
Sekta binafsi ilipata hasara kubwa ya bilioni 89 (71.2%) ikilinganishwa na sekta ya umma bilioni 36 (28.8%). Wajasiriamali wadogo walipoteza bilioni 1.6 kwa mali zilizoibwa wakati wa ghasia. Hii inaonyesha athari kubwa kwa uchumi wa kawaida. #RipotiYaChande
Tume Ya Uchunguzi

Indonesia




















