Hapa ni pale panapoitwa flyover ya Mfugale ( TAZARA ). Daraja hili lilitumia USD 65M. Limetatua tatizo gani? Mvua ikinyesha kama Jana ndio panakuwa hivi. Miradi mingi iliyotekelezwa na Serikali ya CCM ya Awamu ya 5 ni WHITE ELEPHANTS! Waste waste waste