Britanicca

6.5K posts

Britanicca banner
Britanicca

Britanicca

@Britanicca0

whistle-blower living in Vladivostok Russia , CCM Member Since 2002, Defending People.

Vladivostok, Russia انضم Nisan 2021
86 يتبع6.5K المتابعون
تغريدة مثبتة
Britanicca
Britanicca@Britanicca0·
Ni Mimi kuanzia kesho tutakumbiana hapa kaa rada muda wa saa nane mchana cc @kigogo2014
kvsnt@kVant1234

@Britanicca0 Huyu Sio Britanicca huyu toka umerudi mada zako zimepoa sana hazina impact yoyote kama kipindi cha nyuma au wameshapita na account?

Indonesia
1
0
8
1.1K
Britanicca أُعيد تغريده
African Hub
African Hub@AfricanHub_·
Tanzania 🇹🇿 government officials struggling to go through a road
English
6
24
96
7.1K
Britanicca أُعيد تغريده
millardayo
millardayo@millardayo·
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Heche, amehoji kupanda kwa ghafla kwa bei ya mafuta Nchini, akitaka ufafanuzi kuhusu uhalali wa ongezeko hilo licha ya uwepo wa hifadhi ya mafuta iliyotangazwa na Serikali. Heche ametoa kauli hiyo leo, Aprili 6, 2026, akirejelea taarifa ya awali ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Dkt, James Mataragio. Kwa mujibu wa Heche, Katibu Mkuu huyo aliwahakikishia Watanzania kuwa Nchi ina akiba ya mafuta inayoweza kutumika kwa takribani miezi mitatu. Hata hivyo, amesema inashangaza kuona Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) ikitangaza ongezeko la bei ya mafuta siku chache baadaye, hali inayozua maswali kuhusu uhalisia wa hifadhi hiyo na namna bei zinavyopangwa. Aidha, ameeleza kuwa kihistoria, Tanzania iliweka miundombinu ya kuhifadhi mafuta tangu baada ya Vita vya Kagera mwaka 1979, ambapo hayati Mwalimu Julius Nyerere alianzisha matenki ya kuhifadhia mafuta katika eneo la Kigamboni ili kujikinga na athari za dharura za kiuchumi na kiusalama. Kwa msingi huo, Heche amehoji mantiki ya kupanda kwa bei wakati mafuta yaliyopo yalipaswa kuwa sehemu ya akiba hiyo ya ndani. "Tutakumbuka Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, anayeitwa Bw. Mataragio, alitoka na akawaambia Watanzania kwamba bado tuna hifadhi ya mafuta ya kutumia kwa miezi mitatu. Na kama mnavyokumbuka, tangu baada ya vita ya Uganda na Tanzania mwaka 1979, Mwalimu Nyerere alijenga matenki ya kuhifadhia mafuta ya TIPER ambayo yapo Kigamboni, baada ya kujifunza kwamba kunaweza kutokea dharura na nchi ikaingia kwenye matatizo." Na matenki haya yamekuwa yakihifadhi mafuta ya ndani ya Nchi na mafuta ambayo yanasafirishwa kwenda kwenye Nchi zinazotumia Bandari yetu. Ndiyo maana Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati alituambia kwamba kuna mafuta ya miezi mitatu. Sasa kama tuna mafuta ya miezi mitatu ambayo, huu mgogoro ulipoanza, yalikuwa tayari yako ndani ya Nchi, inakuwaje hayo mafuta yapande bei ghafla kabla ya kuingizwa kwa mafuta mapya ambayo yameingia Nchini?" amesema Heche. #MillardAyoUPDATES.
Indonesia
9
18
134
5.7K
Britanicca أُعيد تغريده
3AM….SWAG🃏🏴‍☠️
3AM….SWAG🃏🏴‍☠️@PROBLEMCHImky·
🚨 JUST IN: Nigerian business mogul and UBA CEO Tony elumelu has reportedly divorced his wife after a DNA test shows his 7 children doesn't belong to him.
3AM….SWAG🃏🏴‍☠️ tweet media3AM….SWAG🃏🏴‍☠️ tweet media
English
2.3K
632
5K
721.5K
Britanicca
Britanicca@Britanicca0·
Hii ni project nzuri ya kugawia watu fulani pesa. Tunajua from the beginning kwamba hakuna namna ambayo taxpayers wa Tanzania watanufaika na matokeo ya kazi ya tume
Maulid Kitenge@mshambuliaji

MAMLAKA ya Uteuzi imeridhia maombi ya muda wa ziada kwa Tume ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025 hivyo imeiongezea tena muda wa siku ishirini na moja (21) na kuitaka ikamilishe kazi kabla au ifikapo Aprili 24, 2026. Mamlaka hiyo imeeleza sababu za kuongeza muda huo kwa Tume ni pamoja na kuiwezesha Tume kukamilisha uchambuzi wa ushahidi, taarifa na maoni yaliyopokelewa, kutoa fursa kwa wataalamu wa uchunguzi wa kisayansi kufanyia kazi baadhi ya vielelezo vipya vilivyowasilishwa. Sababu nyingine ni kuiwezesha Tume kukamilisha maandalizi ya Ripoti itakayowasilishwa kwa Rais na kutoa fursa kwa Tume kuandaa tafsiri ya Ripoti hiyo. Tume hiyo ilianza kutekeleza majukumu yake Novemba 20, 2025 na kutarajiwa kukamilisha kazi yake ndani ya kipindi cha siku 90. Hata hivyo, kutokana na sababu mbalimbali, Tume iliongezewa muda wa kukamilisha kazi na kutakiwa kuwasilisha Ripoti kwa Rais kabla au ifikapo April 3, 2026. Hivyo, kufuatia nyongeza ya muda, wananchi waliendelea kujitokeza kwa wingi tofauti na matarajio ya Tume. Hivyo, Tume iliendelea kupokea ushahidi, taarifa na maoni zaidi. Kwa sababu hiyo, Tume haikuweza kukamilisha kazi yake ndani ya muda wa nyongeza uliotolewa na hivyo kulazimika kuomba muda wa ziada ili kukamilisha kazi yake. Tume inaendelea kuwashukuru wananchi na wadau wote waliotoa ushirikiano kwa Tume wakati wa kufanya uchunguzi, ikiwemo wale waliofika mbele ya Tume kutoa ushahidi, taarifa na maoni, waliopiga simu na kutuma ujumbe, waliotuma ushahidi, taarifa na maoni kwa maandishi na waliowasiliana na Tume kwa njia za mitandao ya kijamii. #KitengeUpdates

Filipino
0
0
0
30
Britanicca أُعيد تغريده
Kigogo Media
Kigogo Media@kigogo2014·
Kesho tutaendelea na; 👉jambo la Anjela na uteuzi wake uliokiuka katiba na EA treaty unavyodhalilisha na kuaibisha nchi 👉 deni la taifa na uongo wa kuwa uchumi unakua wakati watanzania wana midabwada 👉NEPOTISM ilivyoharibu taswira na heshima ya Ikulu kama sehemu ya maana na ya kuheshimika sana ndani ya nchi Wahini darasani mapema tuko nje ya muda!..
Kigogo Media tweet media
Indonesia
0
2
24
2.4K
Britanicca
Britanicca@Britanicca0·
Hii ni project nzuri ya kugawia watu fulani pesa. Tunajua from the beginning kwamba hakuna namna ambayo taxpayers wa Tanzania watanufaika na matokeo ya kazi ya hiyo tume kama zilizopita
Britanicca tweet media
Filipino
0
0
1
25
Britanicca
Britanicca@Britanicca0·
Mtoto akizaliwa nyumbani kwangu huyo mtoto ni wa kwangu .mama yake ataondoka ila mtoto atamwacha alafu nimjue huyo kidume atakaye kuja kwangu kudai mtoto .atakufa akijiona kifupi NAMTAIFISHA
Britanicca tweet media
Indonesia
26
5
95
13.5K
Britanicca
Britanicca@Britanicca0·
Hello @kigogo2014 watu wanasema huyu si @Britanicca0 wanayemjua mbona wana force nifungulie mambo hadi watu wawe kwa bumpy ride???? Nikianza nisilaumiwe Nina 200 files
Indonesia
4
4
24
7K
Britanicca
Britanicca@Britanicca0·
Hii kolabo ya EWURA+ CAG+ teuzi naona inaleta episodes nyingi mno huu mwaka. 👋🏾
Indonesia
1
0
20
3.5K
Britanicca
Britanicca@Britanicca0·
Tatizo hata vijana wetu wa mtandaoni wamewekeza Nguvu kubwa kuisema CHADEMA wakati matatizo yetu hayasababishwi na CHADEMA, Na CHADEMA nao ni kulaumu CCM badala ya kuonesha njia mbadala
Indonesia
6
1
32
2.4K
Britanicca أُعيد تغريده
Mnyamani 👑
Mnyamani 👑@Zikamnyamane·
She almost fell 🤧
English
19
149
2.9K
295.1K
Britanicca
Britanicca@Britanicca0·
Nchi hii imenishinda 😜😜😜
Britanicca tweet media
Eesti
5
2
27
6.3K
Britanicca
Britanicca@Britanicca0·
Yaaani Kizigha Rostam na Kikwete, Kikwete ni Karani wa Rostam, Rostam anafanana na Mhindi mmoja South Africa Gupta,unaposikia scandal kubwakubwa S/A.basi Gupta lazima awe nyuma ya camera. Tz Rostam,alikuwa amehibernate tu, sasa amerestart software katika version za kisasa zaidi.
Filipino
2
19
130
7.3K
Britanicca أُعيد تغريده
Kigogo Media
Kigogo Media@kigogo2014·
Kawadanganye wasiojua kusoma na wasio na maarifa.. Hakuna uchumi unaokuwa kwa statistics hizi... 🚨Growth differential = GDP growth -Debt Growth 👉🏼Yaani unakuwa na uchumiuna growth differential negative halafu unasema uchumi unakua? Kivipi? Yaanikwa kiswahili ni kuwa deni likakuwa kubwa kuliko uchumi wa nchi halafu mnadanganya watu unakua? 👉🏼Hivi haya mambo nani anawapa mje kuyasema? Mbona mnadhalilisha sana serikali wakati tayari imeshadhalilika vya kutosha? 👉🏼 Deni la taifa ni 53.5billion na ni kubwa kuliko ukijumlisha deni la Tanzania wakati wa Nyerere,Mwinyi,Mkapa,JK na Kambale.. 👉🏼 Serikali ya sasa imekopa 3 times ndani ya miaka minne ukilinganisha na alivyokopa Kambale..Halafu unasemaje uchumi unakua? NASOMA takwimu za debt servicing ntakuja na andiko la maamuzi ya hovyo ya kukopakopa yanavyoitumbukiza Tanzania kwenye shimo.. Kwa sasa jua tu kuwa ceiling ya national debt servicing ni 18% ya GDP na sasa Tanzania inatumia 14.5% ya GDP kulipa deni.. kuna buffer ya 3% kufikia kiwango cha juu kabisa.. Endeleeni kusema uchumi unakua 😩
Kigogo Media tweet mediaKigogo Media tweet media
Indonesia
0
8
34
5.6K
Britanicca
Britanicca@Britanicca0·
@kigogo2014 Hakuna uchumi unaokua hapo ni propaganda za madelu tu
Indonesia
0
0
0
135
Kigogo Media
Kigogo Media@kigogo2014·
Kasome hili jambo kwanza halafu tuje kujadili huu uongo wa Mwigulu kuwa uchumi unakua kwa 6% .. 👉Negative Growth Differential (𝒓 −
𝒈 < 𝟎 )
 👉(NGD- Often used in debt sustainability analysis to show how a growing economy can "outgrow" its debt burden)
𝐃𝐫.𝐙𝐚𝐜𝐤™🇹🇿@_zack255

TANZANIA INAPAA KIUCHUMI 🇹🇿 👉Uchumi umekua kwa 6.0% Mwaka 2025 (kutoka 5.5% Mwaka 2024) 👉Mfumuko Wa Bei Umedhibitiwa Hadi 3.3% 👉Mauzo Ya Nje Yameongezeka Kwa 12.7% 👉Akiba Ya Fedha Za Kigeni USD Bilioni 6.3(Zaidi Ya Miezi 4.8 Ya Uagizaji) “Tanzania Inajenga Uchumi Imara Kwa Kizazi Cha Sasa Na Kijacho”

Indonesia
1
1
17
3.4K