One Sister

156.4K posts

One Sister banner
One Sister

One Sister

@Rahma_Simba

Entrou em Şubat 2015
5.1K Seguindo12.2K Seguidores
Tweet fixado
One Sister
One Sister@Rahma_Simba·
Jumaa kareem 🕌🕋📿
One Sister tweet media
हिन्दी
0
3
3
163
One Sister
One Sister@Rahma_Simba·
📍MAGARI YA CHADEMA YAPIGWA MNADA KIHOLELA, YAUZWA KWA KAMPUNI YA UJENZI ABC CONSTRUCTION LTD YA MKOANI ARUSHA Mwandishi Wetu, Arusha Katika siku za hivi karibuni, kumekuwa na malalamiko makubwa kutoka kwa wanachama na wadau wa chama kuhusu mwenendo usioridhisha wa baadhi
One Sister tweet mediaOne Sister tweet mediaOne Sister tweet media
Indonesia
1
8
8
45
One Sister
One Sister@Rahma_Simba·
kuwawajibisha wahusika, na kuweka mifumo itakayozuia hali kama hii kujirudia siku zijazo. Kwa mustakabali wa chama na heshima yake mbele ya umma, uwajibikaji si hiari—ni wajibu.
Indonesia
0
0
0
2
One Sister
One Sister@Rahma_Simba·
huo? Je, taratibu zote zilifuatwa? Na fedha zilizopatikana zimetumika vipi? Maswali haya yanahitaji majibu ya haraka na ya kuridhisha ili kurejesha imani iliyoyumba. Ni wakati sasa kwa vyombo husika ndani ya chama kuchukua hatua stahiki—ikiwemo kufanya uchunguzi wa kina,
हिन्दी
1
0
0
10
One Sister
One Sister@Rahma_Simba·
Matumizi ya mfumo wa Nest kwenye manunuzi ya Umma yaokoa bill 13
Indonesia
0
11
9
41
One Sister
One Sister@Rahma_Simba·
Katika kuimarisha uchumi wa ndani, asilimia 64% ya zabuni za Serikali kwa mwaka 2024/2025 ziligawiwa kwa wazabuni wazawa. Huu ni uthibitisho wa dhamira ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kuhamasisha maendeleo ya sekta binafsi, kukuza ajira, na nguvu za uchumi.
Indonesia
1
12
11
40
One Sister
One Sister@Rahma_Simba·
Umoja na juhudi za pamoja ndio siri ya mafanikio ya Taifa letu.
Indonesia
0
0
0
3
One Sister retweetou
Stori za Pombe 👽
Stori za Pombe 👽@storizapombe·
Katika hatua kubwa ya kuimarisha uchumi wa ndani, asilimia 64% ya zabuni za Serikali kwa mwaka 2024/2025 ziligawiwa kwa wazabuni wazawa. Huu ni ushahidi wa dhamira ya dhati ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kuhamasisha maendeleo ya sekta binafsi, kukuza ajira, na kuimarisha uchumi wa taifa letu. Umoja na juhudi za pamoja ni msingi wa mafanikio ya Taifa letu.
Indonesia
0
16
9
30
One Sister
One Sister@Rahma_Simba·
Kwa msaada wa TAKUKURU, makusanyo ya Halmashauri yameongezeka kwa zaidi ya bilioni 8, ikithibitisha juhudi za Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kuimarisha utawala bora na kupambana na rushwa. Hii inaongeza mapato ya serikali za mitaa na kuharakisha maendeleo ya wananchi.
Indonesia
0
10
9
39
One Sister
One Sister@Rahma_Simba·
Wanaofanya fanya vibaya na watajwe, Huu ndio mfano wa uongozi bora.
Indonesia
0
12
9
74
One Sister retweetou
One Sister
One Sister@Rahma_Simba·
KAZI NA UTU TUNASONGA MBELE 🔥
Indonesia
0
9
8
60