𝙏𝙝𝙞𝙣𝙠 𝘽𝙞𝙜 🤏

55K posts

𝙏𝙝𝙞𝙣𝙠 𝘽𝙞𝙜 🤏 banner
𝙏𝙝𝙞𝙣𝙠 𝘽𝙞𝙜 🤏

𝙏𝙝𝙞𝙣𝙠 𝘽𝙞𝙜 🤏

@ThinkBigmind

𝘼𝘾𝙏𝙄𝙑𝙄𝙎𝙏 / (𝙊𝙣𝙡𝙮 𝙛𝙧𝙚𝙚𝙙𝙤𝙢 𝙖𝙣𝙙 𝙥𝙤𝙨𝙞𝙩𝙞𝙫𝙞𝙩𝙮 𝙛𝙡𝙤𝙬 𝙩𝙝𝙧𝙤𝙪𝙜𝙝 𝙢𝙮 𝙫𝙚𝙞𝙣𝙨) TUMEVUKA THE RED SEA NA TUNDULISSU NA J.HECHE

Freedom and Justice شامل ہوئے Ocak 2013
5.9K فالونگ13.7K فالوورز
𝙏𝙝𝙞𝙣𝙠 𝘽𝙞𝙜 🤏 ری ٹویٹ کیا
Strait Of Hormuz
Strait Of Hormuz@2Ndulisu·
Imagine tuwe na vijana wasio na uoga kama hawa 30m, nchi ingekuwa mbali. Wakuu wanajuta kuhudhuria huu msiba, wameenda kula za uso bila gloves.
Indonesia
8
89
501
21.4K
𝙏𝙝𝙞𝙣𝙠 𝘽𝙞𝙜 🤏 ری ٹویٹ کیا
Kumbusho Dawson Kagine
Kumbusho Dawson Kagine@KumbushoDawson·
NB: Matako yenu.
Filipino
23
58
325
20.3K
𝙏𝙝𝙞𝙣𝙠 𝘽𝙞𝙜 🤏 ری ٹویٹ کیا
(---) Onesmo Mushi
(---) Onesmo Mushi@EduTalkTz·
Tuwapongeze sana WAKATOLIKI kwa upgrade, hakika kuna mabadiliko makubwa toka tulipowaona mara ya mwisho. Tuwakumbushe kuwa kwa kawaida wakatoliki huwa hawabebi biblia, kitabu chao maarufu kinaitwa MISALE YA WAUMINI. Kila la heri!
Filipino
151
51
339
32.4K
𝙏𝙝𝙞𝙣𝙠 𝘽𝙞𝙜 🤏 ری ٹویٹ کیا
Tito Magoti
Tito Magoti@TitoMagoti·
Samia is a bloody killer criminal.
English
3
68
520
13.5K
𝙏𝙝𝙞𝙣𝙠 𝘽𝙞𝙜 🤏 ری ٹویٹ کیا
Martin Maranja Masese
Martin Maranja Masese@IAMartin_·
Mengine yote siyo mambo ambayo yangenishtua. Nilitarajia kuyasikia. Lakini kitu sikutarajia kusikia akisema ni kwamba nguvu iliyotumika kupambana waandamanaji inaendana na tukio husika. Kwa kauli hiyo, mauaji yalikuwa sahihi na hakuna uwajibikaji kwa waliotoa amri na kutekeleza.
Indonesia
68
338
2.2K
36.5K
𝙏𝙝𝙞𝙣𝙠 𝘽𝙞𝙜 🤏 ری ٹویٹ کیا
CINEMAS ANALYTIC 🎬
CINEMAS ANALYTIC 🎬@CinemasAnalytic·
It’s already a big new’s Keep tagging meta folks , this is Injustice Repost 908 @Meta
CINEMAS ANALYTIC 🎬 tweet media
English
137
1.4K
3K
69.2K
𝙏𝙝𝙞𝙣𝙠 𝘽𝙞𝙜 🤏 ری ٹویٹ کیا
Tito Magoti
Tito Magoti@TitoMagoti·
Umetumika kisenge na ninafikiri you knew what you did. Samia ameuwa maelfu ya Watz. Ni upumbavu kuchukua pesa kutengeneza diversion, au kuibua mjadala wa kijinga wakati tuko msibani. Acha ushirika wa kipumbavu na watu wanaotaka wakuuwe pia. They’re so desperate. Learn or perish
Madenge@rollymsouth

@fredkavishe Freddy hakuna sehemu nimesema wamelipia maandamano, I was trying kuelezea kuwa hizi fund zipo kila mwaka so tusiambiwe zimetoka kwa ajili ya maandamano..uko sahihi kabisa zinatolewa Kwa taasisi mbali mbali.. Watu wamejaribu kuipindisha kulingana na wanavyotaka wao

Indonesia
94
175
1K
88K
𝙏𝙝𝙞𝙣𝙠 𝘽𝙞𝙜 🤏 ری ٹویٹ کیا
African
African@ali_naka·
Not ONE civilian killed in Guinea Bissau today. How many people died in Tanzania over an “election”
English
84
2.4K
9.8K
126.8K
Big
Big@Zephania_Ndaki·
Diamond Kapambana Na Viunzi Vingi Sana. Katokea maisha magumu ni muhuni anajua kila aina ya maisha, ajatoka ushuwani ka teseka sana kufika apo alipo. Alibaniwa na media zote apa tanzania ila akatoboa na mziki ukapenya. Sembuse nyie kikundi cha wahuni eti unfolow shuwaini😁
Filipino
98
16
101
33.2K
Rahuuuum
Rahuuuum@RahmaMwita·
Linda Kura ya ACT imefeli ndivyo hivyo pia yalivyofeli mengine. Kwenye uchaguzi tulioshiriki tumeuliwa na wasioshiriki pia wameuliwa. Tuache utoto wa kuibananga ACT tunahitaji kuwa na UMOJA kuiondoa hii serikali ya kiuaji.Tunatukanana hapa wengine wanaendelea na michakato haramu.
Rahuuuum tweet media
Indonesia
92
7
60
10.9K
𝙏𝙝𝙞𝙣𝙠 𝘽𝙞𝙜 🤏 ری ٹویٹ کیا
Maria Sarungi Tsehai
Maria Sarungi Tsehai@MariaSTsehai·
Mmechagua maandamano 💪🏽🇹🇿 Swali ni tarehe! Huko DM nimeona Dec 9 na wengine wanasema Desemba 9 ni mbali na tutapoa, wanataka kabla ya Dec 9 Weka kura yako 👇🏾 Maandamano inayofuata iwe
Filipino
165
194
1.1K
90.8K
𝙏𝙝𝙞𝙣𝙠 𝘽𝙞𝙜 🤏 ری ٹویٹ کیا
John Pambalu
John Pambalu@John_Pambalu·
So Sad.
English
138
369
992
99.4K
𝙏𝙝𝙞𝙣𝙠 𝘽𝙞𝙜 🤏 ری ٹویٹ کیا
JAPHET MATARRA
JAPHET MATARRA@Eng_Matarra·
CHALAMILA ASHTAKIWE KWA MAUAJI HALAIKI
Indonesia
16
112
456
85K
𝙏𝙝𝙞𝙣𝙠 𝘽𝙞𝙜 🤏 ری ٹویٹ کیا
Maria Sarungi Tsehai
Maria Sarungi Tsehai@MariaSTsehai·
‼️🚨GEORGE BAGYEMU PHYSICALLY THREATENED HECHE’S MOTHER AND ASSAULTED HECHE’S BROTHER‼️ Deputy Zonal Criminal Officer for Dar and one of the top culrptits on #Tanzania ICC list has today reportedly assaulted @HecheJohn ‘s brother and threatened to physically beat their mother for asking him where Heche is! Hivi kweli George we unaona sawa kutishia kumpiga mama yake Heche? Yaani mwanaume mzima unapambana na wanawake tena bibi wa miaka 80+ Huna mama, dada, mke? Acha hiyo kabisa! Kama mna kesi pelekeni ila kutisha, kupiga kutesa sasa basi! Ila uwajibikaji umekaribia ungejipanga #TutaelewanaTu #TanzaniaMassacre #SaveTanzania
Maria Sarungi Tsehai tweet media
English
49
707
2.2K
133.1K