Erick Wizz

967 posts

Erick Wizz banner
Erick Wizz

Erick Wizz

@Wizzy2Ck

Entrou em Ocak 2026
192 Seguindo66 Seguidores
Aruatani✨
Aruatani✨@Aruatani·
Twitter Maadili.. Ni sahihi Mwanaume kuishi Ukweni..?
Aruatani✨ tweet media
Filipino
101
71
797
32.8K
Erick Wizz retweetou
Jambo TV
Jambo TV@Jambotv_·
HABARI PICHA: Hospitali ya Taifa Muhimbili imemtunuku tuzo ya heshima ya udaktari bingwa bobezi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ikiwa ni kutambua na kuthamini mchango wake mkubwa katika mageuzi ya huduma za Afya Nchini. Tuzo hiyo imetolewa kwenye hafla iliyowakutanisha Madaktari na wauguzi Bingwa bobezi Machi 28, 2026 kwenye Hoteli ya Johari Rotana jijini Dar es salaam.
Jambo TV tweet media
Indonesia
205
11
192
53K
Erick Wizz
Erick Wizz@Wizzy2Ck·
Yani una mpisha mzee kwenye dala dala yeye ana kaa ana cheza game 😂💔
Filipino
0
0
0
7
Erick Wizz retweetou
Enjoy Football 🌴🏆
Enjoy Football 🌴🏆@wilsonjuma08·
Hizi sijui huwa ni mechi za mtaani, yani kama sio SODO hii sidhani, maana sio kwa magoli yanayofungwa hapo. Sportybet magoli kaweka kuanzia over 9.5
Enjoy Football 🌴🏆 tweet media
Filipino
9
9
45
3.3K
Erick Wizz retweetou
Dr MuVenda
Dr MuVenda@Ndi_Muvenda_·
KwaMax Carwash 🔥🥵
Dr MuVenda tweet mediaDr MuVenda tweet mediaDr MuVenda tweet mediaDr MuVenda tweet media
English
219
193
2.7K
327.7K
Mwinshehe 🕊️
Mwinshehe 🕊️@Mwinshehe07·
Nimepokea kwa masikitiki report ya CAG iliyojaa matumizi mabaya ya Mali za umma nizitake mamlaka husika kuwachukulia hatua za haraka wahusika #MwinsheheNaCag
Indonesia
14
24
70
1.1K
Erick Wizz retweetou
Mwinshehe 🕊️
Mwinshehe 🕊️@Mwinshehe07·
Nimepokea kwa masikitiko makubwa taarifa za msiba wa Mh.Bwege ambaye alikuwa nguzo muhimu katika harakati za upinzani Mchango wake,ujasiri wake na msimamo wake vitaendelea kukumbukwa na kuthaminiwa na wengi Tunamuomba Mwenyezi Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi 🕯️🕊️
Filipino
15
46
133
1.5K
Erick Wizz
Erick Wizz@Wizzy2Ck·
@Eric__Bernard Mathayo 22:18 [18]Lakini Yesu akaufahamu uovu wao, akasema, Mbona mnanijaribu, enyi wanafiki?
Indonesia
0
0
0
39
MR BEN
MR BEN@Eric__Bernard·
SERIKALI IMEIMARISHA UWAZI NA UWAJIBIKAJI KATIKA MATUMIZI YA FEDHA ZA UMMA Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema serikali itaendelea kuimarisha uwazi na uwajibikaji katika matumizi ya fedha za umma ili kuhakikisha wananchi wanapata taarifa sahihi kuhusu rasilimali zao. Akizungumza Ikulu jijini Dar es Salaam leo Jumatatu Machi 30, 2026 wakati wa kupokea Taarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa mwaka 2024/2025, Rais Samia amesema umma una haki ya kufahamu matumizi ya fedha za serikali kwa kuwa zinatokana na kodi zao. “Uwajibikaji si chaguo bali ni wajibu kwa kila kiongozi na mwananchi. Tunapaswa kuhakikisha rasilimali za taifa zinasimamiwa kwa uadilifu,” alisema Rais Samia. Amebainisha kuwa ongezeko la hati safi katika ripoti ya mwaka 2024/2025 ni ishara ya maboresho katika usimamizi wa fedha za umma ikilinganishwa na mwaka uliopita. Rais Samia pia amesisitiza kuwa serikali itachukua hatua kwa kuzingatia sheria na maelekezo ya CAG ili kurekebisha mapungufu yote yaliyobainika katika ripoti hiyo. Aidha, ameelekeza Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari kwa kushirikiana na Wizara ya Fedha pamoja na Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma kuhakikisha mifumo ya kielektroniki inaunganishwa ili kuongeza uwazi na kupunguza mianya ya ubadhirifu. Hatua hiyo inatarajiwa kuimarisha zaidi uwajibikaji na kuongeza imani ya wananchi kwa serikali katika usimamizi wa rasilimali za taifa.
MR BEN tweet mediaMR BEN tweet mediaMR BEN tweet mediaMR BEN tweet media
Indonesia
8
6
19
1.4K
Swahili Times
Swahili Times@swahilitimes·
Rais Samia Suluhu Hassan amemwelekeza Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA), Dennis Simba kuyataja mashirika na taasisi zinazofanya vibaya zaidi katika ripoti ijayo ili zione aibu.
Indonesia
156
19
175
36.8K
Erick Wizz retweetou
Swahili Times
Swahili Times@swahilitimes·
TANZIA Aliyewahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Kilwa Kusini, Seleman Bungara (Bwege) amefariki dunia leo wakati akipatiwa matibabu mkoani Dar es Salaam.
Swahili Times tweet media
Indonesia
0
7
67
2.3K
Erick Wizz retweetou
Swahili Times
Swahili Times@swahilitimes·
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) amesema mradi wa uwanja wa mpira wa Arusha ulikadiriwa kugharimu TZS bilioni 187, lakini ulisainiwa kwa TZS bilioni 338.54, sawa na ongezeko la asilimia 81.
Indonesia
204
179
978
77.3K