Next gen ya leaders wanawake toka wako mashuleni huko na wa keep track ya hao watu ili ikifika mambo ya teuzi watu wanaonekana na siyo kuwasaka uvunguni au vichakani huko..
👉 50/50 teuzi zinakwenda na vigezo na siyo mambo ya kuteuana tu.. Haya mambo yanatakiwa kuwa na mkakati