Mr. Magnifico

27.2K posts

Mr. Magnifico banner
Mr. Magnifico

Mr. Magnifico

@FelicianROM

MNMA ALUMNI 🧑‍🎓 (2021) Still hunting for big bags💰. A @ManUtd fan

Dar es Salaam, Tanzania Entrou em Mayıs 2021
1.6K Seguindo2.5K Seguidores
Tweet fixado
Mr. Magnifico
Mr. Magnifico@FelicianROM·
Rest in peace my mother 😭😭💔💔
Mr. Magnifico tweet media
Dar es Salaam, Tanzania 🇹🇿 English
629
298
3.9K
181.6K
Mr. Magnifico retweetou
Adv.Innocent⚖️
Adv.Innocent⚖️@Adv_innocent·
Kabla hujalala Tumia hata dakika tano kumuombea mheshimiwa lissu, Mwaka sasa gerezani sio kitu kirahisi..🙌🙏
Adv.Innocent⚖️ tweet media
Suomi
6
142
547
4.1K
Mr. Magnifico retweetou
MO 29 TV
MO 29 TV@MO29TV·
SAMIA hajui hata bei ya mafuta Duniani anawezaje kushindana na TUNDU LISSU:NSHALA
Indonesia
16
194
906
12.7K
Mr. Magnifico retweetou
Latto 𝕏
Latto 𝕏@Rydx_017·
Hii Nchi 🙆‍♂️
Eesti
6
26
131
6K
Mr. Magnifico retweetou
Tito Magoti
Tito Magoti@TitoMagoti·
Good night, Tundu Lissu. Ninakuandikia nikifahamu kuwa, wakati mwingine, kupata usingizi jela ni majaliwa. Utafikiri, utasoma vitabu, utasoma Biblia, utasoma gatezi, utasali etc, utachoka. M/Mungu akupe saburi maana hakuna usiku usio na asubuhi. Hata sasa Yeye ni Ebeneza!
Tito Magoti tweet media
Indonesia
10
146
531
4.6K
Mr. Magnifico retweetou
Swahili Times
Swahili Times@swahilitimes·
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA (Bara), John Heche ametoa wito kwa wananchi kuanzisha kampeni maalum ya kuzishinikiza mamlaka kumwachia huru mwenyekiti wa chama hicho, Tundu Lissu na kwamba endapo mamlaka zitapuuza, chama hicho kitaitisha maandamano nchi nzima.
Indonesia
22
133
566
6.1K
Mr. Magnifico retweetou
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
“Maandamano makubwa ya kushinikiza Tundu Lissu aachiwe yanakuja…”-; Mhe. @HecheJohn
Indonesia
21
284
1.1K
11K
Mr. Magnifico retweetou
P'site Shio
P'site Shio@Psiteshio1·
Mama na mtoto wake Wana umeme mdogo Sana.
Filipino
37
69
772
18.6K
Mr. Magnifico retweetou
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
Shimo ambalo unamchimbia Mhe. Lissu utatumbukiia wewe na familia yako.
Hilda Newton tweet media
Filipino
19
109
824
12.1K
Mr. Magnifico retweetou
Tito Magoti
Tito Magoti@TitoMagoti·
“Nimepenyezewa kuwa bei ya mafuta ni dola alfu nane.”
Tito Magoti tweet media
Polski
74
131
1.2K
19.1K
Mr. Magnifico retweetou
Godbless E.J. Lema
Godbless E.J. Lema@godbless_lema·
Hello Mum Samia, Just a polite reminder kwamba Mkti Tundu Lissu bado yuko mahabusu na leo ametimiza mwaka mmoja. Hongera kwa hotuba yako ya jana kuhusu bei za mafuta duniani. Haikuwa mbaya sana. Nimewapenda zaidi wale walioirekebisha. Anyway, siku zote kumbuka , hakuna kitu kibaya ktk maisha kama kuzungukwa na watu wanao kuogopa. Kwani, unaweza ukanywa sumu, wakakuacha wakajua unafanya mazingaombwe.
Godbless E.J. Lema tweet media
Filipino
41
178
1.4K
48.4K
Mr. Magnifico retweetou
Think Different
Think Different@lifeofmshaba·
Msigwa njoo ufafanue na hii 556 ni nusu ya 100,000 Huyu anashida ya uwezo ni muda mrefu sana ameongea mambo ya kimbumbu ndio maana anaamini akiua watu atamaliza watu wenye uelewa mzuri Ukimchalllenge tu anakuteka Sababu ya uwezo mdogo
Indonesia
49
82
488
25.6K
Mr. Magnifico retweetou
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸
Bravo, hii ni kubwa na ya muhimu………. Tundu Lissu kakubali kuteseka jela kwa ajili ya nchi yetu ni lazma na sisi tujitoe kwa ajili yake.
MwanzoTvPlus@MwanzoTvPlus

#TANZANIA: CHADEMA KUANZISHA KAMPENI NZITO KUSHINIKIZA LISSU KUACHIWA HURU, "TUTAANDAA MAANDAMANO MAKUBWA, HATUTAPIGA MAGOTI" Makamu Mwenyekiti wa @ChademaTZ2 Bara, @HecheJohn leo Aprili 09, 2026 wakati wa mjadala maalum ulioendeshwa kwa njia ya mtandao ambapo @TunduALissu anatimiza mwaka mmoja (siku 365) akiwa gerezani ametoa wito kwa Watanzania walio ndani na nje ya nchi hususani Vijana kuanzisha kampeni maalum ya kuzishinikiza Mamlaka kumuachia huru Mwenyekiti wa Chama hicho, Tundu Lissu akisema Lissu hajatenda kosa bali amebambikiwa kesi. “Jambo langu kwako wewe Kijana unayetuona, unayedai kwamba unatuunga mkono sio kusemea chinichini, tunapaswa kuanzisha kampeni kubwa wamuachie Tundu Lissu kwasababu Lissu amekamatwa kwa ajili yetu, kwasababu wote tunajua na wote tunaamini Lissu hana kosa, ni Mtu mwema anayetupigania, ili asikate tamaa ili asiwe na baridi kule aliko anafikiri kwamba nimekamatwa na Watu niliokuwa nawapigania wamerudi nyuma, tunapaswa kuanzisha kuanzia leo kampeni kubwa kwenye kila platform Instagram, Facebook, TikTok, Twitter ya kumdai Tundu Lissu” - Heche “Watu wetu wa Diaspora mfanye kama waliofanya Watu wa Diaspora waliokuwepo wa Afrika Kusini wakati ule , Vijana wetu mlioko ndani ya nchi tuandike vipeperushi visambae kwenye masoko, kwenye nguzo za umeme zikiwa na picha ya Lissu na ujumbe wa kutaka Lissu aachiwe” - John Heche, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara. Zaidi: youtu.be/V87WaO-2oPY

Indonesia
35
296
1.5K
25.1K
Mr. Magnifico retweetou
John Heche
John Heche@HecheJohn·
Free our Chairman now.
John Heche tweet mediaJohn Heche tweet media
English
16
468
1.3K
11.8K
Mr. Magnifico retweetou
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
‼️SERIKALI HARAM YA IDD AMIN MAMA IMEPANGA KUMUUA MHE. LISSU KWA RISASI‼️ Nimejulishwa kwamba baada ya Serikali haram ya Idd Amin Mama kuona mbinu zao zote za kutaka kummaliza Mhe. Lissu huko Gerezani zinavuja sasa wamekuja na mpango mwingine. Mpango huu unaratibiwa na Paul Makonda na Faustine Mafwele. Wamepanga kwamba kesi ya Mhe. Lissu itakapoanza kusikilizwa Mahakama ya rufani, atabadilishiwa Askari Magereza wale ambao huwa wanapanda nae gari moja kwa ajili ya kumlinda kila wanapompeleka na kumtoa Mahakamani badala yake wanaletwa Askari wa KMKM kutoka Zanzibar hao ndo watakuwa wanapanda nae gari moja na watavalishwa nguo za Askari Magereza ili wasishtukiwe. Wamepanga kwamba mara baada ya kesi kuhairishwa Mhe. Lissu atakapokuwa anatolewa Mahakamani kurudishwa Magereza wakiwa njiani convoy ya Magereza itavamiwa na watu wenye silaha kisha watawafyatulia risasi kutakuwa kama kuna majibizano ya risasi then wale KMKM ambao watakuwa nae ndani ya Gari, watamuua kwa risasi humo humo ndani ya gari. Then Serikali haram itakimbilia kwenye media kusema kwamba kauwawa na watu wasiojulikana so wanawasaka watu wote waliohusika kwenye shambulio hilo ili wasionekane kwamba ni wao. Wamepanga mpaka watu wakuja kuwatetea kwenye mitandao ambao watakuwa wanasema Serikali haram haihusiki na kwamba kama ingetaka kumuua basi ingemuulia Magereza. Yani Nduli Idd Amin Mama ameuwa Watanganyika wenzetu zaidi ya elfu, ameiba maelfu ya miili na kwenda kuizika kwenye makaburi ya Halaiki ili kupoteza ushahidi. Tangu aingie madarakani hadi leo kateka na kupoteza watu zaidi ya 300 lakin bado hajatosheka na sasa anataka na damu ya Mhe. Lissu. Wapendwa kama tusipompambania Mhe. Lissu hawa watu watammaliza huku tunaona maana mpaka sasa wameshagundua kwamba hawana ushahidi wa kutosha kumtia hatiani ili wamnyonge ndo maana wanapanga njama za kutaka kumuua kwa risasi akiwa bado mikononi mwao. Idd Amin Mama anamchukia Mhe. Lissu kiasi kwamba anatamani kuona akiuwawa ili asionekane tena kwenye uso wa Dunia, yote ni kwasababu Mhe. Lissu kakataa biashara ya UDALALI WA SIASA ni mtu mwenye msimamo thabiti ambao Idd Amin Mama na washirika wake wanautafsiri msimamo huo kwamba ni kiburi. Jambo moja ambalo wanatakiwa kulitia akilini ni kwamba kama wakithubutu kutekeleza huo mpango wao wa kumuua Mhe. Lissu hii nchi haitatawalika yani ya Maandamano ya Oktoba 29 itakuwa cha mtoto.
Hilda Newton tweet media
Indonesia
119
291
1.2K
63.1K
Mr. Magnifico retweetou
Webiro Wakazi Wassira #TheLeader
LACK OF EXPOSURE INAWA EXPOSE WATAWALA HARAMU Yaani Rais KILAZA, Aliyeandika Speech KILAZA, Mshauri wake (wa kumwambia atumie issue ya Mafuta as topic) ni KILAZA, Aliyepenyeza “Kimemo” (sijui ni Usalama Wa Taifa au Msaidizi au GIRISHONI) nae KILAZA!! 😫☹️ Unafanyaje DIRECT COMPARISON ya bei za Mafuta, na Nchi ambazo zina PURCHASING POWER PARITY ya matrillioni, na pia kuna CURRENCY DISPARITY ya 1:2600 (U$D), 1:3000 (Euro) and even 1:20 (KTsh) ?! Marekani state maskini kuliko zote mshahara kima cha chini ni $8 kwa Saa ($64 kwa siku) na jimbo hilo mafuta ni $3 kwa Gallon (so kwa liter ni $0.75 au Tsh 1875). Mshahara Wa Maskini wa Siku wa 160,000, na Mafuta lita 1875. Wewe Daktari unamlipa laki 9 kwa mwezi (yaani 30,000 kwa siku) alafu unajisifia kumuuzia mafuta kwa Tsh 3800 🤷🏾‍♂️ Alafu unatoa takwimu za Uongo, na anayekusahihisha nae anatudanganya pia. Mmeharibu THAMANI YA HELA yetu, kiasi kwamba senti hazina thamani. Marekani ukiona 8.00 sio mia nane, bali ni dola 8; hizo sifuri ni za SENTI!! Pia hamjui tofauti ya METRIC SYSTEM (Litre, Kilo, Meter, Centimeter) na IMPERIAL SYSTEM (Ounce, Gallon, Pound, Inches). MSIGWA anakuja kutwambia bei ya Mafuta kwa Tani.. Kitu cha UJAZO anapima UZITO. Kazi ya Viongozi ni kuleta ahueni kwa Wananchi, ila nyie HARAMU tunajua mpo kwa maslahi yenu binafsi ndio maana unatetea kutopunguza kodi kwa hoja na takwimu za mtu ambae hajaenda shule, hana exposure, na anayepiga Siasa/Propaganda. Tokeni hapa… HAMUWEZI KUTUDANGANYA, MTAJUTA KUTUSOMESHA! The Leader
Indonesia
135
371
1.5K
49.8K
Mr. Magnifico retweetou
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
Usiku wa kuamkia leo Watu waliojitambulisha kuwa ni askari polisi, wakiwa na gari aina ya Toyota Landcruiser yenye namba za usajili T 696 BSR wamemfuata Bi.Pauline Pallangyo @ms_walterss nyumbani kwake Dodoma na kuondoka naye kwa maelezo kwamba wanampeleka kituo kikuu cha polisi Dodoma (Central). Familia ilipohoji kosa lake watu hao wamekataa kueleza na kusema atajua akifika polisi. Baadhi ya ndugu wamefika Central lakini hawajaruhusiwa kumuona. Ndugu zake wanasema wakati watu hao wakimchukua Pauline, walikuwa wanamlazimisha atoe password ya simu yake lakini alikataa. Pauline ni mmoja kati ya mamia ya vijana waliokamatwa na kupewa kesi ya Uhaini October 29, kabla ya kufutiwa mashtaka baadae. #FreePauline #Justice4Pauline
Hilda Newton tweet mediaHilda Newton tweet media
Indonesia
32
231
1.1K
52.2K
Mr. Magnifico retweetou
Tito Magoti
Tito Magoti@TitoMagoti·
Juzi hapa amepewa udaktari bingwa na Chuo Kikuu bora cha afya nchini. Hivi decision making vyuoni ikoje hadi wanafikia uamuzi wa kijinga kama huo? Ni hofu ya nini?
Indonesia
36
94
899
18.4K