Joseph Mbilinyi
994 posts

Joseph Mbilinyi
@TheRealJongwe
Businessman/Legendary African Hiphop Artist/Former Member of Parliament for Mbeya Urban/Central Committee Member - CHADEMA/Zonal Chairman-CHADEMA Nyasa.
Katılım Temmuz 2018
166 Takip Edilen437.7K Takipçiler


GIRISHONI always anaiambia DUNIA kuwa Serikali ya Tanzania imepiga marufuku mtandao wa X (Zamani Twitter)…
Hapa @ikulumawasliano wametumia X kutoa taarifa yao, nabaki najiuliza je IKULU inavunja AMRI ya SERIKALI au??!!
NB: Hata yeye GIRISHONI daily yuko X, MATAKO YAKE😎

Indonesia

Yaani AIBU naona mimi Mtanganyika kwa kinachoendelea mahakamani kwenye kesi ya kubumba ya Lissu, na hawa mashahidi wa kificho wa kubumba…Ni kama wameokota vichaa barabarani , ni AIBU TUPU!
NB: Aliyewapa huu mchongo wa hii kesi kawaingiza chaka bovu, na pamoja na mashtaka mengine atashitakiwa kwa UHUJUMU UCHUMI, kesi hii ni ubadhirifu mkubwa wa fedha za umma. MATAKO YAKE!
Indonesia

Nimemsikia Butiku leo… Ni kama ametokewa na Mzimu wa Kambarage!
#FreeLissu
Indonesia

When Politics was FUN in TZ…Hii Siku nilimbana Mwanasheria Mkuu ndani ya Bunge mpaka akaomba POO!
NB: Hii ni kabla hawajaanza KUTUTEKA tunapowabana kwa HOJA!
#Unclassified

Indonesia

@DonaldTrump HACHEKI na MTU…
Yaani FASTA saana ndani ya masaa 15 tu, Maduro katoka kuwa Rais Dikteta mpaka Mfungwa mwenye PINGU mkononi…!!!
Na Mwanetu @elonmusk amesisitiza na kuna ujumbe wenu hapo!
NB: Sasa ni muda wa kujiuliza WHO ARE YOU?!


Indonesia

Kabisa kabisa Baba Askofu…🙏🏾
Na pia kuna waliogombea kama Nchimbi, Lukuvi, Ndumbaro na wengine wengi!
I hope dada yangu Jenista aliwahi kufanya KITUBIO…
#OctoberMassacre

Indonesia

Kwenye hizi STRUGGLE jambo la muhimu sana ni BROTHERHOOD…✌🏾💪🏾
Lunch at SERENA was good, conversation so GREAT.
@godbless_lema @ExMayorUbungo
NB : No NB!😎

Filipino






