Joseph Mbilinyi

994 posts

Joseph Mbilinyi banner
Joseph Mbilinyi

Joseph Mbilinyi

@TheRealJongwe

Businessman/Legendary African Hiphop Artist/Former Member of Parliament for Mbeya Urban/Central Committee Member - CHADEMA/Zonal Chairman-CHADEMA Nyasa.

Katılım Temmuz 2018
166 Takip Edilen437.7K Takipçiler
Joseph Mbilinyi
Joseph Mbilinyi@TheRealJongwe·
Ona huyu, nchi inahitaji maridhiano serious, yeye analeta maigizo kwa kukusanya VIBAKA ili kumuonyesha Samia kwamba anaenda vizuri… NB: Shida ni Mbeya mjini haimjui kama ambavyo yeye haijui Mbeya mjini, MATAKO YAKE!😎
Joseph Mbilinyi tweet media
Filipino
38
77
591
25K
Joseph Mbilinyi
Joseph Mbilinyi@TheRealJongwe·
Yaani hii haiishi mpaka IISHE…
Joseph Mbilinyi tweet media
Filipino
71
262
1.7K
39.7K
Joseph Mbilinyi
Joseph Mbilinyi@TheRealJongwe·
Sasa hiyo tume ya nini?! Na ndio maana watu wanaikataa, wanaiona ni ya MCHONGO.
Joseph Mbilinyi tweet media
Filipino
44
145
805
26.7K
Joseph Mbilinyi
Joseph Mbilinyi@TheRealJongwe·
Hii BODI ni tool nyingine ya Udikteta. Kukandamiza uhuru wa habari na hata uhuru wa kutoa mawazo…Ndio maana tulipinga sana kuanzishwa kwake wakati ule tukiwa Bungeni. Hii sasa ni kama BASATA na wasanii!
Joseph Mbilinyi tweet media
Indonesia
19
97
436
12.9K
Joseph Mbilinyi
Joseph Mbilinyi@TheRealJongwe·
Na huu ndio msimamo wetu pia sisi Chadema kanda ya Nyasa…Hakuna kurudi nyuma. #FREELISSU
Indonesia
13
154
839
16K
Joseph Mbilinyi
Joseph Mbilinyi@TheRealJongwe·
GIRISHONI always anaiambia DUNIA kuwa Serikali ya Tanzania imepiga marufuku mtandao wa X (Zamani Twitter)… Hapa ⁦@ikulumawasliano⁩ wametumia X kutoa taarifa yao, nabaki najiuliza je IKULU inavunja AMRI ya SERIKALI au??!! NB: Hata yeye GIRISHONI daily yuko X, MATAKO YAKE😎
Joseph Mbilinyi tweet media
Indonesia
86
187
1.2K
46.1K
Joseph Mbilinyi
Joseph Mbilinyi@TheRealJongwe·
Always tunasema huyu mtu ni mshamba na mjinga. Serikali haijawahi kununua Bentleys wala Maybachs kwa ajili ya Mawaziri…Why usiyatumie kwa matumizi binafsi mpaka uweke Namba za Serikali? NB: Huwezi kutuvimbia na hela za UFISADI,na wala wewe sio Daimondi. MATAKO YAKO!😎
Joseph Mbilinyi tweet media
Indonesia
128
307
2.6K
141.4K
Joseph Mbilinyi
Joseph Mbilinyi@TheRealJongwe·
Yaani AIBU naona mimi Mtanganyika kwa kinachoendelea mahakamani kwenye kesi ya kubumba ya Lissu, na hawa mashahidi wa kificho wa kubumba…Ni kama wameokota vichaa barabarani , ni AIBU TUPU! NB: Aliyewapa huu mchongo wa hii kesi kawaingiza chaka bovu, na pamoja na mashtaka mengine atashitakiwa kwa UHUJUMU UCHUMI, kesi hii ni ubadhirifu mkubwa wa fedha za umma. MATAKO YAKE!
Indonesia
57
268
1.6K
41.1K
Joseph Mbilinyi
Joseph Mbilinyi@TheRealJongwe·
Yaani hili lichama limeoza kabisa, wao kila mchakato wanaoanzisha lazima RUSHWA mbele!
Joseph Mbilinyi tweet media
Indonesia
56
123
994
29.5K
Joseph Mbilinyi
Joseph Mbilinyi@TheRealJongwe·
Nimemsikia Butiku leo… Ni kama ametokewa na Mzimu wa Kambarage! #FreeLissu
Indonesia
83
206
1.8K
38.8K
Joseph Mbilinyi
Joseph Mbilinyi@TheRealJongwe·
When Politics was FUN in TZ…Hii Siku nilimbana Mwanasheria Mkuu ndani ya Bunge mpaka akaomba POO! NB: Hii ni kabla hawajaanza KUTUTEKA tunapowabana kwa HOJA! #Unclassified
Joseph Mbilinyi tweet media
Indonesia
21
82
739
42.8K
Joseph Mbilinyi
Joseph Mbilinyi@TheRealJongwe·
Kweli nimeamini wema hawana maisha…!
Filipino
69
328
2.1K
60.3K
Joseph Mbilinyi
Joseph Mbilinyi@TheRealJongwe·
Wakatoliki na VIJORA wapi na wapi?! Yaani hakuna hata shati moja la UWAKA wala kitenge cha WAWATA?! Sasa ngoja WAKATOLIKI wenyewe watoke wakiongozwa na MAPADRI na MAASKOFU kama walivyoandamana DRC mpaka Kabila akachemka. NB: Hawa wote MALOFA pamoja na waliowatuma,matako yenu😎
Joseph Mbilinyi tweet media
Indonesia
116
274
1.8K
38.3K
Joseph Mbilinyi
Joseph Mbilinyi@TheRealJongwe·
@DonaldTrump HACHEKI na MTU… Yaani FASTA saana ndani ya masaa 15 tu, Maduro katoka kuwa Rais Dikteta mpaka Mfungwa mwenye PINGU mkononi…!!! Na Mwanetu @elonmusk amesisitiza na kuna ujumbe wenu hapo! NB: Sasa ni muda wa kujiuliza WHO ARE YOU?!
Joseph Mbilinyi tweet mediaJoseph Mbilinyi tweet media
Indonesia
30
92
471
16.7K
Joseph Mbilinyi
Joseph Mbilinyi@TheRealJongwe·
Kabisa kabisa Baba Askofu…🙏🏾 Na pia kuna waliogombea kama Nchimbi, Lukuvi, Ndumbaro na wengine wengi! I hope dada yangu Jenista aliwahi kufanya KITUBIO… #OctoberMassacre
Joseph Mbilinyi tweet media
Indonesia
35
249
1.4K
21.8K
Joseph Mbilinyi
Joseph Mbilinyi@TheRealJongwe·
Kwenye hizi STRUGGLE jambo la muhimu sana ni BROTHERHOOD…✌🏾💪🏾 Lunch at SERENA was good, conversation so GREAT. @godbless_lema @ExMayorUbungo NB : No NB!😎
Joseph Mbilinyi tweet media
Filipino
52
238
1.9K
27.5K