 34:1 (Biblia Takatifu)
Francis Mhiche tweet media
Indonesia
1
11
62
362
the real Maduka retweetledi
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
Licha ya DANGOTE kufelishwa na serikali kwenye ule mradi wa kule MTWARA—Ruto analeta SHAVU lingine mamaenu anaanza kumchamba. Haya Tajiri kampa RUTO aamue yeye aweke wapi mradi mkubwa kama huu. Tunaposema hii takataka ya “ELIMU MBALI MBALI” inatuchomesha kila siku hamuelewi.
SIR TIVA tweet media
Indonesia
31
120
950
24.4K
the real Maduka retweetledi
Babu lohaa
Babu lohaa@hussen_mbaga·
Wazeee wote chadema. Vijana wote chadema aya aya chadema
Babu lohaa tweet media
HT
2
38
315
2.4K
the real Maduka retweetledi
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
Wakina Angela KIZIGA na Abdul wanaiba mabilioni ya nchi na hakuna kitu kinafanyika kwao. Mabilioni wanayoiba wanaishia kununua magari ya mabilioni kuja kutuvimbia mtaani. Hawa wapo huru wanaendelea kuiba mabilioni na teuzi za kuwaweka karibu na dikteta jike waibe vizuri pesa za watanzania. Afu kuna wewe mtanzania ambae unajitafuta ulishe familia yako kwa kuuza chips leo unafungwa JELA miaka mitatu kwa kutokutoa RISITI. Nchi inatia hasira hii kila sehemu maumivu aisee.
SIR TIVA tweet media
Indonesia
31
121
845
39.5K
the real Maduka retweetledi
John Heche
John Heche@HecheJohn·
Kuna crisis kubwa sana ya Barabara Nchi hii… Kuna ujambazi unafanyika kwenye aina ya ujenzi wanaofanya wachina! Barabara inajengwa nusu mwaka imeisha kabisa imekua kama mashimo ya ng’ombe.. Watu wanahongwa kuhujumu uchumi wa Nchi na kuhujumu wananchi. Barabara ya Tarime - makutano imejengwa miaka ya 90’s bado ina uafadhali kuliko barabara ya Singida to Babati au Dodoma - Iringa za juzi tu.. Ukitoka Mwanza mpaka Bunda unaweza kulia, alafu eti kuna Waziri, makatibu wakuu, wakurugenzi, wakuu wa mikoa , Tanroads sijui na nani!!! Utawala dhalimu umefitinika.
John Heche tweet media
Indonesia
94
248
1.2K
52.4K
the real Maduka retweetledi
Maria Sarungi Tsehai
Maria Sarungi Tsehai@MariaSTsehai·
#FreeTunduLissu Hakuna namna mtamkwepa Lissu! He is now bigger than life! Na uzuri yuko imara pamoja na mateso yote na dunia imesimama kumdai! Mtamwachia TU! Mungu fundi sana maana mnachofanya ni kujimaliza kadri mnavyomshikilia Mtaelewa mmechelewa sana! #TutaelewanaTu
Maria Sarungi Tsehai tweet media
Indonesia
11
162
535
10.7K
the real Maduka retweetledi
HUNTER
HUNTER@Hunterjay12345·
Hii Dunia Bila Mungu ni Nzito Sana..
HUNTER tweet media
1
9
60
775
the real Maduka retweetledi
Mangi wa Kichaga
Mangi wa Kichaga@MangiwaKwanza1·
Happy Mother’s Day in heaven. They killed you for no reason💔🕊️
Mangi wa Kichaga tweet media
English
17
221
1.2K
10.6K