Sintau

47 posts

Sintau

Sintau

@Sintau7

Katılım Ağustos 2020
172 Takip Edilen16 Takipçiler
Sintau
Sintau@Sintau7·
@innobash 2:kwanini sayansi physics wameajiriwa wengi pasipo kuangalia hata,mwaka waa kumaliza na umri kama mlivyosema kigezo maana wengi mliowajiri wamehitimu 2021, 3:Ktk ajira za sayansi asilimia kubwa ni Diploma kwanini na degree ni wachache au nacho kilikuwa kigezo?
OFISI YA WAZIRI MKUU - TAMISEMI@ortamisemitz

Indonesia
0
0
0
0
Sintau
Sintau@Sintau7·
@ortamisemitz 2:kwanini sayansi physics wameajiriwa wengi pasipo kuangalia hata,mwaka waa kumaliza na umri kama mlivyosema kigezo maana wengi mliowajiri wamehitimu 2021, 3:Ktk ajira za sayansi asilimia kubwa ni Diploma kwanini na degree ni wachache au kiwango elimu nacho kilitumika .
Indonesia
0
0
0
0
Sintau
Sintau@Sintau7·
@ortamisemitz @innobash Habari ya muda huu kiongozi ,pole na hongera kwa majukumu yakulitumikia taifa ,kazi kubwa unayoifanya tunaiona ,Nina dukuduku na wasiwasi sana na zoezi la ajira ulizotangaza Jana 1:MTU kahitimu 2021 somo kiswahi amepata imekuwaje na wakati kuna watu toka 2015 bado
Indonesia
0
0
0
0
Sintau
Sintau@Sintau7·
Habari kiongozi
Indonesia
0
0
0
0
Sintau
Sintau@Sintau7·
@Eric_Bernard94 @samsiria Kwanza APA sahani ziko tofauti sio moja umekosea sahanai ya kwanza no tofauti na ya pili
Indonesia
0
0
0
0
MR BEN
MR BEN@Eric__Bernard·
@samsiria Fanya yote usiache kula kaka
Dar es Salaam, Tanzania 🇹🇿 Filipino
1
0
1
0
MR BEN
MR BEN@Eric__Bernard·
Imebaki Story!
MR BEN tweet mediaMR BEN tweet media
Dar es Salaam, Tanzania 🇹🇿 English
36
15
534
0
WACLOUDSANIA
WACLOUDSANIA@wacloudsania·
✍️ @millardayo Ukiachia ile milioni moja cash ya MchongoPESA, leo ni Jumatano ya kujishindia shilingi elfu 30 za Millard Ayo kupitia AMPLIFAYA iwapo comment yako kwenye hii post haitopata comment yoyote wala like……. TIRIRIKA
WACLOUDSANIA tweet media
Filipino
811
72
1.2K
0
Sintau
Sintau@Sintau7·
@SuphianJuma @SuluhuSamia Kaka imefika mahali uone aibu ata kama kusifia huna hata haya ,MTU na elimu yako ulibahatika angalau uisaidie jamii yako unajikomba kula siku, JITAFAKARI?? Maisha yamekuwa magumu kupitiza .
Indonesia
0
0
1
0
Suphian Juma Nkuwi
Suphian Juma Nkuwi@SuphianJuma·
"Kuanzia tarehe 01 Juni, 2022 wananchi wataanza kupta nafuu ya bei ya Mafuta." Rais @SuluhuSamia Bado mna la kumzodoa Kiongozi huyu anayejali wananchi wake? Tumaini kuu la watu wote? ADUMU MAMA.
Indonesia
30
4
32
0
Sintau
Sintau@Sintau7·
@OR_TAMISEMI Habari,Kwann simu yenu haipatikani na tuna Shida za ufumbuzi wa haraka
Indonesia
0
0
0
0
Sintau
Sintau@Sintau7·
@ortamisemitz Ninaswa katkia mfumo kwa mimi niliyesooma mathematics na informatics ,ukijaza soma la kwanza hesabu kutafuta somo la pili haileti informatics Bali inaleta physics ,chemizmstry na biology he apo Mimi nitajaza somo gani??
Indonesia
0
0
1
0
Sintau
Sintau@Sintau7·
@TecnomobileTZ Mmmh mbona naomba yenyewe haipo mliyoisema?!??(mliyoindika apo ya kuwasiliana 0678085208)?!?
Indonesia
0
0
0
0
Sintau
Sintau@Sintau7·
@DStv_Tz Hazionyeshi zite zilizorudi bado Niko blocked
HT
0
0
1
0
DStv (TZ)
DStv (TZ)@DStv_Tz·
Imerudi kwao…. Kwa habari za uhakika tazama ITV 383, inayopatikana kwenye vifurushi vyote vya DStv. Kulipia kifurushi chako kwa urahisi piga *150*53#. #ZimerudiKwao
DStv (TZ) tweet media
हिन्दी
4
4
26
0
Sintau
Sintau@Sintau7·
@DStv_Tz Kabda watusaidie namna ya kuzipata?!
Lietuvių
0
0
0
0
DStv (TZ)
DStv (TZ)@DStv_Tz·
Together Tunawakilisha! Furahia vipindi kabambe ndani ya chaneli ya EATV 384 inayopatikana ndani ya vifurushi vyote vya DStv. #zimerudikwao
DStv (TZ) tweet media
Indonesia
7
3
22
0
Sintau
Sintau@Sintau7·
@DStv_Tz Ata upendo TV nayo haionekani au shida ni decoda yangu?!
Indonesia
1
0
1
0