TAURUS TEIXEIRA
2.2K posts


@djnsajigwa hood noma kipindi hicho niko kadogo ilo gari zilikua zinasepa
Filipino

VIDEO:
Shura ya Maimamu na Viongozi wa taasisi za Kiislamu Mkoani Arusha imetoa tamko la kulaani machafuko ya uchaguzi wa Oktoba 29, 2025, na kutaka hatua madhubuti zichukuliwe ili kurejesha na kulinda amani ya nchi.
Akizungumza na Waandishi wa Habari jijini Arusha, mlezi wa Shura hiyo, Sheikh Juma Ikusi, amesema machafuko yaliyotokea yameacha majereha na kuchafua taswira ya taifa lililojengwa kwa misingi ya umoja na mshikamano tangu enzi za waasisi wa taifa.
Katika tamko hilo, Sheikh Ikusi pia alionyesha kukerwa na baadhi ya matamko kutoka kwa viongozi wa dini ya Kikristo kupitia Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), akidai kuwa baadhi ya kauli zao zilichochea Mazingira ya vurugu wakati wa uchaguzi.
“Maaskofu wa TEC sasa wameingia katika mrengo wa kisiasa nchini? Inasikitisha sana pale ambapo maaskofu wanaomba watu kutoka nje ya nchi, ambao waliwahi kututawala na kutunyonya, waje kufanya uchunguzi,’” Sheikh Ikusi alisema
Aidha, Sheikh Ikusi amesema kuwa katika dini ya Kiislamu, amani ndiyo msingi mkuu unaopewa kipaumbele zaidi kuliko haki, na hivyo amewasisitiza Watanzania kuendelea kudumisha amani ya nchi.
Indonesia

Ajali hiyo ilitokea kwenye barabara ya A-52, katika kilomita ya 65 karibu na manispaa ya Palacios de Sanabria, mkoa wa Zamora Spain ambapo Jota alifariki papo hapo kutokana na majeraha mabaya.
Diogo Jota, aliyezaliwa mwaka 1996, alikuwa mchezaji stadi na mfungaji mwenye kipaji.
Jota alichangia kwa kiasi kikubwa mafanikio ya Liverpool FC katika michuano mbalimbali ya ndani na kimataifa.
Moja ya mchango wake ni pamoja na kuisaidia Liverpool kushinda Ligi Kuu ya Uingereza (English Premier League) na Kombe la Mabingwa Bara Ulaya (UEFA Champions League).
Pia, alikuwa mmoja wa wachezaji muhimu wa timu ya taifa ya Ureno, akihudumu kama mshambuliaji mwenye kasi na mbinu za hali ya juu.
— SOMA ZAIDI:⤵️


Indonesia

@madeinmusoma Black Mamba anauwezo wa kuangusha Zizi la ngombe kwa Dakika 5 Nyoka namba moja kuogopeka Duniani Danger ‼️
Indonesia

Duniani kuna nyoka harafu kuna Cobra, huyu Ni issue nyingine kabisa.
Kuna viumbe wa ajabu duniani, lakini Cobra ni hadithi tofauti kabisa anavutia na kutisha kwa wakati mmoja.
Zaidi ni uwezo wake wa kurusha sumu akiwa mbali na hata kusimama na kuruka.
Yeye siyo nyoka wa kawaida, ni simba wa ulimwengu wa nyoka, janga la kimya linalopita ardhini likisambaza hofu kwa kila anayelijua jina lake.
Huyu ndiye nyoka anayeogopwa zaidi duniani, na si kwa bahati mbaya.
Ukimwona yakupasa uchukue tahadhari, unaweza kuwa umeshajichimbia kaburi lako bila kujua.
Endelea Na Uzi 🧵⤵️

Indonesia

@sugarbabe_255 Wa dar tushafikiwa 😊😊 hakuna hati punguzo chica
Indonesia






















