SIR TIVA

216.5K posts

SIR TIVA banner
SIR TIVA

SIR TIVA

@Sativa255

Survivor of Head Bullet 27.06.2024 | Human rights defender | PYALA PYALA.

Dar es Salaam, Tanzania Katılım Mart 2019
3K Takip Edilen180.9K Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
Hata kesho nikipotea JESHI LA POLISI TANZANIA LINAHUSIKA. @tanpol Hawa ndio walioniteka mara ya kwanza 23/6/2024, walitaka waniue kwa kunipiga RISASI YA KICHWA MBUGA KUBWA YA HUKO MKOANI KATAVI IKASHINDIKANA. HII TWEET MUITUMIE KUWASHTAKI HATA NISIPOKUWEPO.🤝
Indonesia
526
2.7K
12K
5.2M
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
Kuhusu kifo cha JAMES aliekatwa KICHWA-jeshi la polisi limesema wanafanya UCHUNGUZI. Ni wakumbushe ni hili hili jeshi la polisi linafanya UCHUNGUZI mpaka leo kifo cha mzee KIBAO (miezi 16/17 sasa) Ni hawa hawa Jeshi la polisi wanafanya uchunguzi mpaka leo KUTEKWA kwa mdude (Mwaka sasa). Ni hawa hawa Jeshi la polisi wanafanya uchunguzi kutekwa kwa POLE POLE (miezi 6 sasa). Countdown ya JAMES TEMBA inaanza leo pia, tutawakumbusha. TUTAKUWEPO🫵🏾😎
Indonesia
11
53
308
5.9K
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
Waliomteka NINJA walivalia: 1. Mask usoni. 2. Gari lenye plate number FAKE. 3. Hawakujitambulisha wao ni wakina nani. 4. Walikuwa na PINGU. 5. Hawakuvaa SARE za jeshi la polisi. Utekaji wote unaofanyika NCHINI wa ndugu zetu upo na mazingira haya haya na hatujajua ndugu zetu walipo mpaka leo. Jana JESHI LA POLISI limekiri wanamshikiria NINJA inamaanisha hata utekwaji wa ndugu zetu wengine waliopoteza maisha na ulikuwa na mazingira haya haya kama mzee KIBAO wahusika ni wao jeshi la polisi. JESHI LA WATEKAJI.
Indonesia
6
77
357
7.4K
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
Jana tumeambiwa ni kweli NINJA alitekwa na POLISI na yupo kituo cha polisi "Chang'ombe". Hiki kituo ndio mahali ambapo wanatesea watu na tumekilalamikia sana. Hata hao watekaji wa MAFWEL kambi yao ipo pale. Ndugu zake Ninja walizunguka vituo vyote waliambiwa hawajui alipo. Baada ya kupita masaa zaidi ya 30 wanakuja kusema wapo nae, tayari wamemuhoji na kuna mambo amekiri wanampeleka mahakamani. Katiba ya hii nchi ni MBOVU sana ila bado hawa WAPUMBAVU wanaivunja. Ukamatwaji wa NINJA haukufuata sheria, lakini pia bila kuwapa familia taarifa NINJA yupo wapi kwa masaa zaidi ya 30 ni kinyume cha sheria. Aina ya UKAMATWAJI wa NINJA ndio huo ambao ndugu zetu wengi walikamatwa na mpaka leo hatujui wapo wapi. Mtu kama Mdude, pole pole wote walikamatwa kwa njia hii hii na mpaka leo hatujui walipo. Tunaposema hili jeshi la polisi ndio watekaji wakuu na ndio wanaotupoteza mnatuona kama tumelipwa kuichafua nchi. Ona leo ukweli wote upo hadharani.
Filipino
4
71
331
9.3K
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
Be safe NINJA.
English
3
24
139
3.4K
MvuviTech🔌
MvuviTech🔌@ITexpertTz·
Aiseee skuizi mambo yamekuwa kidijitali 😱
MvuviTech🔌 tweet mediaMvuviTech🔌 tweet media
Indonesia
6
1
26
11.6K
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
Kuna hawa WASENGE 13 hawa ni kama wanasubiri KUFA tuu. Na hawa WASENGE 13 ndio chanzo kikuu cha MAUWAJI ya MO 29. Ndiomaana hawataki uchunguzi huru kutoka NJE. Hawa WASENGE 13 ni suala la MUDA TUU watalipa yote.
SIR TIVA tweet media
Indonesia
10
47
259
6.7K
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
Jitu linatuteulia MALAYA waje kutuongoza,tulilikosoa linatuteka na kwa kigezo kwa hatuheshimu SERIKALI. Mnataka tuheshimu MALAYA.
Indonesia
2
43
324
6.7K
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
Na huyu ndio WAZIRI wenu wa Ajira aliepata ZERO forn 4. Hana Degree ila anamiliki pHd. Amesoma vyuo vya online viwili ambavyo ukisearch HAVIPO. Huyu ndio anaenda kutatua kero za WASOMI wenye madegree waliokosa ajira. MALAYA kama hawa ndio wanasemaga wameokotwa majalalani.
SIR TIVA tweet media
Indonesia
54
96
825
47.5K
SIR TIVA retweetledi
Brenda Rupia Jonas
Brenda Rupia Jonas@BrendaRupia·
Enzi za serikali halali ya Mwl JKN, kuteuliwa uwaziri zilihitajika sifa haswaa ulizozionyesha katika utendaji kazi na uongozi wako wa awali!. Sasa tupo kwenye enzi za serikali haramu, kigezo kikubwa cha uteuzi ni UCHAWA. Nimeona uteuzi wa mtu aliyesema uchaguzi wa 2025 polisi walikuwa rafiki zetu wakati ndio uchaguzi pekee tulipoteza ndugu zetu wengi haijawahi kutokea tangu taifa letu liundwe. Ina maana hakuitambua hata hotuba ya tume ya jaji Chande iliyoundwa na raisi wake kuwahadaa waTanganyika. Something is wrong somewhere,ebu fikiria kwenye nchi yenye watu 68,000,000 ambao zaidi ya nusu ni Vijana,tena Vijana walioenda shule with degrees and masters mpaka wengine wanaokota makopo na masters zao.Tunaletewa Naibu Waziri mwenye form 4 tu! Sio fair yaani si haki kwa WaTanzania,mimi nilisema zile teuzi zilikuwa na nia ovu na wananchi waliowengi walikubaliana na mimi.@ccm_tanzania tuwakumbushe tu kwamba hii nchi ni yetu sote.Hakuna aliealikwa kwenye hii nchi,we are here by birth right. Tuendelee kukichangia chama chetu ili mapambano ya kutafuta haki yaendelee ndugu zangu namba ni :0744 446969 Jina ni CHADEMA HQ
Brenda Rupia Jonas tweet mediaBrenda Rupia Jonas tweet mediaBrenda Rupia Jonas tweet media
Indonesia
22
66
267
25.8K
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
Mjomba wake msanii TEMBA alitekwa, jana maiti yake imeonekana imesombwa na maji huko Tabata haina KICHWA. Hutasikia uwajibikaji kwa vitendo vyote hivi vya utekaji kwasababu watekaji ni wao. Tanzania kuna VIBAKA wachache wao ndio wanatoa VIBALI vya watu kuishi sio kazi ya MUNGU tena.
SIR TIVA tweet mediaSIR TIVA tweet media
Indonesia
23
109
623
36.4K
SIR TIVA retweetledi
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
Mpaka sasa hakuna mtu ambae anajua @Ninja_Damour kapelekwa wapi, familia yake imezunguka kwenye baadhi ya vituo vya Polisi Dar es Salaam lakin hawajafanikiwa kumpata. Jeshi la Polisi wanapaswa kutuambia wamempeleka wapi Ninja maana kwa sheria zetu Polisi pekee ndo wanamiliki pingu na watu waliomteka Ninja kabla hawajaondoka nae walimfunga pingu kwanza kisha wakaondoka nae. #FreeDamour
Hilda Newton tweet media
Indonesia
5
88
323
10.5K
SIR TIVA retweetledi
Boniface Mwabukusi
Boniface Mwabukusi@Mwabuk2Boniface·
DAMURU apatikane. Suala la utekaji na upotezaji wa watu limekuwa doa zito katika jamii, likiacha hofu, majonzi na maswali yasiyo na majibu. Watu wanaotekwa au kupotea mara nyingi ni wale wasio na hatia, huku familia zao zikibaki katika hali ya sintofahamu na maumivu yasiyopimika. Kinachoongeza uzito wa tatizo hili ni pale ambapo wale waliokabidhiwa jukumu la kulinda raia wanashindwa kutimiza wajibu wao ipasavyo na wakihojiwa hutoa maelezo yenye dhihaka. Inapotokea kwamba vyombo vinavyopaswa kuhakikisha usalama vinageuka kuwa dhaifu, au vinahusishwa moja kwa moja au kwa uzembe na vitendo hivyo, basi hali inakuwa hatari zaidi. Kukosekana kwa uwajibikaji kunafungua mlango wa mazoea mabaya, ambapo utekaji na mauaji vinaweza kuonekana kama jambo la kawaida lisilo na madhara makubwa kwa wahusika. Hapo ndipo imani ya wananchi kwa mifumo ya ulinzi na sheria huanza kuyeyuka. Ukiona kwamba anayepaswa kumaliza tatizo anashindwa kulimaliza, basi kuna dalili kuwa chanzo cha tatizo si kile kinachoonekana juu juu. Inaashiria uwepo wa mizizi iliyojificha iwe ni uzembe, maslahi binafsi, au mfumo uliooza. Katika hali kama hii, suluhisho halipo tu katika kushughulikia matukio ya utekaji, bali katika kubadili au kuondoa kabisa mfumo unaoruhusu vitendo hivyo kuendelea. Hivyo, wito ni wa wazi na wenye uzito: haki lazima itendeke bila upendeleo. Ikiwa kuna mtu anayehusishwa na vitendo hivi, kama DAMARU, basi arejeshwe mbele ya jamii na Familia yake. Bila hatua thabiti na za dhati, kivuli cha utekaji na upotezaji wa watu kitaendelea kuitanda jamii kwa muda mrefu zaidi. HAKI ,UKWELI NA UWAJIBIKAJI Vitaliponya Taifa. BAK MWABUKUSI.
Boniface Mwabukusi tweet media
Indonesia
12
274
667
13.7K
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
Kwamba Tanzania nzima hatuna WASOMI mpaka tunaenda kuchukua hawa VILAZA na kuwapa WIZARA waongoze wasomi? Hivi huyu kweli anastahili Uwaziri achilia mbali hata Udiwani? Waziri gani ambaye ni Form Four Failure? Waziri gani ana certificate 3 na zote ni za online? Waziri mwenye certificate ndio ataongoza wizara ya ajira? Atamsaidiaje kijana mwenye degree ambaye yuko mtaani hana ajira? Waziri gani ana udaktari wa mchongo wa kupewa? Samuya kaamua kutafuta Form Failure wenzake awajaze ndani ya serikali haramu maana hapendi wenye akili KUBWA anajua watamchallenge. Anapenda vilaza wenye elimu mbalimbali kama yeye ili awaburuze. Ni kama tupo zama za MAWE.
SIR TIVA tweet media
Indonesia
73
100
558
45.7K