kharry_de_prince

22.5K posts

kharry_de_prince banner
kharry_de_prince

kharry_de_prince

@kharryson95

💥//Community development Expert//💥 🎓//Teacher//🎓 🦁Manchester united & Simba fan🦁

Tanzania Entrou em Ocak 2014
1.3K Seguindo1.1K Seguidores
Tweet fixado
kharry_de_prince
kharry_de_prince@kharryson95·
Naomba ijulikane hivi nimekuwa nikifuatilia mambo ya siasa kwa zaidi ya mika 17 sasa sikuwahi kumiliki kadi ya chama yoyote nimeshawishika kupata kadi ya @ChademaTZ2 kama mwanachama hai naombeni mnisaidie jinsi ya kupata kadi...
kharry_de_prince tweet media
Indonesia
17
74
505
12K
kharry_de_prince retweetou
John Heche
John Heche@HecheJohn·
Asante
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸@mangekimambi

Chadema pokeeni huu mchango wangu ambao umetokana na pesa ambazo Watanzania wananipa kupitia subscription za Mange Kimambi App na subscription za account ya Instagram ambayo imefungwa ( ni maajabu account imefungwa ila bado wananikusanyia mapato kila mwezi na kunitumia). Hizi pesa mmpewa na Watanzania sio na Mange Kimambi maana bila Watanzania hii pesa nisingekuwa nayo. Ahsanteni sana Watanzania kwa kuendelea kulipia subscription za Mange Kimambi app, although sijaweka habari zaidi ya miezi 9 sasa. Na pia Ahsanteni ambao hamja cancel subscription za page yangu ya instagram iliyofungwa (@mangekimambi80) nawaomba msicancel. Watanzania, Chadema hawatoweza kutusaidia kudai haki kama hawana pesa yoyote. Ni lazma sisi wananchi tuwachangie. Kama jinsi mlivyojiunga kwenye subscribption za Mange Kimambi app naomba mjiunge na subscription za Chadema. Imagine Kama Watanzania laki 2 tu mkijiunga subscription ya elfu 3 tu kwa mwezi, hiyo ni milioni 600 kila mwezi kwa Chadema. Pia bila pesa hakuna movement ya maana Chadema wataweza kufanya. Wauwaji wanakodi zetu wanazitumia kushikilia nchi bila ridhaa yetu. Ni lazma tuwawezeshe Chadema.

Español
2
33
196
2K
kharry_de_prince retweetou
Amani Golugwa
Amani Golugwa@amanigolugwa·
Asante Sana. Ninathibitisha kuupokea mchango wako. Asante sana Dada @mangekimambi
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸@mangekimambi

Chadema pokeeni huu mchango wangu ambao umetokana na pesa ambazo Watanzania wananipa kupitia subscription za Mange Kimambi App na subscription za account ya Instagram ambayo imefungwa ( ni maajabu account imefungwa ila bado wananikusanyia mapato kila mwezi na kunitumia). Hizi pesa mmpewa na Watanzania sio na Mange Kimambi maana bila Watanzania hii pesa nisingekuwa nayo. Ahsanteni sana Watanzania kwa kuendelea kulipia subscription za Mange Kimambi app, although sijaweka habari zaidi ya miezi 9 sasa. Na pia Ahsanteni ambao hamja cancel subscription za page yangu ya instagram iliyofungwa (@mangekimambi80) nawaomba msicancel. Watanzania, Chadema hawatoweza kutusaidia kudai haki kama hawana pesa yoyote. Ni lazma sisi wananchi tuwachangie. Kama jinsi mlivyojiunga kwenye subscribption za Mange Kimambi app naomba mjiunge na subscription za Chadema. Imagine Kama Watanzania laki 2 tu mkijiunga subscription ya elfu 3 tu kwa mwezi, hiyo ni milioni 600 kila mwezi kwa Chadema. Pia bila pesa hakuna movement ya maana Chadema wataweza kufanya. Wauwaji wanakodi zetu wanazitumia kushikilia nchi bila ridhaa yetu. Ni lazma tuwawezeshe Chadema.

Filipino
7
49
232
3.1K
kharry_de_prince retweetou
Chadema Tanzania
Chadema Tanzania@ChademaTZ2·
PUBLIC STATEMENT
Chadema Tanzania tweet mediaChadema Tanzania tweet media
English
2
43
132
1.9K
kharry_de_prince
kharry_de_prince@kharryson95·
No reform No election... Bado kashikilia bomba refa walete kati.
kharry_de_prince tweet media
Filipino
0
0
0
4
kharry_de_prince retweetou
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
Mliokuwa mnaomba namba na utaratibu wa kukichangia chama. Changia kupitia namba hii 👇 #ToneTone #NimoUmoTumo
Hilda Newton tweet media
Indonesia
12
126
393
4.2K
kharry_de_prince retweetou
Godbless E.J. Lema
Godbless E.J. Lema@godbless_lema·
Ndugu wanachama wa CHADEMA na Wapenzi wa Demokrasia Nchini. Chama chetu kimefunguliwa rasmi kufanya shughuli za siasa. Hii ni fursa muhimu katika kuendelea na mapambano ya haki, uhuru na uwajibikaji katika Taifa letu. Lakini ukweli usioepukika ni huu hatuna ruzuku hata ya SENTI MOJA. Hii ina maana kwamba uhai, nguvu na uendelevu wa CHADEMA uko mikononi mwetu sisi wenyewe. Hatuna budi kuchukua jukumu. Hatuna budi kusimama. Hatuna budi kuchangia. Kila Mwanachama na kila mpenda Demokrasia ana wajibu wa moja kwa moja, kuchangia CHADEMA. Usione mchango wako ni mdogo. Usisubiri mwingine achukue nafasi yako. Kila senti unayotoa ni nguzo ya kusimama kwa chama hiki. Tujenge utamaduni wa kuchangia bila kusukumwa. Tujenge tabia ya kusaidia chama kila wakati. Hapo ndipo tutakapopata uhuru wa kweli wa kisiasa na kiutendaji. Mimi nipo, na nimeanza. Na wewe pia ni wakati wako sasa. Chukua hatua. Anza kuchangia. Simama na CHADEMA. Kwa pamoja, tutakijenga chama imara na Yaifa lenye HAKI. Tuchange tu kwa namba maalumu za CHAMA na Akaunti za Benki ili kujenga uadilifu wa Taasisi Imara. Mikakati zaidi inakuja baada ya vikao kuanza. Asanteni.
Godbless E.J. Lema tweet media
Indonesia
39
308
849
62.2K
kharry_de_prince retweetou
Sheila Mchamba
Sheila Mchamba@SheilaMchamba·
Ndugu mgeni rasmi,, huyu anayewasili mda huu ni lastborn wa chama😌
Indonesia
32
84
591
10.7K
kharry_de_prince retweetou
kharry_de_prince
kharry_de_prince@kharryson95·
Bandiko limeeleweka tumeanza usajili wa wanachama wapya... Chama haina ruzuku... Chama tutaibeba migongoni mwetu kwa jasho letu... @ChademaTZ2
kharry_de_prince tweet media
Indonesia
2
14
42
900
kharry_de_prince retweetou
Martin Maranja Masese
Martin Maranja Masese@IAMartin_·
Dkt. Lazarus Chakwera (Rais wa zamani wa Malawi) yupo Tanzania kama Mjumbe Maalum wa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola (commonwealth), Shirley Botchwey. Dkt. Lazarus Chakwera yupo nchini Tanzania kwa ajili ya kuleta mazingira wezeshi ya mazungumzo na utulivu wa kisiasa baada ya uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025. Tundu A.M Lissu, Mwenyekiti wa CHADEMA, amekutana na Lazarus Chakwera Mjumbe Maalum (Special Envoy) wa Jumuiya ya Madola (Commonwealth) April 15 2026. TAL amewasilisha masuala kadhaa kwake, ambayo yakifanyika, atakuwa tayari kwa mazungumzo, lakini kwanza akiwa mtu huru na chama kifanye shughuli zake TAL kamueleza kwamba, Kesi ya Uhaini inayomkabili ni kwa sababu ya msimamo wake na CHADEMA kuhusu uchaguzi mkuu wa 2025, NO REFORMS, NO ELECTION. TAL ametaka matukio yote yaliyotokea Oktoba 29, 2025 na baada ya siku hiyo yafanyiwe uchunguzi huru na haki kupitia chombo cha kimataifa, mfano SADC. TAL ametaka uwajibikaji wa kitaasisi kwa yaliyotokea Oktoba 2025, mfano, Ofisi ya Msajili, INEC na TCRA, na umuhimu wa kurejea Ripoti ya Jaji Nyalali (1992). Kufanyika kwa mageuzi ya kimsingi ya vyombo vya dola ikiwepo vyombo vya ulinzi na usalama kwa kuzingatia mapendekezo ya Ripoti ya Jaji Chande (2023). Kubadilishwa mfumo wote wa uchaguzi, ikiwemo kuundwa kwa chombo kipya huru cha kusimamia uchaguzi. Kuzingatia ripoti za Warioba na Nyalali. Lakini, Tundu A.M Lissu amesisitiza kuwepo kwa mazingira wezeshi ya mazungumzo ya kweli pamoja na utekelezaji wa mambo yote yatakayokubaliwa. Lakini kubwa zaidi, KATIBA MPYA. amesisitiza umuhimu wa mchakato wa kupatikana kwa Katiba Mpya kama suluhisho la kudumu la changamoto za kiutawala.
Martin Maranja Masese tweet mediaMartin Maranja Masese tweet media
Indonesia
16
147
636
18.8K
kharry_de_prince retweetou
JAPHET MATARRA
JAPHET MATARRA@Eng_Matarra·
Huyu mzungu kaja na mpambe wake na kauziwa chuma. Wewe endelea kusema unataka namba F, huyu mzungu alitaka namba D na jioni biashara imeisha Deal Done. Haoujue #DAR #SoldOut✅️✅️
JAPHET MATARRA tweet mediaJAPHET MATARRA tweet media
Filipino
6
4
114
9.6K
Dr. Miguna Miguna
Dr. Miguna Miguna@MigunaMiguna·
Thirty two years after the formal end to apartheid—the white supremacist rule which treated Black South Africans worse than dogs—a white South African magistrate has jailed the the most radical South African politician and leader of the left-leaning @EFFSouthAfrica and South Africa’s most prominent young Pan-African leader, to 5 years in jail for an alleged “firing” of a “firearm” in public, a firearm which was not produced in court and entered into evidence against him. It’s an outrage, especially a day after the South African President, @CyrilRamaphosa, appointed an apartheid era-politician, Roelf Meyer, as South Africa’s ambassador to the USA. We express our solidarity with Malema and wish him success on appeal. South Africa must be free! Amandla! #FreeJuliusMalema
Dr. Miguna Miguna tweet media
English
48
563
2.1K
58.9K
kharry_de_prince retweetou
Ayubu Madenge
Ayubu Madenge@ayubu_madenge·
Lebanon wana mfumo wa siasa unaoitwa “confessionalism” ambao nafasi za uongozi zinagawanya kidini. Kwenye huo mfumo wao Rais huwa ni Mkristu, Waziri mkuu huwa ni Muislam wa Sunni halafu Spika wa bunge huwa ni Shia. Wabunge huwa wanagawanywa nusu Wakristu na nusu Waislamu.
Ayubu Madenge tweet media
Indonesia
15
44
673
12K
kharry_de_prince
kharry_de_prince@kharryson95·
Wakati wazee wanamshauri mwalimu asitoke madarakani kwani tanzania bado ni nchi changa waliona mbali sana huenda mwalimu hakulitazama hili kwa jicho la pili kama angeweza basi angeliepusha taifa na mambo mengi nimewaza tu.... Oct 29.2025 HATUTASAHAU...
Indonesia
0
0
1
19
Steph.
Steph.@LifeofSteph_1·
Leo nimenunua gari yangu ya kwanza kwa pesa yangu nikiwa na umri wa miaka 23 na miez 6. Nimenunua Spacio used milion 7. 🙏
Indonesia
37
38
301
7.6K
kharry_de_prince retweetou
kharry_de_prince
kharry_de_prince@kharryson95·
President @LAZARUSCHAKWERA, we have learned that you met with @TunduALissu in prison—a positive step. However, this is not enough. For your Commission to gain credibility, it must engage directly with affected groups. Kindly provide clear guidance on how we can meet with you.
kharry_de_prince tweet media
English
0
13
40
479
kharry_de_prince retweetou
Palace Report
Palace Report@PalaceReport·
Olise and Eze will play in a Champions League semi-final 👏
Palace Report tweet media
English
38
765
16.8K
159.4K
kharry_de_prince retweetou
Benjamin Fernandes 🇹🇿
Benjamin Fernandes 🇹🇿@Benji_Fernandes·
The biggest branding winner in the @ChampionsLeague this year isn’t a club. It’s @visitrwanda_now. Atleti. PSG. Arsenal. All in the semifinals. All wearing the same sponsor. That’s a masterclass in global brand placement. 🇷🇼
English
22
280
1.2K
27.5K