watakuja na wataenda
12.4K posts

watakuja na wataenda
@omary___
#napendaHiphop&EDM
Mbeya, Tanzania Katılım Şubat 2021
1.4K Takip Edilen703 Takipçiler

@Thepoli12847540 @GGalawika @francismtey Huitaji kuamini, unatakiwa kujua. Kuamini unaweza kuamini hata uongo. Ulimwengu wa Roho we umeuona wap
Indonesia

ukisoma Bible na ukaelewa
utaona nilichoandika kina make Sense
1. Kulikuwa na Vita mbinguni.
Mungu na Malaika (Shetani) - Msaliti
Swali ni je,
Hivi Mungu anawezaje kupigana na
Malaika wake kama sio alikuwa mwenzake?
2. Kwanini Shetani alikuwa anaenda
Mbinguni kushauriana na Mungu kuhusu Yakobo.
Kama Sio Mwenzake...?
3. Kwanini Mungu alishindwa kumuuwa Shetani
ila kwa kosa lile lile la usaliti Sisi tukaambiwa Tutakufa
ila Shetani Ataishi milele? huyu Sio mwenzake?
4. Shetani na Mungu huwa wanapiga Story.
Ayubu 1:6-12 - Wanapiga story Fresh kabisa.
5. Mwanzo 1:26 (SRUV)
Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu,
ina maana Walikuwa Miungu wengi ikiwemo na huyu Ambaye anaitwa SHETANI SIO? au...
MWANAHISABATI@ArthurGeil
@francismtey Alafu Mungu nae akawa Nani? So unataka kusema kwamba Shetani ndio alikua Mungu alafu huyu Akamsaliti Shetani mmmhh..😂😂
Filipino

@Thepoli12847540 @GGalawika @francismtey Hapana nakataa na hapa, Hii ni dhana tu huwez kuthibitisha ulimwengu wa Roho sabab Haina namna yoyote ya kuuelezea.
Indonesia

@omary___ @GGalawika @francismtey Lakini pia Mungu ni Roho anaishi katika ulimwengu huo, yeye ni muumba wa viumbe vyote ya kiroho na kimwili
Indonesia

@Thepoli12847540 @GGalawika @francismtey Kiumbe kisicho na damu na nyama haiwezi kuwa tafsiri sahihi, kuwa kiumbe ni sifa ya kiumbe hai chenye mwili, Yani hakuna kiumbe bila mwili, ili iitwe uumbaji lazima Hilo umbo lililoumbwa liwepo. Bro akili Ina umbo Gani?
Indonesia

@omary___ @GGalawika @francismtey roho ni kiumbe kisichokuwa na damu na nyama kikaacho katika ulimwengu wa roho tofauti na ulimwengu tunaouona kwa macho
Filipino

@Thepoli12847540 @francismtey Sijui mana siwez kujadili Hali ya kufirika, unaielezeaje? Ni sawa nikwambie Kuna pembetatu yenye duara. Naielezeaje? Kama wewe unafaham tafsiri ya kitu Cha kufikirika niambie
Indonesia

@hilarymbowe_ @octaa01 @frajo_ Wait, kwa theory Yako hiyo hasa frame 2 inamaanisha Kuna eneo(point )kwenye hii dunia jua Huwa halizami KABISA mda wote linawaka tu. Aisee elimika bro. Tromso, Norway jua halizami mwezi mzima, na likizama ni Giza mwezi mzima. Hebu Lete maelezo mzee, theory Yako ina-apply vp hapo
Filipino


@hilarymbowe_ @EduTalkTz Kwa hiyo bro kwa akili zako hizo za story za bible ulizonazo unaamini ikifika usiku ni jua linakuwa limezimika!?
Filipino

@EduTalkTz Ujanja mwingi ambao shetani mdanganyi aliutumia ni sayansi kupitia mawakala wake wanao itwa wasomi . Kupitia humo kuna majinga mengi yanachukuliwa bila kuwa na reasoning ya nature .Nature ni uhalisia.mamtu yanaambiwa eti jua ni kubwa kuliko vitu vyote ,eti mwezi unaakisi
Filipino

@MosesGermanico @CodeMetalai @hilarymbowe_ @octaa01 @frajo_ Kupinga na kuhoji kwa hoja Gani sasa, Yani msingi wa kupinga kwako ni upi? Una facts gan za kupinga, au ni kupinga tu halafu basi? Facts inapingwa kwa facts sio ubishi wa kigoma
Filipino

@CodeMetalai @hilarymbowe_ @octaa01 @frajo_ Which means kila utakachoambiwa huwez kupinga wala kuhoji wewe ni wa kukubali tu???
Polski

@frajo_ @BarakaMaviatu NASA sio neno kama neno, ni kifupi Cha National Aeronautical Space Agency, ndo hii unayosema inamaanisha deceiving??
Filipino

@BarakaMaviatu Michoro ya ancient civilizations zote zinaonyesha Dunia ni flat with a dome like shape glass (firmament). Kasoro ya NASA tu. Mind you NASA ni neno la kilatin lenye maana DECEIVING.
Filipino

@Thepoli12847540 @francismtey Wewe binadam habari za Roho unazijuaje wakat hata tafsiri sahihi kabisa ya Roho hujui?/
Indonesia

@njiwapori_ Unaambiwa kama ni kufake moon mission, basi kufake ni gharama kubwa sana kuliko kwenda mwezini
हिन्दी

@njiwapori_ Ili ubaki kwenye mifumo yao usiweze kufikiria zaidi ya hapo
Indonesia

@LymosimonZ @njiwapori_ Kwani national interests zinafanana nchi zote duniani?
Română

@njiwapori_ ushawah kujiuliza kwann ni marekan pekee ndio wana hizi mbanga za kwenda nje ya dunia? kwann wao na sio nchi zingine kubwa na zenye nguvu hazina hizi mbanga?
Indonesia

@Thepoli12847540 @francismtey Roho Haina mwili inapigana vipi vita physically
Indonesia












