Post

Swahili Times
Swahili Times@swahilitimes·
Jumuiya ya Wanahabari wa Mitandao ya Kijamii (JUMIKITA) imetoa wito kwa vyombo vya habari kutompa ushirikiano Mkurugenzi Mtendaji wa Benchmark Production, Rita Paulsen (Madam Rita), hadi atakapoomba radhi kufuatia kauli aliyotoa dhidi ya chombo cha habari ambayo wameeleza si ya kiungwana. JUMIKITA imesema kitendo kilichofanywa na Madam Rita kinadhihirisha ukosefu wa adabu pamoja na kutoheshimu vyombo vya habari.
Swahili Times tweet media
Indonesia
85
27
653
70.5K
H O R M U Z
H O R M U Z@SyntaxError01_·
@swahilitimes Jukumita acheni kudeka, mkiambiwa ukweli mnatoa milio, wakati vimedia vyenu uchwara vinachagua nini cha kuripoti, kuna habari ngapi zenye maslahi ya Umma hamuzipatii Eataimu? Takataka🚮
Indonesia
0
0
2
287
Paylaş